Uchaguzi 2020 Lissu njoo na ahadi ya kifuta machozi kwa waliofukuzwa kwa vyeti feki, kulipa malimbikizo ya salary increment za watumishi na ...

Uchaguzi 2020 Lissu njoo na ahadi ya kifuta machozi kwa waliofukuzwa kwa vyeti feki, kulipa malimbikizo ya salary increment za watumishi na ...

Tundu Lisu ni Messi wa siasa za Tanzania... yaani CCM sahiv hawana raha kwa kinachotokea kesho.

CHADEMA kweli mafundi
Le mutuz na cyprian Musiba wapo na waganga wa kienyeji mda huu wameomba bajeti kubwa kuwa watampiga ndumba Tundu lisu mpaka awe na kigugumizi ajikute anaongelea vitu vya kawaida sana ambavyo havitawashitua watanzania, cyprian Musiba na le mutuz wanakula pesa za CCM kiulaini kupitia vitu kama hivyo
 
Agenda za Lisu zi- base kwenye MAOVU/Machungu yote yaliyofanywa na awamu hii. Maana hakuna ambaye hajaguswa na hivyo lazima you will win the majority!
Ongezea
-Review ya wafanyabiashara wote waliofilisiwa biashara zao kama walitendewa haki.....tume maalum ya kutenda haki
- Kesi ambazo zina hukumu zenye utata ambazo watu wamepewa hukumu za "maagizo"
- Review ya kesi za uhujumu uchumi/kutakatisha fedha zote.... commonwealth judges kuhusishwa kuondoa bias
- Review ya manunuzi yote ambayo hayakupitia bungeni
-Mikataba yote iliyoingwa awamu hii
-Tender zote za awamu hii
etc Mwanahabari Huru
 
Agenda za Lisu zibase kwenye MAOVU/Machungu yote yaliyofanywa na awamu hii. Maana hakuna ambaye hajaguswa na hivyo lazima you will win the majority!
Ongezea
-Review ya wafanyabiashara wote waliofilisiwa biashara zao kama walitendewa haki.....tume maalum ya kutenda haki
- Kesi ambazo zina hukumu zenye utata ambazo watu wamepewa hukumu za "maagizo"
- Review ya kesi za uhujumu uchumi/kutakatisha fedha zote.... commonwealth judges kuhusishwa kuondoa bias
- Review ya manunuzi yote ambayo hayakupitia bungeni
-Mikataba yote iliyoingwa awamu hii
-Tender zote za awamu hii
etc Mwanahabari Huru
Asante sana.Tumsaidie kumkumbusha maana yeye kama mwanadamu kuna mambo ya msingi anaweza kuyasahau hivyo tumsaidie kwa njia hii.
 
Kuna mtu anataka kugombea urais China, lakini hotuba yake ya kutangaza nia atawahutubia wachina kutokea ufaransa na kwa lugha ya Kifaransa.
Baadhi ya wachina wanafurahi sana kwamba wamempata president candidate anajua vizuri kifaransa.
 
Aje pia na mpango wa kugawa million 100 kila kata baada ya ule wa ccm kugawa 50 milioni kila kijiji kufeli
 
Pia asisahau waliovunjiwa nyumba Kimara mbezi, malimbikizo ya wastaafu, kupunguza rate ya malipo ya HESLB, na kuongeza Elimu bure hadi form six
Azungumzie ukosefu wa ajira nchini, Aongee kuhusu kilimo cha korosho na maslahi ya mkulima wa kilimo hicho!
 
Kwani ilani ya uchaguzi ni mawazo au mtazamo binafsi wa mgombea au ni wa chama chake?
 
Kwani ilani ya uchaguzi ni mawazo au mtazamo binafsi wa mgombea au ni wa chama chake?
Umesoma ukaelewa au umekurupuka?

Pia tambua mgombea uraisi anaweza kuwa na ahadi zake mbali na zile zilizoko katika ilani ya chama chake ambazo huzitoa kulingana na mahitaji/matakwa ya wananchi au kulingana na yeye anavyoona inafaa.
 
