Lissu: Serikali na benki hazina uwezo wa kujenga bwawa la Umeme Rufiji

Lissu: Serikali na benki hazina uwezo wa kujenga bwawa la Umeme Rufiji

Jamaa ana hata A,B,C za uchumi kweli atajua umuhimu wa kuzalisha zaidi ya megawatt 2000 kule rufiji?

Watanzania tuna kawaida ya kushangaa ngoja wamalize kumshangaa huko anapopita wakishamchoka atajua umuhimu megawatt zaidi ya 2000
Gharama za mradi na gharama za kuendesha mradi vikijumuishwa pamoja ni trilion kibao ni vigumu kuzirejesha katika hata miaka 20 tu, CAG asingekuwa kada wa CCM tungemuomba apite huko uone maajabu vituko mpaka watu kujaa segerea na keko.
 
Huu mradi una matatizo ndio maana hao tunaowaita mabeberu hawana mpango nao. Serikali zote zilizopita ziliuangalia na kukaa mbali nao. Utatuletea tu matatizo hapo mbeleni.

Amandla.
Ni mradi wa kifisadi kama lile daraja la Oyestabay kwenda upanga ni miradi ya kulazimisha ili marafiki ndugu jamaa wapate tenda pesa izunguke inamrudia mwenyewe kijanja kwa njia za Ahsante za 10% nk ,
 
Lissu anafahamu mengi kuliko unayo fahamu ww mtoa bandiko, siku tutakuja shangaa pesa iyo imekopwa kwa mabeberu tena kwa riba kubwa.
Anajua nini hata kusema uongo kuwa magufuri kakopa tilioni 40 kwa miaka mitano, wakati taarifa iko online kwenye tovuti ya benk?
Lisu ni mzushi na ndio maana alipinga makinikia wakati hajui chochote na kuwa kibaraka wa mabeberu.
Wewe uaebisha twmabie nani anamlipia Tundu Lisu ghalama za kumlipa Amsterdam?
Je ni yule kubwa la mashoga la marekani au ni nani?
 
Lisu hile tukio.bado linamsumbua sana, akili yake haipo sawa, halafu ana wivu sana na mafanikio ya awamu ya tano, hajui kuwa kufanikiwa kwa mipango magufuli ndio kufanikiwa kwa watanzania.
Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania hawataki mafanikio ya kifisadi kuwanufaisha wajanja wachache wa CCM, wewe ndiyo Akili yako haipo sawa kwani umeshindwa kumuelewa lisu.
 
Mtoa bandiko anajifanya mjuaji kumbe ni mbwege mmoja tuu. Hujui maaana hata ya white elephant project.
 
Gharama za mradi na gharama za kuendesha mradi vikijumuishwa pamoja ni trilion kibao ni vigumu kuzirejesha katika hata miaka 20 tu, CAG asingekuwa kada wa CCM tungemuomba apite huko uone maajabu vituko mpaka watu kujaa segerea na keko.
Kivipi? Au

Kwa vile anayejenga ni serikali ya ccm? Na wewe umetokea kutoipenda hata ikifanya mazuri.

Kwani yote yanayofanywa na CCM ni mabaya? Unaweza kuniambia japo 10 mazuri na 10 mabaya yanayofanywa na serikali?
 
Lissu anafahamu mengi kuliko unayo fahamu ww mtoa bandiko, siku tutakuja shangaa pesa iyo imekopwa kwa mabeberu tena kwa riba kubwa
Nimemsikiliza lisu vizuri zaidi anasema kwenye miradi mikubwa hiyo ndo kwenye ufisadi sababu hatuwekwi wazi mradi unaendelea bila kufuata utaratibu.
Nimemsikiliza lisu vizuri zaidi anasema kwenye miradi mikubwa hiyo ndo kwenye ufisadi sababu hatuwekwi wazi mradi unaendelea bila kufuata utaratibu.
Uwazi anaoutaka Lissu, ni ule aliotumwa na mabeberu wake! Hao mabeberu wanataka kujua hela tulio nayo maana wanaitaka. Mfano ni tuliponunua ndege, wakaikamata na kushinikiza walipwe. Sasa wamemtuma Lissu a spy ili awape mrejesho!
Miradi strategic ya nchi, haitangazwi hela yake. Hii miradi inafanyika kwa siri kwa nchi zote.
 
Kwa hikaka nimeamini Magufuli atabaki historia ya hii nchi kwa miaka mingi sana ijayo.

Katika Mahojiano ya Lissu na Dotto Bulendu, Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu ameonesha kutoelewa namna gani Serikali ya Magufuli inawezajenga bwawa la Umeme kubwa Kama lile.

Haelewi Kama serikali na Bank zinazojegwa hilo bwawa la Umeme zinawaweza pata hizo Pesa.

