Lissu, ukihutubia anza na matatizo yaliyopo eneo hilo ambayo ni kero kubwa kwa wananchi badala ya maneno ya hovyo hovyo, wananchi hawakuelewi

Lissu, ukihutubia anza na matatizo yaliyopo eneo hilo ambayo ni kero kubwa kwa wananchi badala ya maneno ya hovyo hovyo, wananchi hawakuelewi

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
Kwa mafano tatizo kubwa sana maeneo mengi ni:-
1. Huduma za afya na vifaa tiba, vituo vya afya havina hata x-ray au Ultrasound halafu wanapoteza fedha kununua magari ya mamilioni
2. Maji safi na salama eneo husika
3. Vifaa mashuleni na walimu na moundo mbinu
4. Wataalam wa afya vituo vingi wamejaa wauguzi tu madaktari hakuna pesa wanachezea tu kununulia magoli

Yapo mambo mengi Sana ya kuyaongelea ambayo wananchi watayaelewa badala ya kumtukana Samia mara Magufuli nk
 
Unapoandika Lissu halafu ukaweka nukta pacha maana yake Lissu ndio katoa hio kauli,sasa badala yake wewe ndio umetoa mawazo yako ya ki CCM,jifunze
 
Ikungi hakuna mbunge ? Hakuna mkurugenzi? Mkuu wa mkoa? Mkuu wa wilaya?

Watatue matatizo hayo eneo lao maana walisema upinzani unakwamisha maendeleo 2020 hivyo waleta maendeleo waulize

Lissu yupo busy na Mambo ya kitaifa
 
Unapoandika Lissu halafu ukaweka nukta pacha maana yake Lissu ndio katoa hio kauli,sasa badala yake wewe ndio umetoa mawazo yako ya ki CCM,jifunze
Ujumbe umefika ,wewe siyo mhariri wa kuhariri maandishi yangu
 
Yeye anaangalia maslahi yake. Hasa sheria zitakazomfanya awe Rais. Mambo ya wananchi ni by the way tu. Hafai
 
Lissu si mwanasiasa bali mwanaharakati wa busubusu la serikali za wanafunzi vyuo vikuu......

Yeye kutukana ,kuponda ,kubagaza ,kedi ,chusho ndio mbeleko yake kwa hadhira yake......
 
Mbona anaeleza vizuri tu?
After then hii siyo mikutano ya kampeni!
Ni mikutano yakuelimisha watu wajue Haki zao za Kikatiba! Wajue kwa nini wanaporwa haki yao ya kumchagua Rais na wawakilishi wanaowataka.
Baada ya hapo Wajue jinsi ya kudai Haki yao ya kuchagua Rais na Wawakilishi wanaowataka.
Uhuru na Maendeleo.
 
Acha kujipa umuhimu kwa simba, anajua kuliko wewe hapo tandale
 
Kwa mafano tatizo kubwa sana maeneo mengi ni:-
1. Huduma za afya na vifaa tiba, vituo vya afya havina hata x-ray au Ultrasound halafu wanapoteza fedha kununua magari ya mamilioni
2. Maji safi na salama eneo husika
3. Vifaa mashuleni na walimu na moundo mbinu
4. Wataalam wa afya vituo vingi wamejaa wauguzi tu madaktari hakuna pesa wanachezea tu kununulia magoli

Yapo mambo mengi Sana ya kuyaongelea ambayo wananchi watayaelewa badala ya kumtukana Samia mara Magufuli nk
Afya ya Leo sio sawa nq ya 2021
 
Kwa mafano tatizo kubwa sana maeneo mengi ni:-
1. Huduma za afya na vifaa tiba, vituo vya afya havina hata x-ray au Ultrasound halafu wanapoteza fedha kununua magari ya mamilioni
2. Maji safi na salama eneo husika
3. Vifaa mashuleni na walimu na moundo mbinu
4. Wataalam wa afya vituo vingi wamejaa wauguzi tu madaktari hakuna pesa wanachezea tu kununulia magoli

Yapo mambo mengi Sana ya kuyaongelea ambayo wananchi watayaelewa badala ya kumtukana Samia mara Magufuli nk
Hayo si mageni kwa wananchi! Yamekuwa yakiongelewa tokea uhuru! Na wananchi wana hasira nayo!
Tundu Lissu anachofanya ni kuwaongezeeni maovu mengine yanyofanywa na ccm!
 
Kwa mafano tatizo kubwa sana maeneo mengi ni:-
1. Huduma za afya na vifaa tiba, vituo vya afya havina hata x-ray au Ultrasound halafu wanapoteza fedha kununua magari ya mamilioni
2. Maji safi na salama eneo husika
3. Vifaa mashuleni na walimu na moundo mbinu
4. Wataalam wa afya vituo vingi wamejaa wauguzi tu madaktari hakuna pesa wanachezea tu kununulia magoli

Yapo mambo mengi Sana ya kuyaongelea ambayo wananchi watayaelewa badala ya kumtukana Samia mara Magufuli nk
Kweli kabisa , na kwenye ilani Yao ya uchaguzi waoneshe bayana namna ya kupunguza mishahara ya wabunge ambayo ni ubinafsi na ni ULAFI mkubwa. !
 
Back
Top Bottom