Lissu: Serikali na benki hazina uwezo wa kujenga bwawa la Umeme Rufiji

Kama unaulizia Lissu, ndiye aliyeibua madudu yaliopo kweye mikataba ya madini kule kanda ya ziwa
Mikataba mipya ya madini ni siri za mtukufu magufuli na zile Noa aliwaahidi watanzania wote zimeota mbawa na zile milion 50 kila kijiji nazo zimeota mbawa vyote kachukua pesa kampa polepole wazitumie kudhoofisha chadema, CCM wanatumia pesa nyingi kuihujumu chadema badala ya maendeleo
 
Anapinga mradi
Anapinga nchi kuugharimikia

Anapinga maendeleo ya nchi yake

Anataka achaguliwe kuwa rais ili apige deal zake
 
Pesa inayotumika kuihujumu kuidhoofisha chadema ni pesa nyingi mno na sasa ni mradi mzuri wa kujipatia pesa kwa njia haramu za kishetani Huko CCM, wanufaika wakuu wa huo mradi mpya wa kifisadi ni Bashiru, polepole, le mutuz,cyprian Musiba, Tumbili kafulila na wenzao na wengine wapo umoja wa vijana,ni mradi unatafuna pesa nyingi sana, Yaani badala wawekeze kwenye maendeleo wavune kura kiwepesi wakaamua kula pesa kifisadi kwa kisingizio cha kuua upinzani warejeshe mfumo wa chama kimoja.
 
Anapinga mradi
Anapinga nchi kuugharimikia

Anapinga maendeleo ya nchi yake

Anataka achaguliwe kuwa rais ili apige deal zake
Miradi ya kifisadi utaendelea kuifagilia wewe mnufaika wa utawala huu wa uonevu unyanyasaji manyanyaso
 
Polepole si anasema zile milioni 50 kwa kila kijiji zimegawiwa kwa njia mbadala? anasema wengine wamejengewa zahanati, wengine vituo vya afya, wengine barabara, wengine maji nk. Ila kijiji cheti sisi kina kila huduma niliotaja, walete keshi tu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Katika mradi wa stieglers benki za misri na crdb ni madalali wa benki za mabeberu.

Tusipokuwa makini tunaweza kuingia ktk matatizo makubwa kulipa mkopo wa mradi huu.
[emoji849][emoji849]
 
Huyu pingapinga ni mpuuzi sana, ujenzi wa bwawa sasa uko 70%
 
JPM alisema Tz ni tajiri, Lissu halioni hilo? Ni usimamizi wa dhati kama wa JPM hakuna kinachoshindikana.
 
Leo hii lissu ambaye si mzalendo anaongoza chadema ama kweli wenzetu wameishiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…