Pre GE2025 Lissu: Tutazuia uchaguzi kwa njia mbalimbali ikiwemo maandamano kama hakutokuwa na mabadiliko

Pre GE2025 Lissu: Tutazuia uchaguzi kwa njia mbalimbali ikiwemo maandamano kama hakutokuwa na mabadiliko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hana mpya! Kama ni kuandamana akamuulize mbowe alioandamana na bintiye😄
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
unajidangany atena toka usingizini ndugu mambo ya jpm yanaishaje kwamfano ?mama anaendeleza alipoishia jpm na hakuna linalobadirika na tunasoga mbele lissu akija atajifanay mjuaji kuanza kufumua mifumo mizuri aliyoikuta kumbe ndiyo anaharibu kabisa hatufai na hafai kuongoza nchi huyo lissu akaendelee na kazi zake tu huko alikokimbiliaga

Mifumo ya uchafuzi ndio unasema ni mifumo mizuri. Lissu na watanzania hawatakubali ufanyike uchafuzi mwingine kama uchafuzi wa serikali za mitaa. Pia neno la ahadi lazima litimie ili wenye haki warudishiwe haki zao walizoporwa. Watu wenye mentality kama yako pamoja na ma-ccm mtaipata surprise yenu kubwa.

Mimi sijidanganyi,ni kwamba tu sometimes I conceal my intentions and enveloping ma-ccm in a smokescreen so they are never able to prepare a defense, I pretend to play dumb just to lead ma-ccm to their own defeat.Lissu yeye huwa anawashauri ma-ccm ukweli wazi wazi ili warekebishe.Na kama mnashindwa kuuona ukweli wa Lissu, your minds have decayed beyond repairs.

Lissu anafaa sana tena sana kuiongoza nchi ya Tanzania.Ni mazoea tu ndiyo yanakupa tabu unaogopa mabadiliko.Mabadiliko hayaepukiki uwe unayataka au hauyataki, lakini hayaepukiki.
 
Una akili sn, siyo akimbilie kule ni nyumbani ndiko iliko familia yake. Lissu ni kibaraka wa kutuharibia nchi yetu. Vyombo vinamfuatilia kwa ukaribu kuna mstari akivuka atajua hajui, Slaa yuko wapi sahv?
Asante kwa ushauri Mbwa wa Chura Kiziwi !
 
Lissu anahitaji kui fine tune message yake.

Kusema kwamba watazuia uchaguzi hatoeleweka.
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.
 
Sasa hivi mnaona kila kitu kipo sawa sababu nchi iko kwenye autopilot kumalizia muhula wa Magufuli, ila Tanzania ya samia post 2025 mtatamani wenyewe kuingia barabarani kuandamana bila mtu yeyote kuwashinikiza wakati ambao itakuwa ni too late. Na mtamkumbuka Lissu.

Bora muandamane sasa ili kuweka mifumo iwe na mizania mizuri.Lissu yeye mambo yake binafsi yako sawa lakini Lissu anawapigania ninyi kutokana na upendo na uzalendo alionao kwa nchi ya Tanzania.
Samia ni mpaka 2030, ameshahalalishwa na mkutano mkuu. Wewe endelea kuzeeka na huo ushujaa wa nyuma ya keyboard.
 
Lissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Hakuna mtu ataandamana Ili kutumikia matakwa a Wanasiasa.

Ajenda za Chadema sio ajenda za Wananchi
 
Sasa hivi mnaona kila kitu kipo sawa sababu nchi iko kwenye autopilot kumalizia muhula wa Magufuli, ila Tanzania ya samia post 2025 mtatamani wenyewe kuingia barabarani kuandamana bila mtu yeyote kuwashinikiza wakati ambao itakuwa ni too late. Na mtamkumbuka Lissu.

Bora muandamane sasa ili kuweka mifumo iwe na mizania mizuri.Lissu yeye mambo yake binafsi yako sawa lakini Lissu anawapigania ninyi kutokana na upendo na uzalendo alionao kwa nchi ya Tanzania.
Day dreaming.

Kama Iko autopilot andamana tuone.
 
Lissu na CDM na hata Askofu Bagonza wanahoja za Msingi sana..hebu Wazee wachache wenye AKILI CCM mwambieni Mh Rais asishupaze shingo..afanye marekebisho ya Msingi ya tume ya Uchaguzi na hata Katiba ikiwezdkana..itamlete HESHIMA kubwa ndani na nje ya nchi
Nafasi hiyo ilitolewa na walisusa.Sasa wasuse vizuri
 
Uchaguzi wa Tanzania kwa mtu mwenye akili ni ujinga- kwenda kupoteza muda jua kali bora uwe bar walau upate mtori wa moto na bia zako 3 ukalale na si ujinga wa kupanga foleni for NOTHING.
 
Back
Top Bottom