Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!

Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya yamkimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani. Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!? Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Duuuuu na wewe uanjiita mwanaume kwenye familia yako ,Tanzania kuna shida nyingi ya kudumaa kwa akili za watu.Haufatilii unakuja na porojo zako
 
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.

Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.

Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.

Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.

Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Alisema leo haombi kura,hukumuelewa?
 
Presidential material yupoje? Maana wabongo aisee mnafurahisha sana kwa kujifanya mnayajua material. Tangu mjue material ya kutengenezea batiki basi imekua nongwa.
H aha haaa! Mkuu sidhani kama na wewe umo kwenye kundi linalosuka mpango wa kutupiga bei kwa mafungu...Ha ha haaaa!
 
Kwani wewe huku kuengua wagombea unaona ni sawa maana seriakali inatumia dola kuengua wagombea unataka asemaje kama watu wanataka wapite bila kupingwa kama ilivokuwa serikali za mitaaa
Jamani...si ni Chadema hii hii ambayo huwa inajinasibu ni 'Akili Kubwa'! Iweje leo akili kubwa ibabaishwe na uenguaji wa wagombea? Chadema imekwama wapi?
 
Niliacha kusikiliza dk kama 15 hivi baada ya kusikiliza hotuba ya yeye kushambuliwa. Ni kweli alishambuliwa na kitendo kile sio cha kibinadamu hata kidogo, lakini kutoa hotuba ya namna ile mwanzo mwisho ni upotevu wa rasilimali.
 
Kwani jumuia kinataifa wanakuja nao kupiga kura mkuu ?🙄🙄
Mkuu najua, wewe kuna mahali 'frequencies' zangu na zako huwa zina soma tarakimu za aina moja. Ila huku, Mkuu, naomba uniache kidogo niji'mwambafai' kwa hawa wanaoleta masihara na nchi yetu sote. Hah haaaa!

Mimi nchi yangu ni Tanzania sina nchi nyingine. Ukigusa Tanzania unanigusa.
- - - -
Nadhani, umenipata Mkuu.
 
Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!

Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya yamkimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani. Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!? Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Una akili fupi
 
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.

Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.

Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.

Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.

Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Usipangie ukinipangia ndio unaharibu kabisa by Jiwe mgombea asiyejua kujaza fomu .
 
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.

Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.

Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.

Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.

Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Je NEK itaengua wapinzani wote?
 
Mm pia nilitegemea hilo, kwa kawaida siku ya kwanza ya ufunguzi wananchi wanakua na shauku au morali ya kusikia mgombea atawafanyia nn kama wakimchagua kwenye nafasi husika, kwa hili leo cdm imedhihirisha inakwenda kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mwaka huu

Lissu kani disappoint sana, sijui anaemuongoza ni nani.
Yeye kazi yake kulalamika tu
 
Back
Top Bottom