Gharama za mradi na gharama za kuendesha mradi vikijumuishwa pamoja ni trilion kibao ni vigumu kuzirejesha katika hata miaka 20 tu, CAG asingekuwa kada wa CCM tungemuomba apite huko uone maajabu vituko mpaka watu kujaa segerea na keko.Jamaa ana hata A,B,C za uchumi kweli atajua umuhimu wa kuzalisha zaidi ya megawatt 2000 kule rufiji?
Watanzania tuna kawaida ya kushangaa ngoja wamalize kumshangaa huko anapopita wakishamchoka atajua umuhimu megawatt zaidi ya 2000
Mradi una ufisadi balaa kama unabisha mwambie CAG aende huko hata kesho Asubuhi uone kimbunga chakeKwema huko lakini?
Ni mradi wa kifisadi kama lile daraja la Oyestabay kwenda upanga ni miradi ya kulazimisha ili marafiki ndugu jamaa wapate tenda pesa izunguke inamrudia mwenyewe kijanja kwa njia za Ahsante za 10% nk ,Huu mradi una matatizo ndio maana hao tunaowaita mabeberu hawana mpango nao. Serikali zote zilizopita ziliuangalia na kukaa mbali nao. Utatuletea tu matatizo hapo mbeleni.
Amandla.
Anajua nini hata kusema uongo kuwa magufuri kakopa tilioni 40 kwa miaka mitano, wakati taarifa iko online kwenye tovuti ya benk?Lissu anafahamu mengi kuliko unayo fahamu ww mtoa bandiko, siku tutakuja shangaa pesa iyo imekopwa kwa mabeberu tena kwa riba kubwa.
Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania hawataki mafanikio ya kifisadi kuwanufaisha wajanja wachache wa CCM, wewe ndiyo Akili yako haipo sawa kwani umeshindwa kumuelewa lisu.Lisu hile tukio.bado linamsumbua sana, akili yake haipo sawa, halafu ana wivu sana na mafanikio ya awamu ya tano, hajui kuwa kufanikiwa kwa mipango magufuli ndio kufanikiwa kwa watanzania.
Kivipi? AuGharama za mradi na gharama za kuendesha mradi vikijumuishwa pamoja ni trilion kibao ni vigumu kuzirejesha katika hata miaka 20 tu, CAG asingekuwa kada wa CCM tungemuomba apite huko uone maajabu vituko mpaka watu kujaa segerea na keko.
Lissu anafahamu mengi kuliko unayo fahamu ww mtoa bandiko, siku tutakuja shangaa pesa iyo imekopwa kwa mabeberu tena kwa riba kubwaNimemsikiliza lisu vizuri zaidi anasema kwenye miradi mikubwa hiyo ndo kwenye ufisadi sababu hatuwekwi wazi mradi unaendelea bila kufuata utaratibu.Uwazi anaoutaka Lissu, ni ule aliotumwa na mabeberu wake! Hao mabeberu wanataka kujua hela tulio nayo maana wanaitaka. Mfano ni tuliponunua ndege, wakaikamata na kushinikiza walipwe. Sasa wamemtuma Lissu a spy ili awape mrejesho!Nimemsikiliza lisu vizuri zaidi anasema kwenye miradi mikubwa hiyo ndo kwenye ufisadi sababu hatuwekwi wazi mradi unaendelea bila kufuata utaratibu.
Miradi strategic ya nchi, haitangazwi hela yake. Hii miradi inafanyika kwa siri kwa nchi zote.
kama yupo idiot kiasi hiki hatufai kabisa mradi kama huu alipaswa ausifie na aseme ni mradi mzuri i mno na endapo kama atachukuwa nchi atahakikisha anaumaliza napata mashaka sana juu ya miradi hii mikubwa tena ya maana endapo upinzani utachukuwaa nchiKwa hikaka nimeamini Magufuli atabaki historia ya hii nchi kwa miaka mingi sana ijayo.
Katika Mahojiano ya Lissu na Dotto Bulendu, Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu ameonesha kutoelewa namna gani Serikali ya Magufuli inawezajenga bwawa la Umeme kubwa Kama lile.
