Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

Mtoa mada nadhani nimgeni ndani ya nchi hii. La hasha atakuwa sio msomaji wa habari za ulimwengu
 
Pia kuna yule aliahidi kugawa milioni 50 kila kijiji. Je tumeanza kunufaika nazo? Siku nyingine jifunze kutumia akili zaidi kuliko ushabiki maandazi.
 
Pia kuna yule aliahidi kugawa milioni 50 kila kijiji. Je tumeanza kunufaika nazo? Siku nyingine jifunze kutumia akili zaidi kuliko ushabiki maandazi.
Jikite kwenye hoja. Tumeshitakiwa miga?
 
Mwalimu wa Civics HAPA ni WAPI? Si ulisema hatutoshitakiwa MIGA hapa ni Wapi? πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Hebu mpigie simu Prof. Mruma akuambie alivyo dhalilishwa na vijujuu huko majuu.
Mnaongeaga tu nyee nyee nyee nnya bila kufikiri.
Elitwege
 
Sijaelewa vizuri. Hebu andika tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…