Wewe cha kwako kizuriJuzi niliona clip Lissu akiwahutubia watoto wa shule kwa kiingereza kibovu na alikuwa anaongea maneno ya kipuuzi sidhani hata hao wazungu wali enjoy, pamoja na mc kumpamba kwelikweli
Jinsi ulivyouliza tu unaonesha upo finyu sana kisiasa na kisomi.
Huwezi mwanasiasa "msomi" ukasimama kuongea maneno yaliyokwisha semwa na mwengine, juzi tu, bila kumpa stahiki yake.
Japo angesema tu " Fatma Karume alisema ukweli aliposema chawa wanatokana na uchafu" halafu akaendelea kusherehesha.
Chadema wamepotoka sana
Shida wajuaji wengi… kujidai na kizungu mingi mingi wakaona wengine wote wajinga..
Kuwatukania akina shangazi sababu ya makosa ya wazazi sio poa..
Yesu alizaliwa kama myahudi lakini aliwakana kuwaambia ‘sikuja kutengua torati yenu bali…..’ Tujifunze kupitia maandiko
Tundu Lissu tu anaeleweka wengine wote ni mizinguo jazz band.
Lissu live long bro!
lazima mtapigana tu na utapigwa tu,Safari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:
View attachment 2798542
Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.
Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.
Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa
Ni lazima tuupige vita u chawa.
"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."
Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.
Long live Tundu Antipas Lissu.
Aluta continua!
Hakuna ubaya isipokuwa protokali ya kisomi ni lazima umpe "credit" mwenye wazo na maneno yake.Kwani ubaya uko wpi mtu kusungumza kile anchoona kinafaa hata kama kuna wengine walishazungumza. Hata Magufuli alikuwa anasema muniombee unafikiri yeye alikuwa wakwanza kusema aombewe
hovyo sana huyu jamaaJuzi niliona clip Lissu akiwahutubia watoto wa shule kwa kiingereza kibovu na alikuwa anaongea maneno ya kipuuzi sidhani hata hao wazungu wali enjoy, pamoja na mc kumpamba kwelikweli
Tundu anataka watu Guinine watu safiSafari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:
View attachment 2798542
Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.
Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.
Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa
Ni lazima tuupige vita u chawa.
"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."
Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.
Long live Tundu Antipas Lissu.
Aluta continua!
Mnaona wivu Chawa kunguni wa Sitivu nyererehovyo sana huyu jamaa
Sio Adui tu bali jangaIla tuseme ukweli tu kuwa CCM ni adui wa taifa hili
Lissu anaweza kuwa kiongozi bora wa wakati wooteNi kuwa umeshindwa kuiona hekima iliyojaa kutoka kwenye matamshi ya mheshimiwa TAL?
Maneno yako ni kutokea wapi ndugu? Bila source ni uzushi mtupu.
Hata hivyo, nani anapenda kukosolewa? Ni Mussa, Nyerere, Samia au nabii jiwe? Si kuwa sote tunapaswa kukumbushana na kuwa tayari kukumbushwa bila kuchoka? Kwani ubinadamu ni nini?
Au mwezetu wewe ni Malaika?
Maneno haya uliyaona:
"Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia."
Au hata yana maana yoyote kwako?
imhotep, Tindo, WALOLA VUNZYA, Elli, Allen Kilewella na wanathaura wengine tusaidiane kumwaga darasa.
Hahaaa,Trade mark.Hao labda kama unao wewe. Mada ni kuwahusu ninyi tusiowataka kwetu.
"Chawa, ni trade mark yenu."
"Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM." Amesikika TAL akisema.
Kamuulize J ndugai alikoChadema ukimkosoa DJ Unaitwa msaliti haha
Chadema ukikosoa ni sawa na Kulamba ulimi kwenye mashine ya kukatia chuma
Well
Kamuulize J ndugai aliko
Labda wa baba yakoLissu anaweza kuwa kiongozi bora wa wakati woote
Aache tutoa taarifa na kubwabwajaSafari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:
View attachment 2798542
Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.
Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.
Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa
Ni lazima tuupige vita u chawa.
"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."
Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.
Long live Tundu Antipas Lissu.
Aluta continua!
Labda wa baba yako
Maku- mvanga wewe
Au sio?? Apaaa idumaInakuwa je tena arawa? Una makando kando mengi chawa wa DCM wewe.