TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ha ha ha haa ! Vipi Mkuu, na wewe ulikuwa umeshapata tenda ya udalali kutuuza watanzania kwa mafungu nini! Mbona mbio hivi. ha ha haaa!Kwaio wewe ni presidential material?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha haa ! Vipi Mkuu, na wewe ulikuwa umeshapata tenda ya udalali kutuuza watanzania kwa mafungu nini! Mbona mbio hivi. ha ha haaa!Kwaio wewe ni presidential material?
Duuuuu na wewe uanjiita mwanaume kwenye familia yako ,Tanzania kuna shida nyingi ya kudumaa kwa akili za watu.Haufatilii unakuja na porojo zakoSiku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya yamkimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani. Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!? Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Ebu muulize vizuri, huyo Lissu atawalipaje Jumuiya ya kimataifa wakimuweka madarakani?, God forbid..!Kwahiyo kwasasa tumeuzwa kwa wachina na yeye anataka kutuuza kwa wazungu?
Alisema leo haombi kura,hukumuelewa?Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
H aha haaa! Mkuu sidhani kama na wewe umo kwenye kundi linalosuka mpango wa kutupiga bei kwa mafungu...Ha ha haaaa!Presidential material yupoje? Maana wabongo aisee mnafurahisha sana kwa kujifanya mnayajua material. Tangu mjue material ya kutengenezea batiki basi imekua nongwa.
Kwani jumuia kinataifa wanakuja nao kupiga kura mkuu ?🙄🙄Ebu muulize vizuri, huyo Lissu atawalipaje Jumuiya ya kimataifa wakimuweka madarakani?, God forbid..!
Jamani...si ni Chadema hii hii ambayo huwa inajinasibu ni 'Akili Kubwa'! Iweje leo akili kubwa ibabaishwe na uenguaji wa wagombea? Chadema imekwama wapi?Kwani wewe huku kuengua wagombea unaona ni sawa maana seriakali inatumia dola kuengua wagombea unataka asemaje kama watu wanataka wapite bila kupingwa kama ilivokuwa serikali za mitaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni opposite ya Mgombea wa sasa aliyewekwa na Chadema kwa kuanzia...zipo sifa nyingine.
Ha ha haaa! Pole sana. Mmechagua fungu la kukosa hamna namna....zaidi ya kuboresha lugha zenu za kejeli...Ha ha haaa! Tanzania ni Kubwa sana, Mkuu.Duuuuu na .......anzania kuna shida nyingi ...... na porojo zako
Amesema ana hotuba ndefu lln leo analalamikia tume lwanzaKaongea sema kaongea ambayo tulikuwa hatuyasubiri kwa hamu.
Mkuu najua, wewe kuna mahali 'frequencies' zangu na zako huwa zina soma tarakimu za aina moja. Ila huku, Mkuu, naomba uniache kidogo niji'mwambafai' kwa hawa wanaoleta masihara na nchi yetu sote. Hah haaaa!Kwani jumuia kinataifa wanakuja nao kupiga kura mkuu ?🙄🙄
Una akili fupiSiku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya yamkimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani. Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!? Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Pole sana! Ha ha haaa! hakuna namna, ni kuwapa Pole tu, Mkuu. Ha ha haaa!Una akili fupi
Usipangie ukinipangia ndio unaharibu kabisa by Jiwe mgombea asiyejua kujaza fomu .Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Je NEK itaengua wapinzani wote?Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Mm pia nilitegemea hilo, kwa kawaida siku ya kwanza ya ufunguzi wananchi wanakua na shauku au morali ya kusikia mgombea atawafanyia nn kama wakimchagua kwenye nafasi husika, kwa hili leo cdm imedhihirisha inakwenda kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mwaka huu