Uchaguzi 2020 Lissu ni zaidi ya Lowassa, kaeni mkao wa kukabidhi Nchi kwa Amani

Uchaguzi 2020 Lissu ni zaidi ya Lowassa, kaeni mkao wa kukabidhi Nchi kwa Amani

Hii kitu Wakaaa na tu Laptop vyumbani wakijadiliana namna ya kujibu lakini wanajikuta ili waeleweke ni lazima watafute siasa za kufikilirika. Wakaa na Laptop vyumbani kutengeneza Thread naona mnahangaika sana. Kwanini mnapata tabu hivyoooo.
Mnasifia asiyekuwa na shukrani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Lissu hana Ajenda, anarukia rukia tu Mfano anashauri Wananchi wavae Barakoa wakati yeye Mwenyewe havai. Anaiichafua nchi kwa Wakenya kuwa Watanzania wanapata shida wakati Kenya Mpaka saizi wameelemewa, watu wanakufa
Kwa kweli wanahangaika sana, na sisi tunasema baada ya tarehe 28/10/2020 hatutaki story za kuobiwa kura hapa.
 
Pamoja na TBC kuibeba ccm, kazi wanayo.Sio kwetu watu wrote wanasema urais ni lissu
 
Lissu Ni mpuuzi Kama wapuuzi wengine, yaani kwa akili zako unafikiri watanzania tuko tayari kuongozwa na mtu aliekuwa anafunuliwa marinda na mtaro huko Ubeligiji??

Kwa taarifa Lissu tunaenda kumtembezea kipigo cha Mbwa mwizi na hataamini kitakachotokea.

Yaani vijana wa bavicha mmebaki na propaganda, Mlivyoenda kuchukuwa fomu mmeishia kuoga aibu? Jana Singida aibu tupu.

Tukutane tarehe 28/10/2020 tuwafundishe kwa vitendo kwanini
Kama jpm ameweza kuwa rais hakuna atakayeshindwa kuwa rais.
 
Nimefanikiwa kupitia mikoa zaidi ya saba bara tangu Lissu arejee nchini na kuonesha nia ya dhati ya kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nimekutana na watu wengi lakini jambo kubwa ni upendo watu walionao kwa Lissu.

Naamini kama wameandikishwa kwenye daftari ya wapiga kura Lissu atabeba %80 ya kura zote kinachotakiwa ni ulinzi wa kura na kuweka mikakati ya kulazimisha kutangaza mshindi hili likifanikiwa Magufuli atavunja record sio tu ya kutawala kwa muhula mmoja bali kukabidhi nchi bila maandamano na kumwaga damu.
Siku moja nilipita mitaa ya Karume kununua gazeti akaja mama mmoja hivi kajifunika kanga kuona picha ya Lissu gazetini akapigwa na mshangao anauliza " jamaani huyu si Lissu" mwisho akasema " ambaye hajakuumba hawezi kukuumbua"

Mama yule alitoka akiwa na bashasha tele baada ya kuambiwa Lissu anagombea urais.
 
Kama Kura za Maoni ccm walitumia makapu ya hela Rushwa sijui itakuwa makapu mangapi kura hii? Lol! Yetu macho! Mpaka mawaziri kama Yule mama anagawa pesa kama njugu na wote waliochukua fomu wote wanalalamika kuwa kutoa hela ilikuwa lazima!
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Pumbavu
Mnapakua picha mitandaoni ili mumdanganye nani ?
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Mkuu naomba kueleweshwa ziliposimikwa hizo windmills hapa tz tafadhali.
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Mkuu ongeza picha ziwe nyingi ili na Vijijini waone hizo picha maana huko Vijijini hamna taarifa za hivyo
 
oyaaa izi threads zote zishatosha sasa kila saa kitu icho icho
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.


Tanzania ni zaidi mno ya Dar:

Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea

IMG_20200808_073721_332.jpg


IMG_20200810_152339_062.jpg


IMG_20200808_085621_609.jpg
 
Makamanda kwa kutiana molali mko njema, uhalisia John pombe magufuli wa ccm atatangazwa mshindi baada ya kuongoza kwa kura nyingi sana.
Hata mtoto wa mkulu juzi tulikuwa nae mahala anasema kabisa anajiandaa kuondoka white house
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Ametujengea sisi hayo! Lissu akitawala atayaendeleza tu hakuna ubaya!
 
ichumu lya,

Porojo aiseee. LISSU mwenyewe amekiri kuwa kwa maendeleo haya yaliyofanywa na RAIS WETU MPENDWA JPM tena kwa kipindi kifupi, Aisee PAMOJA na Marisasi ya kutengeneza na sanaa kutoboa ni kazi so wamekubaliana waanzishe mitafaruku akamatwe apate umaarufu wa huruma.

Hayo madude yanamsaidia nini mwananchi wa Bugembe kwimba?
 
Back
Top Bottom