Lissu: Ushauri Kuwa CHADEMA ianzishe Jeshi ni wa kijinga

Lissu: Ushauri Kuwa CHADEMA ianzishe Jeshi ni wa kijinga

Isijekuwa Mr Hole anazima tu ukweli dhahiri shihiri ambao tayari jamaa wa twitani ameugundua kwamba uko kwenye matekelezoni sehemu fulani. Labda hata ndiyo sababu Mr Hai amefunguliwa mashtaka yanayoenda sambamba na hiko kitu anachosema Mr Kilog!???
 
Inashangaza sana....jamaa hata utambulisho wake halisi haujulikani lakini amekuwa maarufu kweli kweli mpaka amepata 'attention' kubwa kutoka kwa wanasiasa, viongozi.
Ukiwa na information relevant duniani, wewe ni tajiri zaidi ya Jeff Bezos na bilioni zake almost dola 200!!! ^Those who read lead; readers are leaders.^
 
Uwa nacheka sana Pro-Chadema wanashikia akili na Kigogo mtu mwenyewe anajificha kama nguchiro huyu ndiyo kamungiza mkenge Mbowe.
 
Kigogo huko huko Twitter tumemuambia tugawane majukumu, yeye aanzishe kikundi cha kijeshi aingie msituni, cdm waendelee na siasa hizi hizi za ushindani wa hoja. Lengo ni kuiondoa ccm, cdm wakifanikiwa wataunda serikali, yeye akifanikiwa pia tokea huko msituni aunde serikali, lengo ni ccm itoke madarakani. Tunaona kapotea baada ya kukosa support aliyoitaka maana anaoongozwa na mihemko.
 
Uwa nacheka sana Pro-Chadema wanashikia akili na Kigogo mtu mwenyewe anajificha kama nguchiro huyu ndiyo kamungiza mkenge Mbowe.

Amshikie nani akili, mbona kaja na hoja hii hajapewa support yoyote? Huwa kuna mambo anapatia, lakini sio muongoza njia wa cdm. Yeye anawamudu ccm huku mitandaoni maana ccm ni chama cha wazee.
 
Imefika wakati chama wabadili katiba ya chama chao hasa katika kuwapata viongozi wa chama chao maana waliopo ubunifu na mvuto wa uongozi wameishiwa kilichobaki ni kutangaza bifu tu mwisho wa siku wanaanza kuutamani ugaidi huyo katibu ndio hakuna kitu kabisa akili mgando jaazi lishazama ndio linapotea hivyo.
 

Lissu Amjibu Kigogo, Asema Ushauri CDM Waache Siasa Za Mtandaoni Ni 'Poisoned Advice,' Amwambia Ushauri CDM Ianzishe Jeshi Ni Wa Kijinga, Abainisha Kuwa Kigogo Hana Uzoefu Wa Kuendesha Chama Chochote​

View attachment 1876547
  • Vitu ambacho Kigogo hajasema:
Chadema ijikite kwenye misingi ya kuanzishwa Kwake,anaona kuna haja ya.kuwa na jeshi aanzishe chama chake kwa misingi hiyo
 
Lissu Amjibu Kigogo, Asema Ushauri CDM Waache Siasa Za Mtandaoni Ni 'Poisoned Advice,' Amwambia Ushauri CDM Ianzishe Jeshi Ni Wa Kijinga, Abainisha Kuwa Kigogo Hana Uzoefu Wa Kuendesha Chama Chochote
Maadui wa ukombozi huja kwa njia mbalimbali.

Wengi wao hujifanya marafiki wa upambanaji huo.

Huyu hapa anatafuta njia ya kuikwamisha CHADEMA wakati ndio kwanza chama kimeanza kueleweka na wananchi kinapambania nini.
 
Chahali wakati Rais Magufuli ameingia Madarakani ulikuwa mpiga debe wake mkubwa sana. Baadae ukaja tujulisha umma kiwa Kinana amekudhulumu mamilioni ya Shilingi baada ya kutokulipa kwa kumfanyia kampeni Magufuli 2015. Baadae ukaja geuka kuwa mkosoaji wake mkubwa.

Kwa sasa Ni mpiga debe mkubwa Rais Samia. Tujifunze kutokana na Historia?
Hawa rangi bili dawa yao ni hiyo tu, kutowaonea haya.
Waambiwe ukweli wao bila kuficha na kila mtu ajue.

Hawa ndio maadui wakubwa wa ukombozi, kwa sababu wanaivuruga kazi na kuifanya kuwa ngumu kwa kuwachanganya wananchi.
 
Mama kawavuruga hawa wapinzani 🤣🤣

Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
Inawezekana sio mfuatiliaji mzuri wa Kigogo vs CHADEMA...

High Profile Politicians from CHADEMA kwa muda mrefu sana wapo very careful na Kigogo kwa sababu wanafahamu Kigogo haaminiki!!!

Wanaomuunga sana Kigogo kwa kila jambo ni wale "wenzangu mimi" but CHADEMA Leadership always handle him with care!!

Kigogo hawatukani CCM na viongozi wake pekee! Kashamtukana sana Zitto Kabwe na ACT! Keshamtukana sana Mbowe na CHADEMA yake!! Na hayo wala sio kwamba kayafanya miaka mingi sana iliopita, HELL NO... mwaka jana tu hapa kawatukana!!!

Na huwa anawatukana na hata kuwachafua kwa sababu ile ile aliyonayo kila siku: Kigogo anataka siku zote ukubali anachosema yeye tu... ukipishana nae, tayari ugomvi!!

Hata huyu chahali kwa sasa haziwivu na Kigogo ingawaje hata Evarist Chahali mwenyewe hana tofauti sana na Kigogo, manake aliwahi kunimwagia matusi mazito twitter na kuni-block kisa tu nilimpinga kwenye moja ya hoja zake!!!!

So, hii si mara ya kwanza kwa CHADEMA kwenda kinyume na Kigogo!!
 
Ina maana Lissu anamfahamu kigogo hadi aseme kwamba hana uzoefu wa kuongoza chama cha siasa? kwa maana hiyo kumbe kama serikali inamuhitaji kigogo basi lissu atakua msaada mkubwa kuisadia polisi kwa sababu anaonekana wazi kua anamfahamu vyema.
 
Ina maana Lissu anamfahamu kigogo hadi aseme kwamba hajawahi ongoza hata chama chochote cha siasa? kwa maana hiyo kumbe kama serikali inamuhitaji kigogo basi lissu atakua msaada mkubwa kuisadia polisi kwa sababu anaonekana wazi kua anamfahamu vyema.
Kilog isiwe double agent. Ushauri wake huu utafanya ushahidi wa kesi ya John Walker/Faru John ni mwepesi mno.
 
Nimeisikia hii ikisemwa na wachdema 'kuendesha chama si kama handle ya Tweeter'😀
 
Back
Top Bottom