the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Labda maandamano kwenye mitandao ya kijamii kama X na mingineyo.Lissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
mkuu wewe hutoandamana? mana inaruhusiwa kisheria, au wewe kila kitu kipo sawa kwako?Labda maandamano kwenye mitandao ya kijamii kama X na mingineyo.
Hao ni UWT wao kwao muhimu pombe na nyamamkuu wewe hutoandamana? mana inaruhusiwa kisheria, au wewe kila kitu kipo sawa kwako?
Anaota ndoto Za mchana!! Kiherehere chote kitamuisha Ana akili Za kitoto sana!! Akili zote zimemezwa na tumboLissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Teh Teh Teh wachanganyikiwe kwa hilo tumbo la Lissu au? Yaani akina Salary Slip kula kwa Tindo G Sam et al ndo waitetemeshe CCM kwa hulka zao Za kitoto zikiongozwa na huyo mpuuzi?? Hahahaha mnaota nyingi Hebu anzeni na Slaa kwanza! ππππCCM wakisikia hiyo kauli wanachanganyikiwa
Hahahaha, mchango wao ni mdogo kwa TaifaHao ni UWT wao kwao muhimu pombe na nyama
Ni majinga haswaHahahaha, mchango wao ni mdogo kwa Taifa
Bado hujajipendekeza kwa ccm, utajipendekeza sana. Kwa nongwa hii hakuna rangi utaacha kuona.Teh Teh Teh wachanganyikiwe kwa hilo tumbo la Lissu au? Yaani akina Salary Slip kula kwa Tindo G Sam et al ndo waitetemeshe CCM kwa hulka zao Za kitoto zikiongozwa na huyo mpuuzi?? Hahahaha mnaota nyingi Hebu anzeni na Slaa kwanza! ππππ
Kama Chadema mna njia zaidi ya moja kushinikiza kuzuia uchaguzi, nawashauri njia ya maandano msiitumie. Mkiitumia mwe na hakika ni mtapata hasara kubwa sana ikiwemo kupoteza uungwajj mkono wa wananchi wasio wanachama wenu ambao wanatamani kuona mambo tofauti kupitia kwenu.Lissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Aliyekuwa na guts za kuandamana ni Mwamba Mbowe na binti yake.Wengine nyie mafisi tu.Keyboard Warriors. Kelele za mitandaoni tu.mkuu wewe hutoandamana? mana inaruhusiwa kisheria, au wewe kila kitu kipo sawa kwako?
Na ukiona unatumia njia ya maandamano mara kwa mara na matokeo ni yale yale basi ujue una mushkel kichwani.Mbowe aliandamana akajikuta yupo na binti yake tu. Mbinu ya maandamano imefeli