ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
- Thread starter
- #21
Ayo ndio matokeo ya kujibu hoja kwa risasi.Mtulie dawa iingie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepitia mikoa saba kwa usafiri gani na nani alikutuma. Uwekezaji wa Lowassa kwenye siasa za urais wa nchi unaweza mlinganisha na huyo mpiga kelele wenu asiyejitambua. Nani ampe nchi yule.Magu anajizoelea 95% na 90% ya wabungeNimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.
Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba %80 ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
Ni yeye lisuNimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.
Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba %80 ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
HAKUNA ANAYETHAMINI UPUUZI HUU VIJIJINI! MIJNI WANAHTAJI HELA MFUKONI SI TAKATAKA HIZOichumu lya,
Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.
No !!!!!!Makamanda kwa kutiana molali mko njema, uhalisia John pombe magufuli wa ccm atatangazwa mshindi baada ya kuongoza kwa kura nyingi sana.
Hapa ndipo vyama vingi vinapokoseaga. Kuongea na kupiga kampeni bila kupiga kura hakunaga ushindi. Hakikisha unapiga kura kamanda bampamiHivi bado naweza kujiandikisha maana mood imerudi kwa hali ya juu.Nilikata tamaa kama atarudi.
Watakuja kukataa ili kuwaaminisha wanachama kuwa wanaonewaMakamanda kwa kutiana molali mko njema, uhalisia John pombe magufuli wa ccm atatangazwa mshindi baada ya kuongoza kwa kura nyingi sana.
Niko Dar, kunasiku nimepiga simu kijijini huko ukerewe panaitwa kaseni, nikiwa na lengo la kuongea na dada kuhusu biashara ya samaki aina ya 'gogogo ' wakerewe wanaziita NGERE.. maana huyo dada ndo kazi yake ya kuwaandaa na kuwakausha kwa jua au moshi.ichumu lya,
Hii habari yako naikubali kwa 100% maana nchini kote hasa cha ajabu safari hii hata vijijini na akina mama nao pia wimbo wao ni Lissu.
Mkuu ulikuwa wapi? Its 2 late.Hivi bado naweza kujiandikisha maana mood imerudi kwa hali ya juu.Nilikata tamaa kama atarudi.
Labda kuongoza gwarideMakamanda kwa kutiana molali mko njema, uhalisia John pombe magufuli wa ccm atatangazwa mshindi baada ya kuongoza kwa kura nyingi sana.
Hayo yote yamwfanywa kwa fedha za Watanzania wala hakuna aliye toa fedha zake za mshahara. Wacheni kuwadanganya watu.ichumu lya,
Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.
Ccm na wagombea wake wanakutana na upepo mkali sana wa kisuri suriWasichoelewa watu ni kwamba Magufuli na CCM yake wakati umewakataa!
Yaani majira hayakubaliani nao ingawa wanalazimisha!
Japo watu wanapuuza lakini CCM inaanguka mwaka huu... na Magufuli hana upepo kabisa!
JPM katili sana, ndiye aliyebariki shambulio la Lissu kuchapwa zile mvua za risasi. Muda ukifika tutaweka wazi kila kitu.Makamanda kwa kutiana molali mko njema, uhalisia John pombe magufuli wa ccm atatangazwa mshindi baada ya kuongoza kwa kura nyingi sana.