Haamini bank za Misiri na Tanzania, pamoja na serikali iwapo zina hiyo hela. Pamoja na kuon picha mitandaoni za ujenzi huo, bado haamini. Nimkumbushe tu kwamba Standard Chartered Bank tayari wameshatoa mkopo wa zaidi ya Trillion 1.3.

Ameenda mbali na kuuita mradi wa White elephant, yaani mradi usio na maana Wala faida.

Nimeamini usemi usemao..Ikivuma Sana mwisho wa Siku inapasuka.

Oct 28 tunachagua Vitendo na sio maneno / lopolopo.
kama yupo idiot kiasi hiki hatufai kabisa mradi kama huu alipaswa ausifie na aseme ni mradi mzuri i mno na endapo kama atachukuwa nchi atahakikisha anaumaliza napata mashaka sana juu ya miradi hii mikubwa tena ya maana endapo upinzani utachukuwaa nchi
 
Nimemsikiliza lisu vizuri zaidi anasema kwenye miradi mikubwa hiyo ndo kwenye ufisadi sababu hatuwekwi wazi mradi unaendelea bila kufuata utaratibu.
Huyu anatupiga hata kwenye miradi midogo ndyomaana hataki wapinzani wanaohoji. Nimeskitika kusikia kuwa hata marekebisho tu ya mabomba yanayosupply maji kwenye mv victoria yaligharimu zaid ya m500.
 
Tuliambiwa mradi wa gesi ya Mtwara ukikamilika tatizo la umeme Tanzania litabaki historia.......unafahamu mradi huo uliishia wapi?
Jamaa ana hata A,B,C za uchumi kweli atajua umuhimu wa kuzalisha zaidi ya megawatt 2000 kule rufiji?

Watanzania tuna kawaida ya kushangaa ngoja wamalize kumshangaa huko anapopita wakishamchoka atajua umuhimu megawatt zaidi ya 2000
 
Huyu anatupiga hata kwenye miradi midogo ndyomaana hataki wapinzani wanaohoji. Nimeskitika kusikia kuwa hata marekebisho tu ya mabomba yanayosupply maji kwenye mv victoria yaligharimu zaid ya m500.
CCM ni ile ile hakuna malaika kila mmoja ni mpigaji hawana huruma na pesa za walipa kodi
 
Tuliambiwa mradi wa gesi ya Mtwara ukikamilika tatizo la umeme Tanzania litabaki historia.......unafahamu mradi huo uliishia wapi?
CCM ni ile ile ukoo wa panya baba mwizi mtoto mwizi ukoo wote wezi
 
Hii PISI KALI ya Amsterdam ina roho mbaya sana ya wivu na chuki na hasira
Hakuna cha wivu wala chuki bali CCM mmezidi wizi kila kona mkiambiwa ukweli mnakimbilia majibu mepesi ya kijinga kuwa ni wivu
 
Anajua nini hata kusema uongo kuwa magufuri kakopa tilioni 40 kwa miaka mitano, wakati taarifa iko online kwenye tovuti ya benk?
Lisu ni mzushi na ndio maana alipinga makinikia wakati hajui chochote na kuwa kibaraka wa mabeberu.
Wewe uaebisha twmabie nani anamlipia Tundu Lisu ghalama za kumlipa Amsterdam?
Je ni yule kubwa la mashoga la marekani au ni nani?
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu ni wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wizi wa CCM ndipo CCM hugeuka na kuanza kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Hakuna cha wivu wala chuki bali CCM mmezidi wizi kila kona mkiambiwa ukweli mnakimbilia majibu mepesi ya kijinga kuwa ni wivu
Majibu ya kijinga mnayapenda nyie mkuu, lakini yote kwa yote kumbuka kwamba zimesalia siku 15 tu mwamba JPM arudi tena mjengoni
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, CCM wanachukua pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi wanazitumia kunyamazisha watu kudidimiza demokrasia kuwahujumu kudhoofisha chadema badala ya maendeleo, mda huu kama isingekuwa CCM madarakani Nchi ya Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa yote mikubwa Duniani na ikiwemo America China Oman India Canada German na wenzao na pengine ingekuwa na kura ya veto. CCM inazidi kuiamaliza Tanzania CCM ni sumu ya maendeleo
 
Anajua nini hata kusema uongo kuwa magufuri kakopa tilioni 40 kwa miaka mitano, wakati taarifa iko online kwenye tovuti ya benk?
Lisu ni mzushi na ndio maana alipinga makinikia wakati hajui chochote na kuwa kibaraka wa mabeberu.
Wewe uaebisha twmabie nani anamlipia Tundu Lisu ghalama za kumlipa Amsterdam?
Je ni yule kubwa la mashoga la marekani au ni nani?
Hizi tilioni 40 ni aina mpya fedha, nadhani zinapatikana sayari ya Mars
 
CCM ile Gesi yetu yote wamewapa Mabeberu Huu mradi ni purchase fedha tu
 
Back
Top Bottom