Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

... huo uamuzi ili uonekane wa kanisa zima na si wa kikundi kidogo cha viongozi ndani ya kanisa ambao wala hawajawahi pigiwa kura kuwa wawakilishi wao wa maamuzi ?
Ukishasema neno 'viongozi', katika muundo wa utawala wa Kanisa hao wote wanakuwa ni wa kuchaguliwa, kuanzia ngazi ya jumuiya, Parokia, Jimbo na Taifa. Kwa hiyo kila unapokutana na kiongozi mlei wa RC basi ujue huyo alichaguliwa kwakupigiwa kura kushika wadhifa huo kwa miaka mitatu, na ni mwakilishi halali wa walei katika ngazi iliyomchagua.
 
Huo msimamo unaoitwa wa kanisa walei walishirikishwa kufikia uamuzi huo? Ni uamuzi wa viongozi wa kanisa au wa kanisa zima wakiwemo walei? unaposema uamuzi wa kanisa walei walishirikishwa lini kikao kipi kutoa huo uamuzi ili uonekane wa kanisa zima na si wa kikundi kidogo cha viongozi ndani ya kanisa ambao wala hawajawahi pigiwa kura kuwa wawakilishi wao wa maamuzi ? Mbona maswala kama ujenzi wa kanisa mbona kanisa zima hushirikishwa wakiwemo walei kufikia uamuzi?

Mkuu Kanisa Katoliki liko imara kuliko wewe unavyofikiri na hakuna wakuliyumbisha katika hii Dunia. Hiyo mipasuko unayozungumzia haipo kabisa kwani kanisa lina taratibu zake za kufikia baadhi ya maazimio,na yote yanaheshimika haijalishi walei wameshirikishwa wote au kwa uwakilishi.
 
Ama kweli tanzania tuna watu mbumbumbu! Hutaki kujua kuwa rais wa nchi yako kama kweli ni mgonjwa au la kwa sababu tu aloanzisha suali ni kiongozi wa upinzani? Unakataa kuwa tanzania kuna corona kwa sababu tu wanaosema ipo ni wapinzani, ingawa kila kukicha watu wanakufa kwa maradhi mnayoambiwa ni kupumua?
Wapi nimesema sitaki kujua? Wapi nimesema hatuna Corona Tz?
 
BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
Hapo ni aje?!!
 
Naam wakuu,

Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.

Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?

---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.

View attachment 1720084
Sasa hivi Majaliwa anaongoza nchi
 
Naam wakuu,

Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.

Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?

---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.

View attachment 1720084
yametimia, japo panya buku zilitoka stoo na kumkemea Lissu kwamba ni mzushi, sasa zimerudisha mikia sehemu ya kukalia.
 
yametimia, japo panya buku zilitoka stoo na kumkemea Lissu kwamba ni mzushi, sasa zimerudisha mikia sehemu ya kukalia.
Na kwa mara nyingine Lissu kasema mama yupo hostage na nchi inaendeshwa na Majaliwa..

Yetu macho... panya buku kama kawaida yao wnakanusha
 
Kumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.

Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.

Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Hahahahaha..... Takataka kabisa..

Lissu yule yule kasema Mama yupo Hostages... Tupe maoni yako katika hili
 
Halafu ikifika Oktoba 20, 2025 ndipo waanze kukurupushana ili wajipangane kuchukua nchi!??? Hii ni hatari na nusu.
Aisee...

Tupe maoni yako ...jemedari lissu kasema tena... Mama yupo mateka (Hostages) ya kiakili... Nchi inaongozwa na majaliwa na genge la wahuni wacchache... tupe maoni yako mjoli
 
BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
Tupe maoni yako bwashee juu ya kauli ya Jemedari Lissu kuwa Mama Yupo Hostages na nchi inaendeshwa na Majaliwa...
 
Back
Top Bottom