Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Kama ingewezekana basi mada hii isipostiwe tena JF

Ila pia inaweza kuwa ni kusudi la Mungu kupostiwa ili tujue kuwa SAFARI BADO, ukidhani umefika au hutakufa unakosea

Lissu aliyepigwa risasi za kutosha yu Hai leo, ambaye hakupigwa risasi hata moja hayupo tena kwenye uso wa dunia

Hili ni Funzo tunakumbushwa

..kuna wanaodai alifia Kenya.

..tena Nairobi Hospital alipotibiwa Lissu.

..aliyemtonya Lissu kwamba jamaa katangulia ni nani?
 
Wewe kweli umekunywa maji ya bendera!
Uwe unarudi kinyume kinyume kujisoma angalau mara moja moja

Ulitaka nisiwe na akili kama wewe
Hujijuagi hujielewagi upoupo tuu
 
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
1678763648793.png
 
Mzilankende Na Kassim Walikuwa Wajanjawajanja
Mara Nitapiga Shangazi Zako, Mara Nitatimua Wabunge Wote Wa Kusini Na Bunge Litaendelea
Mwisho wa siku wana dance pamoja😆😅🤣
 
Back
Top Bottom