Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Yes,Kumbe. Hicho ndiyo kipimio chako?
Basi, kumbe ninayokupasha yanakuingia vizuri akilini mwako. Chukuwa muda kuyatafakari, kuna siku utaona ukweli wake ulipo.
hiyo ni sehemu na dalili ya mwanzo tu, ya kumbaini muungwana alie kata tamaa, kukosa hoja na uelekeo kama wewe ndugu yake penseli 🐒
