kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kwa mafano tatizo kubwa sana maeneo mengi ni:-
1. Huduma za afya na vifaa tiba, vituo vya afya havina hata x-ray au Ultrasound halafu wanapoteza fedha kununua magari ya mamilioni
2. Maji safi na salama eneo husika
3. Vifaa mashuleni na walimu na moundo mbinu
4. Wataalam wa afya vituo vingi wamejaa wauguzi tu madaktari hakuna pesa wanachezea tu kununulia magoli
Yapo mambo mengi Sana ya kuyaongelea ambayo wananchi watayaelewa badala ya kumtukana Samia mara Magufuli nk
1. Huduma za afya na vifaa tiba, vituo vya afya havina hata x-ray au Ultrasound halafu wanapoteza fedha kununua magari ya mamilioni
2. Maji safi na salama eneo husika
3. Vifaa mashuleni na walimu na moundo mbinu
4. Wataalam wa afya vituo vingi wamejaa wauguzi tu madaktari hakuna pesa wanachezea tu kununulia magoli
Yapo mambo mengi Sana ya kuyaongelea ambayo wananchi watayaelewa badala ya kumtukana Samia mara Magufuli nk