KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Basi jua kusoma na kuelewa kilichoandikwa.Nimeanzisha mada,sijamsemea
Ungeelewa ni kipi nimeandika hapo usingehangaika na kuniuliza kwa nini namsemea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi jua kusoma na kuelewa kilichoandikwa.Nimeanzisha mada,sijamsemea
Kifupi Lisu atulie tu huko aliko tusije tukamharibia
Lisu alimwaga pesa uswahilini elfu nne nne watu wampigie wakati alilaghai wazungu kuwa kila mpiga kura anahitaji laki 2 wazungu wakaoba pesa ndogo wakampa Tunajua hadi hizo pesa alizitoa kupitia kenya Yeye atulie tu ale pesa za wazungu
Wazungu wametuibia sana esources zetu kupitia ukoloni ni wakati sasa wao waturudishie pesa zetu whether through financing conman Tundu Lisu or Chadema or whatever
On behalf of watanzania waliohongwa Elfu nne nne wampigie kura Tundu Lisu I say thank you Lisu .Excess money hata serikali iliiona ndio maana ulipokuja kugombea haikukusumbua sababu pesa iliingia kwenye Tanzania Economy.I encorage you Lisu steal more from Amsterdam and Company but bring that money home nobody will touch you
Unaweweseka wewe bila shaka. Lissu amesema lini kuwa Magufuli naumwa covid? Au unaota? Onyesha sasa hivi siku na mahali Lissu aliposema hivyo!Kama Lissu amefikia hatua ya kuwaza, na kuhisi kuwa Magufuli anaumwa Covid. Basi, Lissu amechoka kifikira kabisa. Sawa Adui muombee njaa. Lakini hii inaonyesha kuwa Lissu amepoteza welekeo.
Kifo humuumbua.Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "mficha maradhi...'.
Maandamano? Hata kuhoji ni maandamano? Umesoma chuo gani wewe ulipoambiwa maandamano ni kutembea barabarani tuHivi maandamano lini vile!??? Tuanzie hapo kwanza.
Umeishaelekezwa unaweza pekua mwenyewe "watoto wa sikuizi bwana wavivuuu"!!!Kwani katiba ni "uchi" hata ushindwe kuweka nukuu ya unachokitetea?
Wazee wa Dar,alikuja kuwavunjia Jiji lao.Akina Njomba Nchumali kule ntwara, walitaka kumkazia chatu wa chatto, ila kwa heshima ya kassim wakalegeza, safari hii sijui wazee wa wapi wamemfungia kazi mchato!!!
Anapendwa sana tuuu sema sasa wivu wa hawa jamaa na hofu ya kupoteza virtual, fake views kwenye sosho midia.
Hichi ndio kiingereza cha Phd holders wa Mtemi wetu ze...Ze I will put you insaidiUmepoteza muda kupost upuuzi wako, bora ungekaa kimya.
kama mwanzo wachawi na wanga mlizusha amefariki.mkachinja na kuku kusherehekea na haikuwa kweli.Kwa mpango ilikuwa hivihivi watu wanaulizana mwisho wa siku kaja mwenyewe hadharani tatizo pumzi zilisumbua .Sasa Naona inahamia kwa baba