Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

BAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
Kweli bwana!!
 
Naam wakuu,

Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.

Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?

---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.

View attachment 1720084
Muulize Kassim Majaliwa atakupa jibu.
 
kama mwanzo wachawi na wanga mlizusha amefariki.mkachinja na kuku kusherehekea na haikuwa kweli.

subirini kucheza matumbo ya uzazi kwa mara nyingine.rais ana mapumziko pia.
Karibu sana kwenye Uhalisia wa jembo lenyewe!!
 
Ukishachagua kuwa mwanasiasa hakuna kupumzika kwa amani.

Utaandikwa andikwa tu, hata baada ya kufa.

Maana ni maisha uliyoyachagua mwenyewe.

Hakulazimishwa kuwa mwanasiasa.
Na ndiyo maana hata leo anaandikwa sana Timu yake wanachukia kweli na kusema marehemu huwa hasemwi vibaya.
 
Back
Top Bottom