Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Eti maandamano kwa msaada wa jumuiya za kimataifa, hahahaàaaaaaaa Lissu you are less serious. By the Ivory Coast walimtimua Bagbo kihuni sasa wananchi wanamtafuta kwa tochi agombee aliokoe taifa, baada ya wahuni kushindwa kuiongoza nchi.Mapinzani bana eti yanataka kutibua AMANI
 
Sema nyinyi wababaishaji wa maisha amewachosha! Lakini watz wengi watampa kura Magufuli.
Binafsi simpi kura yangu.Hata akishinda sitajuta. Najua miaka 5 mingine na Baba Suzanne itakuwa migumu sana.
 
Mm pia nilitegemea hilo, kwa kawaida siku ya kwanza ya ufunguzi wananchi wanakua na shauku au morali ya kusikia mgombea atawafanyia nn kama wakimchagua kwenye nafasi husika, kwa hili leo cdm imedhihirisha inakwenda kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mwaka huu
Tulimwambia aache pupa wananchi washamchoka tayari, yaani msafara wake ulikuwa na madari ya wabunge wa chadema tupu watu kiduchu yaani Hadi aibu, mie namgonja uncle Hashim tule maulidi,
 
Acha hizo!! Hii mechi hatashinda mnafikiri watz ni wa mchezo mchezo!! Tayari wameshaanza kuwapa za kichwa tena Mbagala mmeshindwa kujaza uwanja!!!
sasa mbona mnaogopa uchaguzi? nendeni kwenye sanduku la kura mkapambane huko na "vidume"!
 
Tulimwambia aache pupa wananchi washamchoka tayari, yaani msafara wake ulikuwa na madari ya wabunge wa chadema tupu watu kiduchu yaani Hadi aibu, mie namgonja uncle Hashim tule maulidi,
Yaani Hashim kwa dalili amefanya vizuri kuliko CDM.. anarelate na Umma. Generally unaona kuna shida (Kama hii ya ukosefu was mlo mzuri) ameiona na ana mkakati wa kuitatua Hata kabla ya ofisi. Anatia moyo.

Huyu jamaa yeye anataka ahurumiwe tu.. lazima tumuogope Sana.. akiingia akashindwa atataka ahurumiwe Tena.. unataka Kuwa Kiongozi halafu unadeka!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilitegemea leo ndio siku ya kuzindua kampeni na sera,!

Hebu chadema twambieni kulikuwa na nini leo Mbagala?
Halafu wale wadogo wa Hai wanamsubiri wambebee mabango kule singida Yuko kaka athuman, fundi wa meno.
 
Mimi nilitegemea leo ndio siku ya kuzindua kampeni na sera,!

Hebu chadema twambieni kulikuwa na nini leo Mbagala?
Shida inakuja ilani yote ..unayojaribu kuizindua mwenzako anaitekeleza tayari. Like clearly ..unahisi watasema Nini kipya! Ambacho CCM haijafanya!?

Na Watanzania Kama waajiri wema, tutakupima kwa uwezo na "Eksipiriensi" [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.

Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.

Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.

Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/Watanzania ambapo Magufuli kafail.

Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Amesema haongei leo
 
Jumuiya ya kimataifa hii mnayoita mabeberu ndio unalaumu anatukosanisha nayo?? Nilidhani mnasema hatuhitaji mabeberu.
Mabeberu wanajulikana na Jumuiya ya Kimataifa inajulikana...usitake kuhamisha magoli muda huu wa dakika za lala salama. Ha ha ha haaa!
 
Dada unafeli sana...

Huna masikio?

Kasema leo ni kupeana maelekezo way forward,hawezi toa sera wakati more than 100 candidates are down......

Sera ya leo ni maandamano nchi nzima wagombea wetu warudishwe.....

Kwa kifupi hakuna uchaguzi bila vurugu kuanza....

Ni candicates wetu 100 warudi,hiyo ndio hoja ya leo....

You have been warned!
Warned na nyie utopolo subirieni ndo kwanza mziki unaanza
 
Back
Top Bottom