Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Watu wanavaa barakoa hawamuamini Mungu ? Masista na mapadri mliovaa barakoa hamumuamini Mungu ? His words two weeks ago , now he's very ill , don't play with God .
Dah.. .
Baasi mororoo......

Lets make a Wish.
 
Wewe Tundu we anza kuwanga mchanamchana maana hiyo ndio inakufaa!
 
Ila kama itakuwa korona basi itakuwa ni aibu kwa taifa na ntasema Mungu hyu hadhiakiwi
Magonjwa ikiw
Ukiona vyombo vya habari kama hivi 'Telegraph' vinaandika habari ujue kuna jambo. Hawa watu ni professional hawakurupuki!
 
10 March 2021
Nairobi, Kenya

Yuko wapi Magufuli? Habari ya kina inayoongoza Kituo cha televisheni KTN NEWS KENYA​

Source : KTN News Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…