Haelewi Kama serikali na Bank zinazojegwa hilo bwawa la Umeme zinawaweza pata hizo Pesa.
Haamini bank za Misiri na Tanzania, pamoja na serikali iwapo zina hiyo hela. Pamoja na kuon picha mitandaoni za ujenzi huo, bado haamini. Nimkumbushe tu kwamba Standard Chartered Bank tayari wameshatoa mkopo wa zaidi ya Trillion 1.3.
Ameenda mbali na kuuita mradi wa White elephant, yaani mradi usio na maana Wala faida.
Nimeamini usemi usemao..Ikivuma Sana mwisho wa Siku inapasuka.
Oct 28 tunachagua Vitendo na sio maneno / lopolopo.
Huyu anatupiga hata kwenye miradi midogo ndyomaana hataki wapinzani wanaohoji. Nimeskitika kusikia kuwa hata marekebisho tu ya mabomba yanayosupply maji kwenye mv victoria yaligharimu zaid ya m500.Nimemsikiliza lisu vizuri zaidi anasema kwenye miradi mikubwa hiyo ndo kwenye ufisadi sababu hatuwekwi wazi mradi unaendelea bila kufuata utaratibu.
Jamaa ana hata A,B,C za uchumi kweli atajua umuhimu wa kuzalisha zaidi ya megawatt 2000 kule rufiji?
Watanzania tuna kawaida ya kushangaa ngoja wamalize kumshangaa huko anapopita wakishamchoka atajua umuhimu megawatt zaidi ya 2000
CCM ni ile ile hakuna malaika kila mmoja ni mpigaji hawana huruma na pesa za walipa kodiHuyu anatupiga hata kwenye miradi midogo ndyomaana hataki wapinzani wanaohoji. Nimeskitika kusikia kuwa hata marekebisho tu ya mabomba yanayosupply maji kwenye mv victoria yaligharimu zaid ya m500.
CCM ni ile ile ukoo wa panya baba mwizi mtoto mwizi ukoo wote weziTuliambiwa mradi wa gesi ya Mtwara ukikamilika tatizo la umeme Tanzania litabaki historia.......unafahamu mradi huo uliishia wapi?
Hakuna cha wivu wala chuki bali CCM mmezidi wizi kila kona mkiambiwa ukweli mnakimbilia majibu mepesi ya kijinga kuwa ni wivuHii PISI KALI ya Amsterdam ina roho mbaya sana ya wivu na chuki na hasira
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu ni wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wizi wa CCM ndipo CCM hugeuka na kuanza kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jikeAnajua nini hata kusema uongo kuwa magufuri kakopa tilioni 40 kwa miaka mitano, wakati taarifa iko online kwenye tovuti ya benk?
Lisu ni mzushi na ndio maana alipinga makinikia wakati hajui chochote na kuwa kibaraka wa mabeberu.
Wewe uaebisha twmabie nani anamlipia Tundu Lisu ghalama za kumlipa Amsterdam?
Je ni yule kubwa la mashoga la marekani au ni nani?
Majibu ya kijinga mnayapenda nyie mkuu, lakini yote kwa yote kumbuka kwamba zimesalia siku 15 tu mwamba JPM arudi tena mjengoniHakuna cha wivu wala chuki bali CCM mmezidi wizi kila kona mkiambiwa ukweli mnakimbilia majibu mepesi ya kijinga kuwa ni wivu
Wewe ndiyo mbwa koko na wazazi wako maana bila wao kuwa mbwe usingezaliwa mbwaLissu ni mbwa koko original
Hizi tilioni 40 ni aina mpya fedha, nadhani zinapatikana sayari ya MarsAnajua nini hata kusema uongo kuwa magufuri kakopa tilioni 40 kwa miaka mitano, wakati taarifa iko online kwenye tovuti ya benk?
Lisu ni mzushi na ndio maana alipinga makinikia wakati hajui chochote na kuwa kibaraka wa mabeberu.
Wewe uaebisha twmabie nani anamlipia Tundu Lisu ghalama za kumlipa Amsterdam?
Je ni yule kubwa la mashoga la marekani au ni nani?