MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Mbona ratiba ya kuchangisha pesa hamjaibadiliKwani hujamsikia mwenyekiti akisema wanabadili ratiba kwa leo ili kuongelea mstakabali mzima wa uchaguzi na enguaengua ya wapinzani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ratiba ya kuchangisha pesa hamjaibadiliKwani hujamsikia mwenyekiti akisema wanabadili ratiba kwa leo ili kuongelea mstakabali mzima wa uchaguzi na enguaengua ya wapinzani?
Umekurupuka...jitahidi kukaa kwa kutulia...wewe ni mmoja wa wajenga hoja wazuri...kuwa Neutral...kama ulivyosimama kwenye suala la kuapishwa kwa MwiguluLissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/ Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Ameongea zaidi ya saa nzimaKaongea sema kaongea ambayo tulikuwa hatuyasubiri kwa hamu.
Yaani saa nzima kaongea kuhusu kupigwa kwake risasi,waliokosea kujaza form wakaenguliwa na kupitisha bakuli la kuomba michango,kutoa number ya kuomba michango.Ameongea zaidi ya saa nzima
Mbona unaongea/kuandika kikike?Presidential material yupoje? Maana wabongo aisee mnafurahisha sana kwa kujifanya mnayajua material. Tangu mjue material ya kutengenezea batiki basi imekua nongwa.
Kwa hiyo Presidential material ni yule ambaye anaagiza wakurugenzi kufuta wagombea, kuwateka, kuwabambikiza kesi ili wakose vigezo n.k?
Ndo uneutral wenyewe huu,Chadema nao wakichemsha tunawasema ili wajirekebishe.Umekurupuka...jitahidi kukaa kwa kutulia...wewe ni mmoja wa wajenga hoja wazuri...kuwa Neutral...kama ulivyosimama kwenye suala la kuapishwa kwa Mwigulu
Alitakiwa afupishe mengine,ili ajikite kwenye main body. Shukrani alishatuomba siku anatua bongo.Lissu alitamka wazi kwamba hawezi kuomba kura wakati 30% ya wagombea wameenguliwa na pili alisema kwanza ndio anafungua kampeni hana budi kutoa shukrani kwa wale wote waliotia mkono kuokoa maisha yake!! Sasa ataoaje shukrani bila kueleza jinsi walivyo shiriki hao anaowapa shukrani?
Kwa hiyo anajitoa kwenye uchaguzi au ndio tusubiri fujo, maana kwa maeneo hayo ni sifa yenu kuu baada ya filamu zingine kushindwa??Kasema hawezi kuzindua ilani wakati wagombea wote wamekatwa nani ataenda kuitetea iyo ilani kwenye vijiji kata au Majimbo by the way nimemuelewa.
Hizo ni danganya toto hauoni wakionyesha picha wanaonyesha za Dar tu pale mijini. Waambie wakuonyese za Katavi,Mtama,Magu,Kondoa ndo utajua Tanzania ni kama Ulaya ama la.Kweli dada? Mbona sisi tuliopo nnje twaambiwa Tanzania kama Ulaya!?
Ajira milioni 6 zimetengenezwa.
Wakulima wametajirika kwa kupatiwa pembejeo kwa wakati na za kutosha kulikopelekea kuzalisha kwa wingi na kuuza kwa bei nzuri kwenye masoko yaliyotafutwa na serikali.
Maslahi ya wafanyakazi yameboreshwa ndio maana utendaji kazi na nidhamu vimeongezeka.
Mkuu Victoire ,hayo yako umeyatoa wapi?
Presidential material yupoje? Maana wabongo aisee mnafurahisha sana kwa kujifanya mnayajua material. Tangu mjue material ya kutengenezea batiki basi imekua nongwa.
Kwa hiyo Presidential material ni yule ambaye anaagiza wakurugenzi kufuta wagombea, kuwateka, kuwabambikiza kesi ili wakose vigezo n.k?
So if u have 2 month towards election on 28/10/2020 , hence U have time to make an appeal on those names of saccoss aspirants , whose names were eliminated from the list of would be contestants of this year election due to various reasons and Kishoa ? Also she has time to request NEC to deal with her request on Mwigula Nchemna issue rather than resorting to violence actsCampaign is a MARATHON and not a SPRINT VIctoire, We still have 2 months to go before the end game provided that those figisu figisu wanazofanyiwa Chadema na ACT are eliminated otherwise expect and prepare for the worse election that we have seen in our lifetime and there is a possibility so many Tanzanians in Mainland and Island will lose their lives.
kwa kifupi aliongea pumba tupu.Yaani saa nzima kaongea kuhusu kupigwa kwake risasi,waliokosea kujaza form wakaenguliwa na kupitisha bakuli la kuomba michango,kutoa number ya kuomba michango.
Siyo tuliyosubiria siku kuu kabisa ya ufunguzi wa kampein.
How will he do better that the others ......., ndio sera yake inatakiwa kujikita hukoDada amegusia, Kasema anataka kujenga taifa lenye misingi ya haki na utu ambao ndiyo msingi wa maendeleo.
Lakini hela za kuchangiwa kwa uchaguzi anaofanyiwa uhuni na NEC aliomba?? Kwa wananchiBasi wewe ni muongo, hujasikiliza mwanzo mwisho. Mbona mwanzoni alisema kabisa kuwa hatazindua kwa hotuba kwa sababu ya uhuni tume uliyofanya?
Lakini hela za kuchangiwa anao muda wa Kuziomba na Gari lake lilopigwa risasi anao muda wa kuliomba au kulitaka ktk "vurugu mshenzi ya leo "Amesema,atasema siku nyingiene na siyo kwenye vurugu mshenzi ya leo.
Sema maandamano ndio sera yao ???Wanaanza maandamano kwanza. Sera baadaye
Mbona juzi Kaongea kuongeza mishahara ya ma daktari na waalimu n.k au kick zime buma?Amesema haongei leo