Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Kifupi Lisu atulie tu huko aliko tusije tukamharibia

Lisu alimwaga pesa uswahilini elfu nne nne watu wampigie wakati alilaghai wazungu kuwa kila mpiga kura anahitaji laki 2 wazungu wakaoba pesa ndogo wakampa Tunajua hadi hizo pesa alizitoa kupitia kenya Yeye atulie tu ale pesa za wazungu

Wazungu wametuibia sana esources zetu kupitia ukoloni ni wakati sasa wao waturudishie pesa zetu whether through financing conman Tundu Lisu or Chadema or whatever

On behalf of watanzania waliohongwa Elfu nne nne wampigie kura Tundu Lisu I say thank you Lisu .Excess money hata serikali iliiona ndio maana ulipokuja kugombea haikukusumbua sababu pesa iliingia kwenye Tanzania Economy.I encorage you Lisu steal more from Amsterdam and Company but bring that money home nobody will touch you

Takukuru walikuwa wapi wakati anahonga hizo buku mbili mbili?
 
Kama Lissu amefikia hatua ya kuwaza, na kuhisi kuwa Magufuli anaumwa Covid. Basi, Lissu amechoka kifikira kabisa. Sawa Adui muombee njaa. Lakini hii inaonyesha kuwa Lissu amepoteza welekeo.
Unaweweseka wewe bila shaka. Lissu amesema lini kuwa Magufuli naumwa covid? Au unaota? Onyesha sasa hivi siku na mahali Lissu aliposema hivyo!
 
Akina Njomba Nchumali kule ntwara, walitaka kumkazia chatu wa chatto, ila kwa heshima ya kassim wakalegeza, safari hii sijui wazee wa wapi wamemfungia kazi mchato!!!
 
Na kwa taarifa zilizopo ni kwamba alikuwa awaapishe waafisa wanafunzi tarehe kumi mwezi huu uko Dodoma ila imeghairishwa mpaka itapotangazwa tena maybe yupo mapumziko
 
Twitter imenyongwa kabisa/Throating kwenye simu/laptop yangu.Sijui huko ni vipi?
 
Chochote kinachohusu afya ya rais kina interest kwetu wananchi na afya yake ni Jambo nyeti maana yeye ndie anaelinda hata ardhi yangu na nyumba yangu hivyo kwenye hili tuache utani nitamchukia Magufuli kwa 90% ila sio kumuombea mabaya maana yeye ndie amiri jeshi mkuu akiyumba tukayumba tutapoteana kabla ya kukaa sawa Kama anaumwa yeye ni binadamu Mwenyezi Mungu amuafu . Long live JPM kwa manufaa na ustawi wa familia yangu na Taifa.
 
Kwa mpango ilikuwa hivihivi watu wanaulizana mwisho wa siku kaja mwenyewe hadharani tatizo pumzi zilisumbua .Sasa Naona inahamia kwa baba
 
Kesho anatakiwa kuwapa kamisheni Cadets hapa Dodoma,ngoja kama tukio halitahairishwa.
 
Kwa mpango ilikuwa hivihivi watu wanaulizana mwisho wa siku kaja mwenyewe hadharani tatizo pumzi zilisumbua .Sasa Naona inahamia kwa baba
kama mwanzo wachawi na wanga mlizusha amefariki.mkachinja na kuku kusherehekea na haikuwa kweli.

subirini kucheza matumbo ya uzazi kwa mara nyingine.rais ana mapumziko pia.
 
Back
Top Bottom