Lissu: Tukubali kukosolewa, tuukatae u CCM

Lissu: Tukubali kukosolewa, tuukatae u CCM

Juzi niliona clip Lissu akiwahutubia watoto wa shule kwa kiingereza kibovu na alikuwa anaongea maneno ya kipuuzi sidhani hata hao wazungu wali enjoy, pamoja na mc kumpamba kwelikweli
Wewe cha kwako kizuri
Peleka upulusi wako huko
Hiyo ni lugha ya wenyewe sio yetu
 
Jinsi ulivyouliza tu unaonesha upo finyu sana kisiasa na kisomi.

Huwezi mwanasiasa "msomi" ukasimama kuongea maneno yaliyokwisha semwa na mwengine, juzi tu, bila kumpa stahiki yake.

Japo angesema tu " Fatma Karume alisema ukweli aliposema chawa wanatokana na uchafu" halafu akaendelea kusherehesha.

Kwani ubaya uko wpi mtu kusungumza kile anchoona kinafaa hata kama kuna wengine walishazungumza. Hata Magufuli alikuwa anasema muniombee unafikiri yeye alikuwa wakwanza kusema aombewe
 
Chadema wamepotoka sana
Shida wajuaji wengi… kujidai na kizungu mingi mingi wakaona wengine wote wajinga..

Kuwatukania akina shangazi sababu ya makosa ya wazazi sio poa..

Yesu alizaliwa kama myahudi lakini aliwakana kuwaambia ‘sikuja kutengua torati yenu bali…..’ Tujifunze kupitia maandiko


Tundu Lissu tu anaeleweka wengine wote ni mizinguo jazz band.
Lissu live long bro!

Inasikitisha lakini inatia moyo pia:

1. Watu wote si wajinga, wengine wanaona ila wananyamaza.
2. Lissu anayo nafasi ya pekee ya kuyaleta makundi yote pamoja.
3. Lissu anayo nafasi ya kuweza kuwakemea wapotofu wote.
4. Lissu anao weledi, busara na moral authority juu ya makundi yote ya werevu na pia wajinga.

Aungurumapo simba mcheza nani?

imhotep, JokaKuu, Mshana Jr, Tua Ngoma, mambio, Lusungo, Kalamu na wanathaura wengine. Ni katika wema tu wandugu.
 
Safari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:

View attachment 2798542

Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.

Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.

Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa

Ni lazima tuupige vita u chawa.

"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."

Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.

Long live Tundu Antipas Lissu.

Aluta continua!
lazima mtapigana tu na utapigwa tu,
jaribu kumkosoa mbowe uone.....
 
Kwani ubaya uko wpi mtu kusungumza kile anchoona kinafaa hata kama kuna wengine walishazungumza. Hata Magufuli alikuwa anasema muniombee unafikiri yeye alikuwa wakwanza kusema aombewe
Hakuna ubaya isipokuwa protokali ya kisomi ni lazima umpe "credit" mwenye wazo na maneno yake.

Hujiomgelei kijinga tu kama Mzee Ngonyani.
 
Safari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:

View attachment 2798542

Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.

Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.

Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa

Ni lazima tuupige vita u chawa.

"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."

Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.

Long live Tundu Antipas Lissu.

Aluta continua!
Tundu anataka watu Guinine watu safi
 
Ni kuwa umeshindwa kuiona hekima iliyojaa kutoka kwenye matamshi ya mheshimiwa TAL?

Maneno yako ni kutokea wapi ndugu? Bila source ni uzushi mtupu.

Hata hivyo, nani anapenda kukosolewa? Ni Mussa, Nyerere, Samia au nabii jiwe? Si kuwa sote tunapaswa kukumbushana na kuwa tayari kukumbushwa bila kuchoka? Kwani ubinadamu ni nini?

Au mwezetu wewe ni Malaika?

Maneno haya uliyaona:

"Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia."

Au hata yana maana yoyote kwako?

imhotep, Tindo, WALOLA VUNZYA, Elli, Allen Kilewella na wanathaura wengine tusaidiane kumwaga darasa.
Lissu anaweza kuwa kiongozi bora wa wakati woote
 
Hao labda kama unao wewe. Mada ni kuwahusu ninyi tusiowataka kwetu.

"Chawa, ni trade mark yenu."

"Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM." Amesikika TAL akisema.
Hahaaa,Trade mark.

Mwamba umeuaaa
 
Safari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:

View attachment 2798542

Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.

Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.

Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa

Ni lazima tuupige vita u chawa.

"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."

Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.

Long live Tundu Antipas Lissu.

Aluta continua!
Aache tutoa taarifa na kubwabwaja

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom