Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Eti maandamano kwa msaada wa jumuiya za kimataifa, hahahaàaaaaaaa Lissu you are less serious. By the Ivory Coast walimtimua Bagbo kihuni sasa wananchi wanamtafuta kwa tochi agombee aliokoe taifa, baada ya wahuni kushindwa kuiongoza nchi.Mapinzani bana eti yanataka kutibua AMANI