Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu.na Ni very selfish huyu jamaa!!!
Hiyo misaada unayoililia inakuasaidia nini wewe binafsi.Huwazi suala la kuikomboa nchi yako iepukane na misaada,unawaza kupewa tu misaada kila siku,ndio nyie mnaambiwa muoane wa jinsia moja ili mpate misaada
 
Mwanasheria wa kweli hawezi kupindisha ukweli wa kauli zake kijinga jinga hivi, eti kwa sababu ya vijisent kidogo ili taifa liangukie kwenye mikono ya fisadi kuu (mh Lowasa) kama walivyokuwa wanamwita. Mwanasheria wa aina hii anaweza hata kukufanya ushindwe kesi kisa tu waliokushitaki au uliowashitaki wamempa chochote ajaze tumbo lake. Hana tofauti na yule mchungaji wa afrika kusini ambae alikuwa tayar kuwalisha binadam menzake nyasi, ili yeye na familia yake mkono uende kinywani. Toka aoneshe dhahiri kuwa anapigania tumbo lake kupitia mgongo wa siasa za hovyo, watu wenye akili wote tumempuuza, na haaminiki tena kama anaweza kusimamia kesi za watu kwa uadilifu na ukweli.

View attachment 1900881

View attachment 1900882

View attachment 1900883
Huyo lowasa fisadi mbona yupo huko huko barazani kwenu tumbusi wewe au ndio kusema ccm wote akili ni za vilabuni
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.

Kwani johntheBaptist anasemaje?
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu.na Ni very selfish huyu jamaa!!!
Mmesababisha akakimbia nchi, halafu leo mnamuona mbaya kwa kukimbia nchi, nyie ni mizigo ya hili taifa.
 
Mwanasheria wa kweli hawezi kupindisha ukweli wa kauli zake kijinga jinga hivi, eti kwa sababu ya vijisent kidogo ili taifa liangukie kwenye mikono ya fisadi kuu (mh Lowasa) kama walivyokuwa wanamwita. Mwanasheria wa aina hii anaweza hata kukufanya ushindwe kesi kisa tu waliokushitaki au uliowashitaki wamempa chochote ajaze tumbo lake. Hana tofauti na yule mchungaji wa afrika kusini ambae alikuwa tayar kuwalisha binadam menzake nyasi, ili yeye na familia yake mkono uende kinywani. Toka aoneshe dhahiri kuwa anapigania tumbo lake kupitia mgongo wa siasa za hovyo, watu wenye akili wote tumempuuza, na haaminiki tena kama anaweza kusimamia kesi za watu kwa uadilifu na ukweli.

View attachment 1900881

View attachment 1900882

View attachment 1900883
Huyo fisadi Lowassa mbona alipokelewa na mwenyekiti wa Ccm taifa kwa sherehe pale Lumumba ?!. Au siku hiyo ulivaa miwani ya mawe ?!
 
Suala la kuwa na akili za darasani halitoshi au haliwezi kuwa kigezo cha kuwa mtu mwenye impact sahihi katika jamii.

Ila pia tukubali kuwa intellectualism ikiambatana na the right attitude inaweza kumfikisha mtu mbali. Mwalimu Nyerere alikuwa the smartest student katika madarasa aliyowahi kupitia, lakini kilichomfikisha hapo siyo usmart wake kichwani tu, ni usmart wake + the right attitude.

Lissu ni smart hilo halina ubishi. Ila kwa bahati mbaya nadhani hakuweza kutumia vizuri usmart wake hivyo attitude yake ya usmart wa darasani ameiendeleza hata kwenye mambo yanayohitaji moyo zaidi ya ubongo.

Uprofesa kunamfaa zaidi.
Pumba
 
Simply I can say; "History is more than the path left by the past 'cause it influences present tmes and equally paints the future times.

Viongozi wa CCM siku zote huwaogopa sana watu wenye akili kubwa, hasa wale ambao wana uthubutu wa kuonyesha mapungufu yao. Hakika uwezo na umahiri mkubwa wa Tundu Lissu katka masuala ya kisheria, ndiyo hasa sababu kuu ya chuki kwake kutoka kwa makada vilaza na mahafidhina katika chama tawala.

Na hii si kwa Lissu pekee yake, bali hata hivi karibuni tulilishuhudia ukweli kupitia misimamo ya ex CAG Prof. Mussa Assad. Nchi inaendeshwa kupitia akili za watu wenye uwezo mdogo mno, kisa eti ni makada waaminifu wa chama tawala.

Wewe ebu jaribu kuchunguza sifa za wateule wengi walioaminiwa kushika madaraka hapa nchini baada ya kifo cha Mwl. Nyerere. Nachelea kusema wengi wao wala hawana sifa wala weledi ya kupewa dhamana hizo.

Hii ndiyo sababu iliyopelea mpendwa wetu Ben Saanane kukutwa na kizungumkuti pale alipoanza kuhoji uhalali wa shahada ya uzamivu yenye kugubikwa na utata mwingi ya mwendazake. Nathubutu kusema kusema Lissu alikutwa na yaliyomkuta na kunusurika kufa kutoka na hofu hii ya ukilaza iliyowajaa makada hao ili kuepuka hoja zake kinzani.
Maprofesa wapo wengi tu, wenye taaluma zao kubwa, tatizo wameamua kuzikimbia taaluma zao na kwenda kwenye siasa ambapo kuna maslahi zaidi, huko wamejikuta wanageuzwa watumwa na wenye akili ndogo zaidi yao nao kushindwa kujitetea kwasababu ya kutetea ugali wao, maprofesa wetu wamekuwa watumwa wa laymen.
 
Nikukumbushe- Aliutambua mchango ( kwa kumtaja jina) wake mkubwa uliowasaidia sana kufikia maamuzi katka mijadala.
 
Sasa hiyo ya kuwa best student katika kitivo chake inalisaidiaje taifa letu tofauti na kufanya uhuni wa siasa huko ughaibuni akishinikiza tukatiwe misaada,Bure kabisa huyu mtu.na Ni very selfish huyu jamaa!!!

Best student asiye na manufaa yoyote kwa taifa lake
 
Akihojiwa na Sarah Wambui Mwangi akiwa Nairobi Tundu Lissu alisema kabla ya kuangukia kwenye siasa alitamani sana kuwa PROFESA wa Sheria ili arudi kufundisha UDSM. Ufinyu wa bajeti uliokuwepo Chuo wakati huo wakati huo haukuwezesha ajira yake kufanikiwa na hivyo akaingia kitaa kutafuta ajira.

Katika maelezo yake Tundu Lissu anasema alikuwa best student pale chuo kikuu katika mwaka wao kwa maana ya kuwa alipaata ufaulu wa juu zaidi kuliko wanafunzi wote wa kitivo cha Sheria.

Akili na Uwezo wa mwanasiasa na wakili huyu nguli unafanya aonekane genious, kumbe una support ya historia yake ya kitaaluma.

Leo naomba tupate ushuhuda kwa waliosoma na Tundu Lissu Uwezo wake na akiwa darasani na kwenye mijadala mbalimbali tangu akiiwa primary, secondary hata chuo kikuu.

Tu appreciate Uwezo wa watu wengine wanaoonekana kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali.

Maendeleo hayana CHAMA.
Lissu alikuwa kichwa cha Ilboru..Pale chadema wamejaa vichwa
. Mnyika nae amewahi kuwa mwanafunzi bora kitaifa form 4 na form 6
 
Back
Top Bottom