Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #61
Huo ndio ukweli mweupeeeeUkiacha makandokando mengine, Zitto kwenye hoja ni heavy weight! Anavutia, anajua kuchambua complex issues hasa za kiuchumi!
Lissu ni wakili mzuri Sana na he can make the best mwanasheria wa serikali!
Ukiwaweka jukwaa la siasa, Zitto is far better than Tundu!
Anajenga hojaHahitaji kujenga hoja?
Cheamani ni mkomavu wa kisiasa
Tumalize kwanza kati ya Lissu na tafikiye ZittoKati ya Zitto na Magufuli nani nguli wa hoja?
Yeah, credit to Mbowe, at last. Ukomavu huo ndio unaomuwezesha kutambua na kupendekeza vipaji sahihi kwa nafasi maalum. Kama Lissu na Mwalimu kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye nafasi ya u-Rais/MR.
Mbona umemsahau Mwenyekiti wenu Jiwe?Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Mbwa kala mbwaWaungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Zamu zamuMbona umemsahau Mwenyekiti wenu Jiwe?
Tutakuwa hatujaheshimu mada mkuuTuanze na magufuli kwanza...
Lazaro jee?
Kwa mlivyo zidiwa na hoja mujarabu za Mh. Rais wa awamu ya 6, Mh. T. A. M. Lissu,sipati picha mkiwa vyumbani na waume zenu,ni full mizuka ya "Lissuuuuu" .Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Anajenga hoja
Maana yake kazidiwa na Lissu.
Man and a half. SawaKwa mlivyo zidiwa na hoja mujarabu za Mh. Rais wa awamu ya 6, Mh. T. A. M. Lissu,sipati picha mkiwa vyumbani na waume zenu,ni full mizuka ya "Lissuuuuu" .
Lissu ni ZZK wawili na nusu.
Lissu ni "jiwe" tani 10000.
Lissu ni mikungu ya ndizi mia tano ya muuza ndizi aliye na PhD.
Lissu ni chakubanga 800.
Lissu ni wanambogamboga 4.8 milioni.
💯%Seriously?
Baada ya Mwl Nyerere anafuatia ni Tundu Lissu......
Hakika kila nchi ungependa kua na Tundu Lissu wake
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Fact, regard on your mindWaungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Kwahiyo hoja sio jamho la msingi kiviiile?Watanzania wengi hawajali hoja za kisiasa,wanaongozwa na hisia zaidi.