Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Alizunguka dar sana kwenye uzinduzi sijui wa stend sijui wa nini who knows? Ya Mungu mengi.

Wanasiasa bana hapo lissu kashajua ila anataka watu mseme😂😂 katupa kichwa cha habari kazi yetu nia kuandika main body na hitimisho.😂😂

Hata hivyo magufuli hakosagi kanisani. Akikosa zaidi ya wiki mbili lazima watu waulize alipo.wao ndo walizoea kumpost na kutupa taarifa alipo kila j2😂😂 si mbaya tujuwe kwa nini hajasali wiki ya pili sasa🤣
 
Hivi hii ya kwenda kanisani si la mtu na Mungu wake??... I'm dissapointed
What goes around comes around.
Mwenyewe katuzoesha kila analofanya ni public, hadi wasaidizi wake wakaiga, kila kitu kwenye vyombo vya habari na social media. Tukafika mahali tukatambua nchi inaendeshwa kwa KIKI, tukatunga Hadi wimbo na kukamatwa. Mara utasikia
  • leo kasali Kanisa fulani
  • leo kalala juu ya mawe
  • leo kafungua kilabu cha mataputapu
  • leo kanunua jogoo laki
  • leo kaenda kwao n.k

Ghafla mpenda kiki KIMYAAA! Lazima tuhoji kulikoni
 
Pamoja na risasi 16 Lissu ameithibitishia Dunia kuwa wake Watanzania majasiri waliolikomboa Bara la Afrika bado wapo

Lissu kuulizia afya ya mtesi wake bila gubu ndio maana nasemaga Lissu ni natural born leader
Yule ni debe tupu!

Angekuwa kama unavyompamba hapa asingekimbia kitisho cha kwenye simu
 
Itabidi tusaidiane wenyewe kwa wenyewe, maana hakuna malaika atashushwa kuja kuelewesha watu. Wanashangaza sana hawa ndugu zetu.
 

Hakutambua kwa kusema matokeo sio halali
Matokeo halali ni halali ikifanyika halali. Matokeo si halali ni halali ikifanyika haramu. Haramu huzaa si halali. Matokeo si halali hupingwa mahakamani. Kama hayakupingwa mahakamani kwa sababu yoyote ile anapatikana rais si halali. Yupo tunaye. Njiti naye mtoto kama wengine licha ya kuwahi. Huyu naye yu ikulu lakini tunajua si halali. Hata nawe pia si halali kuwa jf ya great thinkers ilhali we kidampa!
 
Wewe unamsemea kama nani?
Hebu nisome unielewe vizuri. Usirukie tu ku'quote' na kujibu kitu ambacho bado hujakielewa vizuri.

Sasa unataka nikueleze mimi ni nani, itakusaidia kitu gani?

Sasa unataka na mimi nikuulize, wewe umeanzisha hii mada inayomhusu kama nani?
 
Mzee kasafiri kimya kimya kupata chanjo Vatican, halafu anatuzuga Watanzania kwamba hazifai.
 
Yawezekana Jiwe amepotea ili KuAttract attention siku akiibuka!
 
Hebu nisome unielewe vizuri. Usirukie tu ku'quote' na kujibu kitu ambacho bado hujakielewa vizuri.

Sasa unataka nikueleze mimi ni nani, itakusaidia kitu gani?

Sasa unataka na mimi nikuulize, wewe umeanzisha hii mada inayomhusu kama nani?
Nimeanzisha mada, sijamsemea
 
Lissu domokaya! Kabanwa na sheria za ukimbizi sasa anawashwawashwa!
 
Back
Top Bottom