Lissu ukiendelea kumshambulia mzanzibar kumbuka kushukuru, ni mzanzibar alijitojitolea kukodisha ndege kuokoa maisha yako

Lissu ukiendelea kumshambulia mzanzibar kumbuka kushukuru, ni mzanzibar alijitojitolea kukodisha ndege kuokoa maisha yako

Ni sawa, lakini haiondoi ukweli wa, anayoyasema, Lisu anazungumzia maswala, issues, ya, nchi, sio individual issues, tofautisha, hata Hao wa zenj wanaotubagua tukiwa unguja,ni jirani zetu huku Dom,wameoa dada zetu, wamewabadilisha dini, wala hatuna shida nao,maisha yanakwemsa
Hapa issue ni uzanzibar tu hakuna lingine lililo kichwani kwa lissu hana shukurani!
 
Lissu anapita huku na huko kumkandia raisi Samia kuhusu uzanzibari wake,
lissu ni mtu asiye na shukurani wala kumbukumbu kuwa wakati amenyukwa zile njugu na kupata ugumu wa ndege kuruka na hicho chama chake hawapo busy kushughulikia suala lake upande wa pesa.

Alijitolea mbunge na kada wa ccm kutoka zanzibar yaani mzanzibar hao hao wanaoshutumiwa kuwa si watu, akatoa pesa yake tena pesa ya kigeni kukodisha ndege ya kuokoa uhai wake unaompa lissu kibri leo cha kumtukana na kumkashifu mzanzibar.

Lissu kwa uchache wa shukurani hajawahi hata siku moja hajawahi simama jukwaani kumshukuru yule mwamba aliyeweka rehani mali zake kuokoa maisha ya lissu.

Familia ya yule muhisani bado ipo fanya siku wende ukatoe shukurani!

Dereva wa lissu yu wapi gari imepatikana!
Huna hoja wewe!
 
Kusaidiwa na mzanzibari sio sababu ya kukaa kimya kwa mambo ya hovyo yanayo fanywa na wazanzibari kwa kigezo Cha muungano wa magumashi, ule msaada haukuondoa ufahamu wae na misimamo yake juu ya kile anacho kiamini na anachoona sio sahihi, hoja yako haina mashiko inapaswa kuupuzwa tuu
 
Lissu anapita huku na huko kumkandia raisi Samia kuhusu uzanzibari wake,
lissu ni mtu asiye na shukurani wala kumbukumbu kuwa wakati amenyukwa zile njugu na kupata ugumu wa ndege kuruka na hicho chama chake hawapo busy kushughulikia suala lake upande wa pesa.

Alijitolea mbunge na kada wa ccm kutoka zanzibar yaani mzanzibar hao hao wanaoshutumiwa kuwa si watu, akatoa pesa yake tena pesa ya kigeni kukodisha ndege ya kuokoa uhai wake unaompa lissu kibri leo cha kumtukana na kumkashifu mzanzibar.

Lissu kwa uchache wa shukurani hajawahi hata siku moja hajawahi simama jukwaani kumshukuru yule mwamba aliyeweka rehani mali zake kuokoa maisha ya lissu.

Familia ya yule muhisani bado ipo fanya siku wende ukatoe shukurani!

Dereva wa lissu yu wapi gari imepatikana!
Unauhakika na hilo au na wewe ulilisikia kama tulivyosikia sisi! Ingesemwa mtanganyika ndiye aliyetoa ndege unadhani nini kingetokea kwenye kabila lake, bwana yule asingeliacha salama.
 
Lissu anapita huku na huko kumkandia raisi Samia kuhusu uzanzibari wake,
lissu ni mtu asiye na shukurani wala kumbukumbu kuwa wakati amenyukwa zile njugu na kupata ugumu wa ndege kuruka na hicho chama chake hawapo busy kushughulikia suala lake upande wa pesa.

Alijitolea mbunge na kada wa ccm kutoka zanzibar yaani mzanzibar hao hao wanaoshutumiwa kuwa si watu, akatoa pesa yake tena pesa ya kigeni kukodisha ndege ya kuokoa uhai wake unaompa lissu kibri leo cha kumtukana na kumkashifu mzanzibar.

Lissu kwa uchache wa shukurani hajawahi hata siku moja hajawahi simama jukwaani kumshukuru yule mwamba aliyeweka rehani mali zake kuokoa maisha ya lissu.

Familia ya yule muhisani bado ipo fanya siku wende ukatoe shukurani!

Dereva wa lissu yu wapi gari imepatikana!

Ama kweli, kosa vyote, ubakiwe na akili!!

Lkwa akili zako ndogo, uliwahi kuambiwa kuwa msaada wa mbunge mzanzibari ni fidia ya kosa lolote atakalofanya mzanzibari yeyote?

Hivi unajua Lisu akiwa katika hali ile, alisaidiwa na watu wangapi? Ufahamu kuwa kuna watanzania, kuna wakenya, kuna wazungu pia. Kwa akili yako, Lisu hata akiona kosa lolote lile hastahili kusema kwa sababu alisaidiwa kuokoa maisha yake? Hiyo ni akili au matope?
 
Ama kweli, kosa vyote, ubakiwe na akili!!

Lkwa akili zako ndogo, uliwahi kuambiwa kuwa msaada wa mbunge mzanzibari ni fidia ya kosa lolote atakalofanya mzanzibari yeyote?

Hivi unajua Lisu akiwa katika hali ile, alisaidiwa na watu wangapi? Ufahamu kuwa kuna watanzania, kuna wakenya, kuna wazungu pia. Kwa akili yako, Lisu hata akiona kosa lolote lile hastahili kusema kwa sababu alisaidiwa kuokoa maisha yake? Hiyo ni akili au matope?
Siku zote mkichaa humuona mzima ana kichaa zaidi yake!
 
Lissu anapita huku na huko kumkandia raisi Samia kuhusu uzanzibari wake,
lissu ni mtu asiye na shukurani wala kumbukumbu kuwa wakati amenyukwa zile njugu na kupata ugumu wa ndege kuruka na hicho chama chake hawapo busy kushughulikia suala lake upande wa pesa.

Alijitolea mbunge na kada wa ccm kutoka zanzibar yaani mzanzibar hao hao wanaoshutumiwa kuwa si watu, akatoa pesa yake tena pesa ya kigeni kukodisha ndege ya kuokoa uhai wake unaompa lissu kibri leo cha kumtukana na kumkashifu mzanzibar.

Lissu kwa uchache wa shukurani hajawahi hata siku moja hajawahi simama jukwaani kumshukuru yule mwamba aliyeweka rehani mali zake kuokoa maisha ya lissu.

Familia ya yule muhisani bado ipo fanya siku wende ukatoe shukurani!

Dereva wa lissu yu wapi gari imepatikana!
We masaburi mabichi kabisa...
 
Back
Top Bottom