Lissu: Rais Samia hajakosea kuniita Simba

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Kufuatia Rais Samia Suluhu Hassan kutoa maagizo kuwa simba wa kizimkazi Zanzibar aitwe jina la Tundu Lissu, naye Lissu amefunguka kuhusu simba kupewa jina lake, amesema yeye amezaliwa kwenye ukoo wa mashujaa wa Kinyaturu ambao waliwahi kuua simba walipoingia kula mifugo yao.

Amesema kwamba babu yake mzaa baba mzee Mughwai aliwahi kuuwa simba hata baba yake mzee Lissu pia aliwahi kuua Simba hiyo Rais Samia anaweza asijue lakini hajakosea kuniita mnyama huyo mwenye ujasiri na mamlaka katika tamaduni nyingi za dunia.

Soma Pia:

 
Rais Mwenyewe anamkubali sema Dr Samia anaogopa CCM itamuonaje.

La Kama angekuwa anajali Taifa 2025 ni Lissu Tu.
 
weka source!
 
Lissu a.k.a simba anamapigo ya hatari
 
Kimtego sana...

Hakika Simba aliyeuawawa na jamii hiyo ya kinyaturu alikuwa HATULII...amevamia zizi la ng'ombe na kwa kutotutilia kwake MAWINDONI akajikuta YEYE ndiyo asusa ya akina mzee MUGHWAI....

Kweli Simba yule hakuwa MTULIVU....

Je ana "ADHD"?!!

ADHD-Attention deficit hyperactive disorder.

#Mwenyezi Mungu amuhifadhi Chifu wetu Hangaya ,aaaamin aaaamin[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ficha upumbavu wako

Utulivu au mtulivu pekee haijitoshelezi kuja na diagnosis ya ADHD.

Hauwezi kuiweka ADHD hata kwenye differential diagnosis kwa kigezo cha MTULIVU.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…