Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Nitapata nafasi ya kupata kichwa cha Tundu kiwe kibuyu changu cha kunywea maji
Ajichanganye aone
Ajichanganye aone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KILA KITU KIPO SAWA NIANDAMANE KUTAFUTA NINI HALAFU NIKIVUNJWA MIGUU LISSU ANAKIMBILIA ULAYAmkuu wewe hutoandamana? mana inaruhusiwa kisheria, au wewe kila kitu kipo sawa kwako?
MPAKA HAPO TAYARI AMESHAFELI PAKUBWA HANA NJIA YA KUZUIA MAANA MAANDAMANO HAKUNA ATAKAYEKWENDA NA KELEL ZA KUWAAMBIA MABEBERU NAO TAYARI WAMESHAJITOA KUTUSAIDIA KWAHIYO ANAONGEA WAKATI UKIFIKA ANAPANDA NDEGE ANAENDA ULAYA ANAWAACHA MAZWAZWAYA CHADEMA YANASHANGAALissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
ndoto za mchana huchekesa sana dah 🐒Lissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Sasa hivi mnaona kila kitu kipo sawa sababu nchi iko kwenye autopilot kumalizia muhula wa Magufuli, ila Tanzania ya samia post 2025 mtatamani wenyewe kuingia barabarani kuandamana bila mtu yeyote kuwashinikiza wakati ambao itakuwa ni too late. Na mtamkumbuka Lissu.KILA KITU KIPO SAWA NIANDAMANE KUTAFUTA NINI HALAFU NIKIVUNJWA MIGUU LISSU ANAKIMBILIA ULAYA
unajidangany atena toka usingizini ndugu mambo ya jpm yanaishaje kwamfano ?mama anaendeleza alipoishia jpm na hakuna linalobadirika na tunasoga mbele lissu akija atajifanay mjuaji kuanza kufumua mifumo mizuri aliyoikuta kumbe ndiyo anaharibu kabisa hatufai na hafai kuongoza nchi huyo lissu akaendelee na kazi zake tu huko alikokimbiliagaSasa hivi mnaona kila kitu kipo sawa sababu nchi iko kwenye autopilot kumalizia muhula wa Magufuli, ila Tanzania ya samia post 2025 mtatamani wenyewe kuingia barabarani kuandamana bila mtu yeyote kuwashinikiza wakati ambao itakuwa ni too late. Na mtamkumbuka Lissu.
Bora muandamane sasa ili kuweka mifumo iwe na mizania mizuri.Lissu yeye mambo yake binafsi yako sawa lakini Lissu anawapigania ninyi kutokana na upendo na uzalendo alionao kwa nchi ya Tanzania.
Huyo mnyaturu ni zombie kweli, aende kumleta mke wake na watoto walioko Marekani waandamane.Lissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Lione hili nyumbu, huyo lofa wenu wakati akiwa km Besigye we utakuwa na msaada gani kwake. PambavSafi sana.
Uchaguzi feki ni kupoteza bure pesa za umma
Huna akili we nyumbu, CCM kiwachanganye nini kwa hilo nyau lenye viraka mwili mzima, anatafuta lawama tuCCM wakisikia hiyo kauli wanachanganyikiwa
Kaandamane na mke wako sebuleni kwenumkuu wewe hutoandamana? mana inaruhusiwa kisheria, au wewe kila kitu kipo sawa kwako?
RubbishYes hakuna namna, ni utapeli tupu kutumia mabilioni kwa uchaguzi fake
Kiukweli ni upuuzzi yaani mnaingia kwenye mpinzani wako anakuja na marefaLissu amesema watatumia njia mbalimbali kuzuia uchaguzi, ameeleza pia no reform no election maana yake siyo kususia uchaguzi.
Ameeleza pia kuwa zipo njia mbalimbali za kuzuia uchaguzi ikiwemo kuitisha maandamano nk.
View attachment 3240180
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
We nyumbu ni zero brain, mbn juzi hamkuandamana? Hakuna nyau atajaribu kutoa pua yakeHao ni UWT wao kwao muhimu pombe na nyama
We fanya mambo hakuna kima atazuia au kujaribu kuzuia uchaguziMUNGU atupe uhai tujionee hii No reform No election.
Hao nyumbu ni zero brainTeh Teh Teh wachanganyikiwe kwa hilo tumbo la Lissu au? Yaani akina Salary Slip kula kwa Tindo G Sam et al ndo waitetemeshe CCM kwa hulka zao Za kitoto zikiongozwa na huyo mpuuzi?? Hahahaha mnaota nyingi Hebu anzeni na Slaa kwanza! 😂😂😂😂
Nyie kwl ni mazombieBado hujajipendekeza kwa ccm, utajipendekeza sana. Kwa nongwa hii hakuna rangi utaacha kuona.
Umevuta cha arusha !!!Lione hili nyumbu, huyo lofa wenu wakati akiwa km Besigye we utakuwa na msaada gani kwake. Pambav
Una akili sn, siyo akimbilie kule ni nyumbani ndiko iliko familia yake. Lissu ni kibaraka wa kutuharibia nchi yetu. Vyombo vinamfuatilia kwa ukaribu kuna mstari akivuka atajua hajui, Slaa yuko wapi sahv?KILA KITU KIPO SAWA NIANDAMANE KUTAFUTA NINI HALAFU NIKIVUNJWA MIGUU LISSU ANAKIMBILIA ULAYA
Duuh, jamaa unatumia nini kufikiri?Kaandamane na mke wako sebuleni kwenu