Emky
Senior Member
- Feb 2, 2018
- 144
- 161
kwenye kampeni ni kazi na bata mkuu baada ya kazi nzito ya miaka mitanoTumefanya kampeini miaka mitano kumbuka...Hivi kuna aja gani ya kutumia wasanii na bilioni 17 kupiga kampeini wakati tumefanya mengi mfano SGR,JNHPP,ELIMU BURE ...nk hizo pesa tuwapeni vijana wasio na ajira kama mitaji.