Kuzuia misaada na mikopo na kutaka tuwekewe vikwazo kisha nchi ianguke,Elezea sehemu hata moja waliyotumia uwezo wao kuiangamiza nchi kwa kila mmoja wao
Aah kaka Mr. Heavy anaweza kweli kuwa kitu cha kijinga?Acha kumfananisha lisu na vitu vya kijinga mkuu.
Hapo ndio kwenye shida mkuu ila angalau Magufuli tumeshamuonaHayo ndiyo matamanio ya kila mtanzania; bahati mbaya sana common interest kwa wanasiasa wetu ni matumbo yao. Katika hilo hutamjua wa CCM wala wa upande mwingine.
Lissu aliwahi kuulizwa, kipindi akiwa mbunge, uhalali wa hizi posho lukuki wanazojilipa wabunge. Alijibu kuwa posho zilikuwa halali kwani hata kabla ya ubunge alikuwa anapata pesa nyingi kuliko anazopata bungeni.
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Hesabu za Zitto 2025 due or die....Mimi nilitarajia kuwa Zitto angegombea urais kupitia ACT. Mchuano ungekuwa mzuri sana huku Lissu kule Zitto hapa Baba Lao
Leo tumeanza na hao wawiliHoja kama hizi zina alama za vidole tokea chama fulani kisichoitakia mema nchi hii.
Mkuu kachukue hoja za kila mmoja utafute ile wanaita kapani upime uzito.
Ukimaliza upime na za yule jamaa anayesema: "Mungu hoyeeeee!!!!!!"
Hahahahaaaaa hatari na nusu hiiYule bwana kwanza ana sifa kuu moja wapo ya tamaa, hana tofauti sana na leprofeseriii haruna.
Tunaenda kwa awamu kakaMleta Mada acha kuruka kiunzi sasa hv ni Magu v Lissu
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
"Kama" bila shakazitto mwenyewe anatamani kuwa mama Lisu
Mzee Yuko vizuri na ni mtu wa takwimu ila yeye sio mada ya leoItapendeza zaidi ukimuongeza JPM kwenye mlinganisho huu. Je, anawazidi wote hao? Kwa umbali gani?
Awamu hii ni Lissu na MaguTunaenda kwa awamu kaka
Ukiacha makandokando mengine, Zitto kwenye hoja ni heavy weight! Anavutia, anajua kuchambua complex issues hasa za kiuchumi!
Lissu ni wakili mzuri Sana na he can make the best mwanasheria wa serikali!
Ukiwaweka jukwaa la siasa, Zitto is far better than Tundu!
Mkorofi weweAwamu hii ni Lissu na Magu
Mgombea wetu kazi zake zinamuuza
Hao wote hakuna kitu, bila ushabiki nasema katika upinzani hapa TZ Mbowe ndio wanasiasa mwenye uwezo wa kujenga hoja bila jazba na kwa utulivu wa hali juu.