mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Si unaona walioweka kiporo machozi,ndio wako wanalia saa hizi.Ni wote walilia sasa...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unaona walioweka kiporo machozi,ndio wako wanalia saa hizi.Ni wote walilia sasa...?
ukweli gani?Kama kuna ukweli ujue
😁😄😃ukweli gani?
Kashakula banMods tunawasaidia hii kitu ipumzisheni.
Wapo memba humu walimtukana Lissu baada ya kutoa dokezo la taarifa sahihi za kuhoji hali ya afya ya Rais wetu, kama kawaida yao wasivyoweza kudadisi, walikurupuka na matusi baadae ikawa kweli.Tarehe kama huzu miaka miwili iliyopita, mara kapelekwa india, mara yupo Nairobi yaani ilikuwa vurugu mechi
ilikuwaje?Tarehe kama huzu miaka miwili iliyopita, mara kapelekwa india, mara yupo Nairobi yaani ilikuwa vurugu mech
@johnthebaptist shenzi type!! Ulikuwa unaleta propaganda za kijinga zilizojaa uongoKumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Lissu alijua njama dhidi ya maisha magufuli.Naam wakuu,
Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada. Mara nyingine hata akipewa nafasi kutoa neno kanisani.
Yupo Dar bado? Leo Machi 7, 2021 amesali wapi? Amepata nafasi ya kutoa neno?
---
Kupitia kurasa ya ya Twita Tundu Lissu amehoji juu ya kutonekana kwa wiki mbili rais wa JMT akiwa kanisani.Pia hajaonekana uraiani, na inashangaza Greyson Msigwa na msemaji wa serikali kutopost taarifa yoyote ya rais akiwa anasali au mitaani kama ilivyokawaida yao.
View attachment 1720084
🤩🤩🤩@johnthebaptist shenzi type!! Ulikuwa unaleta propaganda za kijinga zilizojaa uongo
@Ngongo Pumbavu kabisa! Mungu alipuuza maombi yakoNafunga siku saba na maombi mazito,Rais apone haraka na kurejea majukumu yake mambo ya kuongozwa na waZanzibar hapana bora huyu huyu amalize muda wake.
Sio kila jambo ufanye siasa. Mengine yaache tu yapite[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Member since 2009 wewe ni mkongwe humu kamanda tafuta hela achana na Magufuli leo kasali wapi
Ilikuwa parokia ipi mkuu?Kumbe msipomsikia mh Rais Magufuli CHADEMA mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Kwa post hizi kwa hakika mlianza zamaniBAVICHA bwana wanapenda sana kutrack movements za Rais maana wanaogopa asije ibukia majumbani mwao na kuwatumbua maana jamaa badala ya kuhudumia familia zao wamezitelekeza na kuhamia mitandaoni kupiga porojo.
Njoo usome tena ulichoandika hapaBasi acha nimtete Magufuli kwa hili.
Wenye kanisa lao wameeleza wazi; wanataka watu wachukue tahadhari zote dhidi ya COVID-19, ikiwa ni pamoja na kuvaa BARAKOA.
Magufuli kaweka wazi, kufanya hivyo ni kukosa imani na mungu wake. Hawezi kamwe kuvaa barakoa na kufuata njia zingine zinazotambulika ili kuzuia/kupunguza maenezi ya ugonjwa huo, kutokana na imani aliyonayo kwa mungu wake..
Sasa Lissu na sisi wengine tunataka aende kanisa gani? Akilazimisha kwenda huko alikowapa semina, itamlazimu avae barakoa. ambayo kwake ni mwiko kabisa.
Hiyo ndiyo sababu haonekani kanisani Jumapili.
GENTAMYCINEKuna Ugonjwa mmoja wa Kudumu ambao huingia kwa Binadamu kwa njia ya Utamu Sukari ukikupata ( ukiwa nao ) tu hakikisha huu wa Kichina haukupigii hodi na Wenyewe kwani yakiunganika Mwilini mwako Tanzania itaomboleza Siku 14 huku Bendera zote zikipepea Nusu Mlingoti.