Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Umekurupuka...jitahidi kukaa kwa kutulia...wewe ni mmoja wa wajenga hoja wazuri...kuwa Neutral...kama ulivyosimama kwenye suala la kuapishwa kwa Mwigulu
 
Ameongea zaidi ya saa nzima
Yaani saa nzima kaongea kuhusu kupigwa kwake risasi,waliokosea kujaza form wakaenguliwa na kupitisha bakuli la kuomba michango,kutoa number ya kuomba michango.
Siyo tuliyosubiria siku kuu kabisa ya ufunguzi wa kampein.
 
Mbona unaongea/kuandika kikike?
Unaushahidi wa Raisi kutoa amri au ushauri huo???
 
Umekurupuka...jitahidi kukaa kwa kutulia...wewe ni mmoja wa wajenga hoja wazuri...kuwa Neutral...kama ulivyosimama kwenye suala la kuapishwa kwa Mwigulu
Ndo uneutral wenyewe huu,Chadema nao wakichemsha tunawasema ili wajirekebishe.
 
Alitakiwa afupishe mengine,ili ajikite kwenye main body. Shukrani alishatuomba siku anatua bongo.
 
Kasema hawezi kuzindua ilani wakati wagombea wote wamekatwa nani ataenda kuitetea iyo ilani kwenye vijiji kata au Majimbo by the way nimemuelewa.
Kwa hiyo anajitoa kwenye uchaguzi au ndio tusubiri fujo, maana kwa maeneo hayo ni sifa yenu kuu baada ya filamu zingine kushindwa??
Naona alikuwa anataka "gari" lake ili aka act hizo movie zao
 
Hizo ni danganya toto hauoni wakionyesha picha wanaonyesha za Dar tu pale mijini. Waambie wakuonyese za Katavi,Mtama,Magu,Kondoa ndo utajua Tanzania ni kama Ulaya ama la.
 

Usijibishane na wapumbavu mkuu, unapoteza muda wako bure.
 
So if u have 2 month towards election on 28/10/2020 , hence U have time to make an appeal on those names of saccoss aspirants , whose names were eliminated from the list of would be contestants of this year election due to various reasons and Kishoa ? Also she has time to request NEC to deal with her request on Mwigula Nchemna issue rather than resorting to violence acts
 
Yaani saa nzima kaongea kuhusu kupigwa kwake risasi,waliokosea kujaza form wakaenguliwa na kupitisha bakuli la kuomba michango,kutoa number ya kuomba michango.
Siyo tuliyosubiria siku kuu kabisa ya ufunguzi wa kampein.
kwa kifupi aliongea pumba tupu.

Hayo aliyoongea hayakuwa ya kufungulia kampeini, na mengi alishayaongea mara nyingi sana kila alipokuwa akipata nafasi na huko kwenye mikutano yake ya hadhara ya kutafuta wadhamini maana ni yeye tu aliyetafuta wadhamaini kwa mikutano ya hadhara kinyume cha sheria; kulikuwa hakuna haja ya kuyarudia tena. Ameonyesha kuwa kampeini yake iko driven na grievances zake binafsi kupigwa risasi, siyo driven na grievances na interests za watanzania.

Nakubaliana naye kitu kimoja tu, kuwa mtanzania anatakiwa aishi bila hofu ya kushambuliwa na kupigwa risasi kama alivyofanyiwa yeye, lakini uchaguzi wa rais siyo malipo ya pole ya kupigwa risasi
 
Basi wewe ni muongo, hujasikiliza mwanzo mwisho. Mbona mwanzoni alisema kabisa kuwa hatazindua kwa hotuba kwa sababu ya uhuni tume uliyofanya?
Lakini hela za kuchangiwa kwa uchaguzi anaofanyiwa uhuni na NEC aliomba?? Kwa wananchi
Za nini ??? Je akijitoa kwenye uchaguzi atazirudisha au atazipeleka wapi ???
 
Amesema,atasema siku nyingiene na siyo kwenye vurugu mshenzi ya leo.
Lakini hela za kuchangiwa anao muda wa Kuziomba na Gari lake lilopigwa risasi anao muda wa kuliomba au kulitaka ktk "vurugu mshenzi ya leo "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…