Pre GE2025 Lissu: Wala rushwa au wapokea rushwa hawafai kua viongozi, wawe CCM au CHADEMA, watauza nchi

Pre GE2025 Lissu: Wala rushwa au wapokea rushwa hawafai kua viongozi, wawe CCM au CHADEMA, watauza nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Lissu ameendelea kurusha jiwe gizani.

Safari hii ameikemea rushwa wazi wazi hata iliyo ndani ya chama chake CHADEMA. Lissu hajapepesa macho wala kuangalia sura ya mramba asali.

Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema huu ni muendelezo wa kukosoa tuhuma za rushwa na wizi wa kura uliofanyika kwenye chama chake.

=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewataka Watanzania kutowakubali Viongozi wanaotoa au kupokea rushwa kwakuwa hawafai, bila kujali Watu hao ni wa Chama kipi au Dini ipi.

Akiongea akiwa Itigi Mkoani Singida leo June 17,2024, Lissu amesema “Watu wanaotoa rushwa na kupokea rushwa hawafai kwenye Uongozi, wawe CCM, wawe CHADEMA wawe Dini yoyote, hawafai kwasababu akipokea au kutoa rushwa atakuuza tu, msikubali Watu wasiokuwa wa haki”

"Watu wa haki, watu wasio kula rushwa, wasiotoa rushwa, wanaotoa rushwa hawafai, wawe CCM, Wawe CHADEMA, wawe dini yoyote, watoa rushwa na wapokea rushwa hawafai kwenye uongozi kwa sababu akitoa rushwa au akipokea rushwa atakuuza tu, atakuuza tu, usikubabali watu wasiokuwa wa haki, usikubali CCM."

Pia soma: Tundu Lissu: Rushwa za CCM kujaribu kuibomoa CHADEMA ni nyingi mno
 
Lissu ameendelea kurusha jiwe gizani.

Safari hii ameikemea rushwa wazi wazi hata iliyo ndani ya chama chake CHADEMA. Lissu hajapepesa macho wala kuangalia sura ya mramba asali.

Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema huu ni muendelezo wa kukosoa tuhuma za rushwa na wizi wa kura uliofanyika kwenye chama chake.

=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewataka Watanzania kutowakubali Viongozi wanaotoa au kupokea rushwa kwakuwa hawafai, bila kujali Watu hao ni wa Chama kipi au Dini ipi.

Akiongea akiwa Itigi Mkoani Singida leo June 17,2024, Lissu amesema “Watu wanaotoa rushwa na kupokea rushwa hawafai kwenye Uongozi, wawe CCM, wawe CHADEMA wawe Dini yoyote, hawafai kwasababu akipokea au kutoa rushwa atakuuza tu, msikubali Watu wasiokuwa wa haki”

"Watu wa haki, watu wasio kula rushwa, wasiotoa rushwa, wanaotoa rushwa hawafai, wawe CCM, Wawe CHADEMA, wawe dini yoyote, watoa rushwa na wapokea rushwa hawafai kwenye uongozi kwa sababu akitoa rushwa au akipokea rushwa atakuuza tu, atakuuza tu, usikubabali watu wasiokuwa wa haki, usikubali CCM."

Pia soma: Tundu Lissu: Rushwa za CCM kujaribu kuibomoa CHADEMA ni nyingi mno
ndio maana kulikua na kamgomo chadema ka kumchangia pesa alizoomba kwajili ya kununua gari la kifahari kwasababu ya story na porojo zake za kusadikika 🐒
 
Lissu ameendelea kurusha jiwe gizani.

Safari hii ameikemea rushwa wazi wazi hata iliyo ndani ya chama chake CHADEMA. Lissu hajapepesa macho wala kuangalia sura ya mramba asali.

Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema huu ni muendelezo wa kukosoa tuhuma za rushwa na wizi wa kura uliofanyika kwenye chama chake.

=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewataka Watanzania kutowakubali Viongozi wanaotoa au kupokea rushwa kwakuwa hawafai, bila kujali Watu hao ni wa Chama kipi au Dini ipi.

Akiongea akiwa Itigi Mkoani Singida leo June 17,2024, Lissu amesema “Watu wanaotoa rushwa na kupokea rushwa hawafai kwenye Uongozi, wawe CCM, wawe CHADEMA wawe Dini yoyote, hawafai kwasababu akipokea au kutoa rushwa atakuuza tu, msikubali Watu wasiokuwa wa haki”

"Watu wa haki, watu wasio kula rushwa, wasiotoa rushwa, wanaotoa rushwa hawafai, wawe CCM, Wawe CHADEMA, wawe dini yoyote, watoa rushwa na wapokea rushwa hawafai kwenye uongozi kwa sababu akitoa rushwa au akipokea rushwa atakuuza tu, atakuuza tu, usikubabali watu wasiokuwa wa haki, usikubali CCM."

Pia soma: Tundu Lissu: Rushwa za CCM kujaribu kuibomoa CHADEMA ni nyingi mno
Lakini mpina kasema kuwa wafanyabiashara walihonga Ikulu 6 bill kupata vibali vya sukari

No kweli tumeathirika na vitendo vya rushwa, vinavyofanywa na serekali hii sisi wanyonge tunanunua sukari kwa sh 6000 kwa kilo

Huo ufisadi wa cdm hatuuujui na Hauna madhara kwa nchi na wananchi

Kijana kazi ya uchawa kwako ni ngumu tafuta kazi nyingine
 
Back
Top Bottom