Lissu: Ushauri Kuwa CHADEMA ianzishe Jeshi ni wa kijinga

Lissu: Ushauri Kuwa CHADEMA ianzishe Jeshi ni wa kijinga

Mama kawavuruga hawa wapinzani 🤣🤣

Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
Ndivyo inavyotakiwa. Marekani Biden anashindwa kufanya atakalo kwa sababu ya Mancin na Sinema. Republicans, hivyo hivyo, wakina Cheney wamekataa kufuata muongozo wa viongozi wao kuhusu mambo yaliyotokea tarehe 6 Januari. Kwa sababu hiyo, ukiona Lissu, Zitto, Kigogo na wengine wanatofautiana ujue kuwa upinzani uko hai.

Unapoona chama chochote cha siasa kinakubaliana kwa 100% katika kila jambo ujue kuna tatizo.

Amandla...
 
Inawezekana sio mfuatiliaji mzuri wa Kigogo vs CHADEMA...

High Profile Politicians from CHADEMA kwa muda mrefu sana wapo very careful na Kigogo kwa sababu wanafahamu Kigogo haaminiki!!!

Wanaomuunga sana Kigogo kwa kila jambo ni wale "wenzangu mimi" but CHADEMA Leadership always handle him with care!!

Kigogo hawatukani CCM na viongozi wake pekee! Kashamtukana sana Zitto Kabwe na ACT! Keshamtukana sana Mbowe na CHADEMA yake!! Na hayo wala sio kwamba kayafanya miaka mingi sana iliopita, HELL NO... mwaka jana tu hapa kawatukana!!!

Na huwa anawatukana na hata kuwachafua kwa sababu ile ile aliyonayo kila siku: Kigogo anataka siku zote ukubali anachosema yeye tu... ukipishana nae, tayari ugomvi!!

Hata huyu chahali kwa sasa haziwivu na Kigogo ingawaje hata Evarist Chahali mwenyewe hana tofauti sana na Kigogo, manake aliwahi kunimwagia matusi mazito twitter na kuni-block kisa tu nilimpinga kwenye moja ya hoja zake!!!!

So, hii si mara ya kwanza kwa CHADEMA kwenda kinyume na Kigogo!!

Mimi nilipomuona anamtukana Samia kwa kutochagua watu aliowatabiria yeye Kigogo ndo nikajua huyu mtu kumbe 'Hamnazo Kabisa'..

Mara amtukane Haji Manara..kwa vitu so petty ...


Nafikiri anaugua very serious " attention seeking disorders'...
 
Mimi nilipomuona anamtukana Samia kwa kutochagua watu aliowatabiria yeye Kigogo ndo nikajua huyu mtu kumbe 'Hamnazo Kabisa'..

Mara amtukane Haji Manara..kwa vitu so petty ...


Nafikiri anaugua very serious " attention seeking disorders'...
Alitaka Emanuel nchimbi awe VP
 
Ndivyo inavyotakiwa. Marekani Biden anashindwa kufanya atakalo kwa sababu ya Mancin na Sinema. Republicans, hivyo hivyo, wakina Cheney wamekataa kufuata muongozo wa viongozi wao kuhusu mambo yaliyotokea tarehe 6 Januari. Kwa sababu hiyo, ukiona Lissu, Zitto, Kigogo na wengine wanatofautiana ujue kuwa upinzani uko hai.

Unapoona chama chochote cha siasa kinakubaliana kwa 100% katika kila jambo ujue kuna tatizo.

Amandla...
I know. I’m all for dissent.

I just enjoy clowning nyumbus.
 
Usifanye mchezo na MFUMO ... wao ndio wanapanga nani acheze namba ngapi mfumo ukiharibika Taifa linaangamia
 
Mimi nilipomuona anamtukana Samia kwa kutochagua watu aliowatabiria yeye Kigogo ndo nikajua huyu mtu kumbe 'Hamnazo Kabisa'..

Mara amtukane Haji Manara..kwa vitu so petty ...


Nafikiri anaugua very serious " attention seeking disorders'...
Kigogo katukana wengi pengine kuliko aliowatukana Mange Kimambi!!

Wana-CCM kawatukana na anaendelea kuwatukana!!

CHADEMA wenyewe, kawatukana sana including akina Mbowe, Msigwa, na Josephat Jacob!!

Zitto keshamtukana mara kibao tu!!!
 
aliloshauri kigo2 kwa cdm huenda lilikuwa ktk moja ya mikakati yao cdm kwa baadae ,ikiwa ndo kete yao ya mwisho.na huenda ndo Mr hai kilicho mfikisha kwynye ugaidi suspect ,baada ya ya wadukuzi kudukua mikakati ya mr hai na wenzie.
 
aliloshauri kigo2 kwa cdm huenda lilikuwa ktk moja ya mikakati yao cdm kwa baadae ,ikiwa ndo kete yao ya mwisho.na huenda ndo Mr hai kilicho mfikisha kwynye ugaidi suspect ,baada ya ya wadukuzi kudukua mikakati ya mr hai na wenzie.
You might be right in the money🙂
 
Ina maana Lissu anamfahamu kigogo hadi aseme kwamba hana uzoefu wa kuongoza chama cha siasa? kwa maana hiyo kumbe kama serikali inamuhitaji kigogo basi lissu atakua msaada mkubwa kuisadia polisi kwa sababu anaonekana wazi kua anamfahamu vyema.
Hapa umetoa mvuke tu
 
Mama kawavuruga hawa wapinzani [emoji1787][emoji1787]

Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
Huu ndio uzuri wa CHADEMA hoja inajibiwa kwa hoja ingelikuwa CCM ungesikia anapingana na mwenyekiti yaani wanajibu hoja kwa marungu.

Askofu Gwajima anasema kamati imependekeza watu waaamue kuchanja au la na yeye anawashauri wachukue ushauri wa la.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huu ndio uzuri wa CHADEMA hoja inajibiwa kwa hoja ingelikuwa CCM ungesikia anapingana na mwenyekiti yaani wanajibu hoja kwa marungu.

Askofu Gwajima anasema kamati imependekeza watu waaamue kuchanja au la na yeye anawashauri wachukue ushauri wa la.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kigogo ni chadema?
 

Lissu Amjibu Kigogo, Asema Ushauri CDM Waache Siasa Za Mtandaoni Ni 'Poisoned Advice,' Amwambia Ushauri CDM Ianzishe Jeshi Ni Wa Kijinga, Abainisha Kuwa Kigogo Hana Uzoefu Wa Kuendesha Chama Chochote​

View attachment 1876547
  • Vitu ambacho Kigogo hajasema:
Hivi wewe Chahali una matatizo gani?
Achana na CHADEMA fanya maisha yako
 
Back
Top Bottom