Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Mwingine akikufunika siku ya kwanza hutomshika.Siku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa
Usijidanganye, Picha uliyoweka huku ndio inakuumbua zaidi kwa tunaojua picha zilivyo. UKITAKA JUA HAMNA WATU, ANGALIA HHUYO MTU ALOPIGA PICHA NA JUKWAA LILIPO, HAIZIDI UMBALI WA FENSI YA NYUMBA YA VYUMBA VINNE. NDIO UJUE WATU WANA UCHUNGU NA NCHI YAO.
Nyie ndo vilaza. Hivi mtu ana hotuba na asiisome Kweli ??Hebu tumieni akili basi. Hakuwa na hotuba yule. Siku ya jana ilikuwa muhimu sana kwa kunadi sera zao.
Nimemuelewa. Binafsi nilitaka kusikia pia yeye atafanya nini ili kuweka mazingira mazuri kwa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania ?
Niandamane mie anaeogopa wewe,whats this?Hapa jf mbona mnaandamana kila siku kuna jipya?we ingiza hilo wowowo mtaani unyooshwe keyboard warrior
Ndo wakate rufaa sasa. Haki ya mtu haipotei.
Basi wajiondoe kama walivyofanya serikali za mitaa.
Keyboard warriors mtapata shiida sanaNiandamane mie anaeogopa wewe,whats this?
Fvck outta my way gay maafaka!
Huo ujinga na umasikini ni Nani katufikisha hapa tulipo?Ohoooooo,Lissu mzima kabisa. Sema mimi natamani sana nimsikie akise kuhusu Tanzania zaidi. How tutatoka kwenye Ujinga na umaskini.
Jomba umevurugwa siku ya kwanza ndio unatakiwa ujipambanue wazi kw kila kitu..unaweka mambo hadharani siku nyingine yanakuwa marudio tu. Kwa mtaji huo hapo patupu hakuna kitu..hapo..atawahadithia tu jinsi walivyochapana risasi wenyewe kwa wenyewe .hahaha. Hajui kwamba kimlacho kinguoni kwake mulemule...Siku ya kwanza hii, kaa mkao wa kula sasa
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.
Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.
Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.
Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/ Watanzania ambapo Magufuli kafail.
Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Na ndio tatizo linalo tukabili sana Watanzania. Tumezoea siku zote kulishwa uongo kiasi hatusikilizi kwa makini nini kimesemwa.Mm nafikiri hujasikia vizuri, ni kwamba Leo ilani haijazinduliwa sababu ya kuweka sawa suala la wagombea walioenguliwa
Kiswahili ni kirahisi mno
Mm nafikiri hujasikia vizuri, ni kwamba Leo ilani haijazinduliwa sababu ya kuweka sawa suala la wagombea walioenguliwaSiku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya ya kimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani.
Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!?
Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Siku kadhaa zilizopita Niliposema Lissu is not a " Presidential material", kwa wengi sikueleweka. Leo nadhani wengi watakuwa wameanza kunielewa!
Yaani badala ya kujenga hoja kwa wananchi wamchague, " Ni yeye" anaifitinisha Tanzania dhidi ya Jumuiya ya kimataifa. Tanzania ya watanzania tena ya wananchi wenye uwezo wa kumuweka madarakani.
Yaani anataka Jumuiya ya kimataifa ndiyo imuweke madarakani hapa nchini badala ya sisi watanzania ndiyo tumuweke madarakani. Sasa Lissu akisha wekwa madarakani na jumuiya hiyo ya Ulimwengu, atailipa nini!?
Siyo ndiyo, mwanzo wa Lissu kutuuza watanzania kwa mafungu...!!! Kwa hili, leo amepoteza nafasi adhimu ya kuwashawishi watanzania kwa hoja ili wamuweke madarakani.
Hawana masikio hawa.mbona kwenye intro remarks kasema clearly kuwa leo hatasoma hotuba ya kampeni yenye sera / ilani?
kasema first things first - and the first things ni kuishiniliza NEC ihakikishe wagombea wote (ubunge na udiwani) walioenguliwa wanarejeshwa kwanza tena bila masharti yoyote.
kasema sasa hivi ni maandamano ya amani nchi nzima na ametaka uungwaji mkono wa jumuiya ya kimataifa.
Nape Nnauye Mwigulu Nchemba na wengine wote mliotangazwa kupita bila kupingwa futeni hizo sherehe zenu - hii ngoma bado mbichi kabisaa!!
Rudi shule form 3 kasome photography interpretation ndio utaelewa. Hiyo picha imepigwa asububuhi mida ya saa tano. Jifunze kusoma wakati katika picha kwakutumia kivuli.Jazba zimemjaa watu hawajajitokeza wamempuuza, View attachment 1550843
Wanasubiri Chuma John Pombe Magufuli aongee halafu wampinge. Siasa za kusutana hazina nafasi Tanzania. HAPA KAZI TUU!!Chadema hawajetengeneza bado manifesto,tukisema chadema hawapo serious tanapa wanabisha
Kelele zote zile watu wameishia kupewa story za risasi na kuombwa hela