Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Hivi hio n accaount ya lissu. Mbona aliwahi sema hana account twiter
 
Tell him to mind his business and if he thinks there is something wrong he is wasting his time following up the statesman's condition just because he did not appear public through church mass prayers participation for the specified period. If he had planned to dispatch someone infected with UVIKO to inflict him, the timing was poorly calculated.

He is healthful and safe proceeding with his presidency role.
 
Umepoteza muda kupost upuuzi wako, bora ungekaa kimya.
 
Cheap politics hizo to the lowest point kwa mtu msomi. Ukijua yuko wapi utafanya nini. Hata kama anaumwa hilo siyo swala la mtandao kwani hata akifa basi atazikwa kwa taratibu za kiserikali. Kama ameamua kulala na mke wake weekend yote bado unataka uambiwe! Je huwa unatuambia kila unalofanya na familia yako? Upumbavu mwingine unabidi uachwe watu wazungumze mambo ya kitaifa badala ya kuongea chuki binafsi.
 
Wewe vipi, yaan Rais asijulikane yupo wapi?
Wewe ndio hujui alipo na si lazima ujue...

Usalama wa Taifa wanafahamu alipo na kwao ni lazima wajue...ndio maana hadi sasa hujatangaziwa state of emergency...
 
Pole sana kama haujui hilo, wewe unadhani kututajia kila siku kuwa rais yuko mahala flani na anafanya nini unafikiri uhamuzi wake wake? hata akiunwa watz tunatakiwa kujua anaumwa ugonjwa gani, ila wewe hakuna anayekulazmisha utaje mahali ulipo na una fanya nini, unaweza kwenda tu kama digidigi!!
Kwani katiba ni "uchi" hata ushindwe kuweka nukuu ya unachokitetea?
 
Habari zake za kanisani taabu na akikaa kimya taabu.
Tuwaeleweje?
Si kwenda Kanisani si habri ya kitaifa sasa mnahoji nini?
 
Na Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo, akakutunuku kitu kikubwa huko mbele ya safari yako kama kile alichowahi kumtunuku mfalme Hezekiah. Ubarikiwe tena na Bwana
 
Msemaji amemaliza kuzungumza akuulizwa hilo swali na waandishi wetu huko Dodoma?
 
Wamejifungia mahali waje na jibu LA mahindi, kwani ni kama ngumi ya kidevu wamepigwa yaani
 
Hahahahahaa Lissu bhana, nikimtathimini Lissu namuona akiri yake ina maviwavi jeshi kichwani.
Inaonekana utoto ulimpungua hakuufaidi kwa kipindi chake.
Sasa anauliza raisi alipo ili iweje, anataka apewe kazi au?

Eti nae anataka Urais wa nchi.
 
Wajinga hawaishi nchi hii, Mungu inusuru hii nchi vichwa panzi ni wengi kuliko wenye akili kazi yao kuombea mabaya
 
Kama Lissu amefikia hatua ya kuwaza, na kuhisi kuwa Magufuli anaumwa Covid. Basi, Lissu amechoka kifikira kabisa. Sawa Adui muombee njaa. Lakini hii inaonyesha kuwa Lissu amepoteza welekeo.
 
Kifupi Lisu atulie tu huko aliko tusije tukamharibia

Lisu alimwaga pesa uswahilini elfu nne nne watu wampigie wakati alilaghai wazungu kuwa kila mpiga kura anahitaji laki 2 wazungu wakaoba pesa ndogo wakampa Tunajua hadi hizo pesa alizitoa kupitia kenya Yeye atulie tu ale pesa za wazungu

Wazungu wametuibia sana esources zetu kupitia ukoloni ni wakati sasa wao waturudishie pesa zetu whether through financing conman Tundu Lisu or Chadema or whatever

On behalf of watanzania waliohongwa Elfu nne nne wampigie kura Tundu Lisu I say thank you Lisu .Excess money hata serikali iliiona ndio maana ulipokuja kugombea haikukusumbua sababu pesa iliingia kwenye Tanzania Economy.I encorage you Lisu steal more from Amsterdam and Company but bring that money home nobody will touch you
 
Back
Top Bottom