Pre GE2025 Lissu: Wala rushwa au wapokea rushwa hawafai kua viongozi, wawe CCM au CHADEMA, watauza nchi

Pre GE2025 Lissu: Wala rushwa au wapokea rushwa hawafai kua viongozi, wawe CCM au CHADEMA, watauza nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe. Hicho ndiyo kipimio chako?
Basi, kumbe ninayokupasha yanakuingia vizuri akilini mwako. Chukuwa muda kuyatafakari, kuna siku utaona ukweli wake ulipo.
Yes,

hiyo ni sehemu na dalili ya mwanzo tu, ya kumbaini muungwana alie kata tamaa, kukosa hoja na uelekeo kama wewe ndugu yake penseli 🐒
 
Yes,

hiyo ni sehemu na dalili ya mwanzo tu, ya kumbaini muungwana alie kata tamaa, kukosa hoja na uelekeo kama wewe ndugu yake penseli 🐒
"Muungwana = Lugha za staha", mkuu 'Tlaa' hivi kweli hujui kuwa watu wanaelewa hizi hadaa zenu?

Uungwana na staha, ndiyo ziwe ngao za kupumbaza watu wapuuze maovu mnayo wafanyia?

"...kukata tamaa..." msamiati huo uondoe kabisa inapohusu Tanzania. Hakuna kukata tamaa.
 
"Muungwana = Lugha za staha", mkuu 'Tlaa' hivi kweli hujui kuwa watu wanaelewa hizi hadaa zenu?

Uungwana na staha, ndiyo ziwe ngao za kupumbaza watu wapuuze maovu mnayo wafanyia?

"...kukata tamaa..." msamiati huo uondoe kabisa inapohusu Tanzania. Hakuna kukata tamaa.
nikushauri tu gentleman,
hayupo mtu mwenye hekima na busara zake akaambatana na kuungama na mtu anae jenga hoja na kutetea kila hoja yake kwa mihemko, ghadhabu na matusi hata kama anachotetea ni halisi, kweli na kina maana. hayupo binadamu mwenye hakina zake anaweza poteza muda na bandit wa aina hiyo 🐒

hayo mengine sijui misamiati na nahau ni vizuri kuyatafutia muda na platform ingine....

bado nasisitiza,
ukiona mtu anaacha kujadili hoja anakibilia kuhitimisha hoja kwa matusi na matukano, ni dhahiri hana tena utetezi tena wa hoja zake, na ukomo wa fikra zake umefikia kiwango cha mwisho kabisa na hapo jirani kama ndio mko physically anaweza chukua mbao au kiti ukiibua hoja nyingine dhidi ya hoja yake 🐒

dawa ya watu wa aina hii ni kuwapuuza 🐒
 
Lissu kwenye kusimamia ukweli namkubali
 
jambo lingine muhimu,

huna haja ya kubabaika wala kung"ang"ana na ushauri, hoja, maoni au mtazamo amabo huna haja nao....

ni njia muhimu sana ya kutumia muda wako vizuri kujifunza na kuongeza uelewa na ufahamu wa mambo mengine mengi, kadiri ya utashi na mapenzi yako kwayo....

ndio maana usipokua na detail infomations hata kwa mada unazo anzisha mwenyewe, ukianza tu kuhitumisha reply za wadau kwa matusi na mihemko, wataalamu, unanjua kabisa kazi ya gentleman imeishia hapo :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:
Wewe kinacho endelea kukurudisha hapa ni kitu gani. Kwa nini unang'ang'a'nia kunipa ushauri nisio uhitaji?

Ni psychology ndogo sana mnayoitumia katika njia zenu, kujifanya
kuwa na upole katika uandishi, kama unavyofanya hapa, huku huko ndani mkiwaka moto kwa maumivu.
Sisi wengine tunakupa hapo hapo, u-deal na maumivu mwenyewe, badala ya kuyaingiza akilini mwetu yaendelee kutusumbua.
Two diametrically opposite positions.
 
Wewe kinacho endelea kukurudisha hapa ni kitu gani. Kwa nini unang'ang'a'nia kunipa ushauri nisio uhitaji?

Ni psychology ndogo sana mnayoitumia katika njia zenu, kujifanya
kuwa na upole katika uandishi, kama unavyofanya hapa, huku huko ndani mkiwaka moto kwa maumivu.
Sisi wengine tunakupa hapo hapo, u-deal na maumivu mwenyewe, badala ya kuyaingiza akilini mwetu yaendelee kutusumbua.
Two diametrically opposite positions.
ni mpole sana mimiee :pedroP:

sina mihemko kabisaee, right?:pedroP:

ni kwa Neema na Baraka za Mungu tu, niko hivi nilivyo gentleman:BASED:
 
ni mpole sana mimiee :pedroP:

sina mihemko kabisaee, right?:pedroP:

ni kwa Neema na Baraka za Mungu tu, niko hivi nilivyo gentleman:BASED:
Hatari sana. Huko ndani unaungua kwa moto mkali.
Chukua tahadhari mapema. Jifunze njia za kuondoa hiyo 'stress' unayoiziba ndani kwa ndani, vinginevyo, hicho ki-moyo (heart) unakiumiza kila siku.

Hapana: Rudi nyuma kidogo kwenye ukurasa huu huu au uliopita. Umejionyesha waziwazi jinsi unavyo hemuka.
Soma tena mandishi hayo.
 
Kwani yeye ni msafi?
Hivi amesahau alivyotusaliti kundi la wapinga ujio wa Lowassa baada ya kukatiwa cha juu na huyo huyo anayemwita mla rushwa leo? Alitusaliti wazi wazi na kuhamia kundi la mbowe. Kudadeki eti leo anajifanya mtakatifu na kuisema rushwa; unafiki mtupu.
Pesa anazopokea kutoka kwa wazungu anadhani ni nini kama siyo rushwa?
Kwali chizi ni chizi tu!
 
Kwani yeye ni msafi?
Hivi amesahau alivyotusaliti kundi la wapinga ujio wa Lowassa baada ya kukatiwa cha juu na huyo huyo anayemwita mla rushwa leo? Alitusaliti wazi wazi na kuhamia kundi la mbowe. Kudadeki eti leo anajifanya mtakatifu na kuisema rushwa; unafiki mtupu.
Pesa anazopokea kutoka kwa wazungu anadhani ni nini kama siyo rushwa?
Kwali chizi ni chizi tu!
Kumbe Lissu nae alichota mapesa ya Lowassa, kweli usiamini mwanasiasa yoyote kasoro magufuli
 
Hatari sana. Huko ndani unaungua kwa moto mkali.
Chukua tahadhari mapema. Jifunze njia za kuondoa hiyo 'stress' unayoiziba ndani kwa ndani, vinginevyo, hicho ki-moyo (heart) unakiumiza kila siku.

Hapana: Rudi nyuma kidogo kwenye ukurasa huu huu au uliopita. Umejionyesha waziwazi jinsi unavyo hemuka.
Soma tena mandishi hayo.
Kweli
 
Back
Top Bottom