Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli, hii ni mbaya sana.Kwaio yeye ameenda Nairobi afu India kupata matibabu uku Watanzania akiwaambia wajifukize na watumie dawa za mitishamba?
Vipi unaona wivu?Huyu tundu mbona hasemi mambo yake anayofanya huko na mashoga zake?
Muda mchache uliopita nimesikia kuwa anafanyiwa mpango aende India kimatibabu (habari nimepewa toka KE). Wakina BBC nao washakamata habari kuwa Mkuu yupo Nairobi na covid.Kama ni kweli, hii ni mbaya sana.
Dah.. .Watu wanavaa barakoa hawamuamini Mungu ? Masista na mapadri mliovaa barakoa hamumuamini Mungu ? His words two weeks ago , now he's very ill , don't play with God .
Watu wanavaa barakoa hawamuamini Mungu ? Masista na mapadri mliovaa barakoa hamumuamini Mungu ? His words two weeks ago , now he's very ill , don't play with God .
Wewe Tundu we anza kuwanga mchanamchana maana hiyo ndio inakufaa!Naam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.
View attachment 1720084
Maalim kuwa serikalini imemgharimu, maamuzi kutoka juu ilibidi yaridhie. Angekua kiongozi wa ACT tu wanachama wangegharamia tiba. Kwa kifupi apumzike kwa amani.Kumbe tungeweza kuwaokoa the late Engineer Kijazi na Maalim Seif kama na wao tungewawahisha Nairobi
Ubinafsi huu!
Rais yupo ikulu magogoni...ni kweli anaumwa ila anasumbuliwa na mkono aliteguka wakati akifanya mazoez...lakini anachapa kazi.
Thanks
Magonjwa ikiwIla kama itakuwa korona basi itakuwa ni aibu kwa taifa na ntasema Mungu hyu hadhiakiwi
Ukiona vyombo vya habari kama hivi 'Telegraph' vinaandika habari ujue kuna jambo. Hawa watu ni professional hawakurupuki!View attachment 1722146
Hizi platform zinatoa tetesi kuwa Rais amelazwa huko Kenya kutibiwa Corona..
Na uvumi umeachwa uenee kote duniani wakati Rais aliyechaguliwa na wananchi akiwa sehemu isiyojulikana. Hatujui kama yupo Ikulu Dar, Dodoma, Chato au sehemu nyngne. Na labda hatujui kama yupo huko Kenya kunakosemwa si yeyote serikalini aljitokeze kusema hili wala lile.
Sasa tushike lipi? Au tuendelee kuuliza #yukowapimagufuli???
Hahaha.. Alikua akiruka sarakasi auRais yupo ikulu magogoni...ni kweli anaumwa ila anasumbuliwa na mkono aliteguka wakati akifanya mazoez...lakini anachapa kazi.
Thanks
TELEGRAPHMagonjwa ikiw
Ukiona vyombo vya habari kama hivi 'Telegraph' vinaandika habari ujue kuna jambo.Hawa watu ni professional hawakurupuki!
Sawa kamkubali kuwa Rais, sasa tuambie yupo wapi?Leo amekuwa Rais wake? Si alikataa kumkubali kwamba ni Rais?
Hilo swali gumu sana. Sawasawa kwenye darasa la mchepuo wa HGK utoe swali la Advance maths 🤣Sawa kamkubali kuwa rais, sasa tuambie yupo wapi?
Dada naona leo hutolalaMaalim kuwa serikalini imemgharimu, maamuzi kutoka juu ilibidi yaridhie. Angekua kiongozi wa ACT tu wanachama wangegharamia tiba. Kwa kifupi apumzike kwa amani.
UwiiMagonjwa ikiw
Ukiona vyombo vya habari kama hivi 'Telegraph' vinaandika habari ujue kuna jambo.Hawa watu ni professional hawakurupuki!