BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Dalili ya mvua ni mawingu. Jana ilikuwa ni siku muhimu sana aongee kama Rais yeye atafanya nini ?Mwandishi,hili bandiko lako umeanza kuniangusha sasa,nikuulize swali la kizushi,hivi jamaa akikutokea,siku ya kwanza tu anakuahidi ntakupa au mnaanza kwanza urafiki,polepole ndo utamjua utafaidikaje?
Kwako lady victoire[emoji2][emoji2][emoji2]
Kwa Hiyo "presidential material" Ni yule anayefanya kazi ya kubambikizia kesi raia wasio na hatia, kuteka, kuua, kuiba kura, nk??Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya ya kimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani.
Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!?
Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Tundu Lissu kapona ila kuna wengine hawajapona. Na siku zote jitu uuaji huwa haliachi litaendelea kuua tu watu maana linaona ndio suluhisho la kunyamazisha watu.Kama matatizo yalishaisha,la yupo kwenye stuation nzuri why asinipe pesa ?Tunaishi muda uliopo and hoping for the future. The past has already gone,why living the past ?While we know what has passed has passed.
Akili yako butu! First impression matters a lotSiku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa
Haraka ya nini wewe mwanamke!.Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/ Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Mkwanja je mbona kaongeleaKasema hotuba amabayo aliiandaa hataisoma.
Wanataka wadeal kwanza na wagombea walioenguliwa.
Hakuna uchaguzi in saccos voiceHivi wewe kwa akili yako unadhani Lissu ni wa kushindwa kutamka kauli moja tu kuwa "ataboresha maslahi ya watumishi wa umma?"
Ni kwa sababu uchaguzi huu umeshakuwa useless, wakiengua wagombea wako 50 maana yake ni kwamba there is no way unaweza kuwa na wabunge majority na maana yake huwezi kutoa waziri mkuu kwa kuwa waziri mkuu inabidi atoke kwenye chama kilichoshinda wabunge wengi.
Yaani kunadi sera ni kupoteza muda tu, hakuna uchaguzi
Hayo material yanatengenezwa kiwanda gani?.,au yanachimbwa mgodi gani?.Nikwambie tu kua acha kudanganya aise.Kwenye nchi hii mtu yoyote anaweza kua rais kama atakidhi vigezo vilivyoainishwa kwenye katiba,kama wewe huwezi ilo ni tatizo lako binafsi.Vinginevyo niambie ni wapi hayo material yameandikwa.Na je kati ya wagombea waliopo unadhani nani ana ayo material ili tujue sasa endapo atashinda yeye nchi itakua tofauti na ilivyo sasa.Navile vile kwa ujinga na umaskini uliokithiri nchi hii unawezaje kuibeza nguvu ya jumuia ya kimataifa.Nchi haina mfumo wowote ule wakijitegemea alafu unaleta kiburi chakuzarau nchi zinazokusaidia.Acha kujitoa ufahamu.Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya ya kimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani.
Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!?
Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Yaani kawafanya wa Tz ni wajinga hivyo, waache kujitafutia maendeleo na chakula chao wapiganie "urahisi" wa AntipussHapo kwenye maandamano ndo pagumu. Je watu wataitikia ?Watanzania tunavyoogopa kipigo cha mbwa koko.
Ya saccos ni ya saccos na ya waigizaji wazalendo ni ya waagizaji wazalendo.Imagine wagombea 50 wa Chadema wameshakatwa na wagombea 20 wa ACT huko zanzibar wameshakatwa, maana yake CCM imeshalamba wagombea 70 mezani.
Sasa huo ni uchaguzi au ni uchafuzi?
Jiwe anataka kubadili katiba aongeze muhula wa utawala kwa hiyo lazima awe na idadi minimum ya wabunge wa upinzani wa kumpinga haswa wa Zanzibar, maana anahitaji theluthi mbili kutoka pande zote za Muungano kubadili vifungu vya katiba
Wewe utafungwa na CDM!..shauri zako nani kakuambia hiyo ndio Sera yao?!Sera yetu kuu ni kuwafungua akili wa Tz kwamba ccm na rais wake ni wahuni fulani wa kisiasa hawastahili kuongoza nchi hii,.........,
Kama akili yako ipo timamu utajiongeza hapo lakini kama una akili za kushikiwa kwa hadaa ya kununua bombadia huwezi kuelewa
Yeah it is very true.kwa kifupi aliongea pumba tupu.
Hayo aliyoongea hayakuwa ya kufungulia kampeini, na mengi alishayaongea mara nyingi sana kila alipokuwa akipata nafasi na huko kwenye mikutano yake ya hadhara ya kutafuta wadhamini maana ni yeye tu aliyetafuta wadhamaini kwa mikutano ya hadhara kinyume cha sheria; kulikuwa hakuna haja ya kuyarudia tena. Ameonyesha kuwa kampeini yake iko driven na grievances zake binafsi kupigwa risasi, siyo driven na grievances na interests za watanzania.
Nakubaliana naye kitu kimoja tu, kuwa mtanzania anatakiwa aishi bila hofu ya kushambuliwa na kupigwa risasi kama alivyofanyiwa yeye, lakini uchaguzi wa rais siyo malipo ya pole ya kupigwa risasi
Hii sio Mara ya kwanza kwa mgombea wa Cdm kufanya hivyo...Ma UVCCM mnajifanyaga mna akili lakini ukweli ni kwamba kichwani mwenu mmebebelea makamasi badala ya ubongo. Ina maana hukumsikia Lissu akisema kwa nini hatatoa hotuba yake ya uzinduzi kama alivyokuwa ameandaa?
Slaa was a great value kwa chademaLissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/ Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Na wakijaa Wanasema sio wote watakaopiga Kura hasa ikiwa upande wa Upinzani. Ila wakijaa upande wa Chama Tawala, wote watapiga Kura na ushindi utategemea uwingi wa watu. Tunayumbayumba kwenye kauli zetu.Ninyi watu ni waajabu sana, watu wakijaa mnasema wamekuja kumshangaa....wasipojaa mnasema wamepuuza....sasa waweje?[emoji3][emoji3]
naona lissu watamuuwa tenaWakate rufaa kama wanaona wameonewa. Tatizo wapemba wengi shule zero. Chama kilitakiwa kiwaelekeze jinsi ya kujaza form.One mistake one goal.