Umesoma ukaelewa au umekurupuka?

Pia tambua mgombea uraisi anaweza kuwa na ahadi zake mbali na zile zilizoko katika ilani ya chama chake ambazo huzitoa kulingana na mahitaji/matakwa ya wananchi au kulingana na yeye anavyoona inafaa.
Nashukuru umetambua kuwa Ilani ni ya chama si ya mgombe. Ni kweli mgombea anaweza kuongeza yake kama ELIMU BURE ilivyoongezwa na kuja kutekelezwa
 
Safi sana. Navyomjua TL ataongea nondo zaidi ya hizi. Yule ndio Rais Bwana acheni masihara na Lissu
 
Hivi vyama ovyo Sana,mgombea huwa haji na yakwake bali ni ilani ya chama inasemaje
 
Yaani kuwa mwana chadema ni raha lkn chadema ni zaidi ya shule...inakufanya uliwazie Taifa Mambo makubwa makubwa tu na yenye faida kwa kizazi kijacho...wenzetu wanawaza kujinufaisha leo tu lkn ya kesho hawana hbr nayo kbs...badilikeni ninyi ma ccm
Aisee kuwa mwanachadrma hakuna stress. Full brudani halafu akili inakuaa step by step
 
Sitaki kuamini macho yangu, kweli CHADEMA ya leo imekuwa ya kutetea wizi? hivi hujui hao wa vyeti feki walipaswa kuwa jela!? wameachwa huru kutwa nzima wanamtukana JPM mitandaoni ni rehema na huruma ipi zaidi ya hiyo wanahitaji? kweli CHADEMA kinaenda zikwa, wacha niskilize muziki tu...[emoji445][emoji445][emoji2424] tunapigikaaaa tunasurubikaaaa.....[emoji445][emoji2424]bongo fleva ya zamani tamu sana.
Acha kuwaonea wenye vyeti feki waliajiriwa na nani waliowaajiri mbona wanadunda??
 
Siasa bwana,hapa akicheza karata vizuri anaweza ibuka but sio tl but kwa mwaka huu atakaecheza karata vzr kwenye hoja ya salary,pension namna inavyoathiri jamii kwa mapana yake atapata kura mno,acheze na saikoloji ya watu tu,
 
Mkuu uko vizuri......kimsingi hakuna MKULIMA, MFANYAKAZI, MFANYABIASHARA au MWANAFUNZI anayewaza kuiopigia kura chama cha kishetani ccm kwahiyo uguse sehemu hizo zote inatakiwa kupangulia.....

1. BIASHARA: Aahidi ni namna gani ataboresha mazingira rafiki ya kibiashara nchini
2. WAKULIMA: AFANYE MPANGO WA KUONDOA VYAMA VYA MSINGI AMBAVYO KIMSINGI VILISHASHINDWA NA VIMEREJESHWA LKN NI KILIO TU KWA WAKULIMA
3. AAPE KUWASAMBARATISHA WASIOJULIKANA
4. AJIRA: ATANGAZE AJIRA KWENYE SEKTA YA AFYA NA ELIMU MAANA KUNA WAHUDUMU WACHACHE SANA WKT WAHITIMU WAMEJAA MITAANI

Yapo mengi maana hii serikali ya hovyo imeharibu uchumi wa nchi tayari....

Hakika TL NDIO TUMAINI PEKEE LA WATZ MTETEZI WA KWELI NA KWA VITENDO WA WANYONGE
 
Yaani kuwa mwana chadema ni raha lkn chadema ni zaidi ya shule...inakufanya uliwazie Taifa Mambo makubwa makubwa tu na yenye faida kwa kizazi kijacho...wenzetu wanawaza kujinufaisha leo tu lkn ya kesho hawana hbr nayo kbs...badilikeni ninyi ma ccm
wale mbwa walamba makalio wao kazi yao sio kuwahudumia wananchi bali kumsifia kidudu mtu
 
Back
Top Bottom