Safari ya ukombozi bado ndefu sana kwa mawazo haya.Huo ufisadi wa cdm hatuuujui na Hauna madhara kwa nchi na wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari ya ukombozi bado ndefu sana kwa mawazo haya.Huo ufisadi wa cdm hatuuujui na Hauna madhara kwa nchi na wananchi
Ataachaje mwenzio unataka afe njaa!? 😂 yupo kazini hapoLakini mpina kasema kuwa wafanyabiashara walihonga Ikulu 6 bill kupata vibali vya sukari
No kweli tumeathirika na vitendo vya rushwa, vinavyofanywa na serekali hii sisi wanyonge tunanunua sukari kwa sh 6000 kwa kilo
Huo ufisadi wa cdm hatuuujui na Hauna madhara kwa nchi na wananchi
Kijana kazi ya uchawa kwako ni ngumu tafuta kazi nyingine
Jamaa anaongea fact snNzuri hii,
Kuna watu wakidhani WAPINZANI wote ni WATAKATIFU.
Lissu tupo pamoja
Ufisadi upingwe na kila mtuLakini mpina kasema kuwa wafanyabiashara walihonga Ikulu 6 bill kupata vibali vya sukari
No kweli tumeathirika na vitendo vya rushwa, vinavyofanywa na serekali hii sisi wanyonge tunanunua sukari kwa sh 6000 kwa kilo
Huo ufisadi wa cdm hatuuujui na Hauna madhara kwa nchi na wananchi
Kijana kazi ya uchawa kwako ni ngumu tafuta kazi nyingine
Dongo kwa mazaHili ni dongo kwa Bashe na Mwigulu.
Lissu ndio kasema kuna rushwa ya kutisha ndani ya Chadema, mimi nausikaje kwenye ujambazi wa Chadema mkuu?Lakini mpina kasema kuwa wafanyabiashara walihonga Ikulu 6 bill kupata vibali vya sukari
No kweli tumeathirika na vitendo vya rushwa, vinavyofanywa na serekali hii sisi wanyonge tunanunua sukari kwa sh 6000 kwa kilo
Huo ufisadi wa cdm hatuuujui na Hauna madhara kwa nchi na wananchi
Kijana kazi ya uchawa kwako ni ngumu tafuta kazi nyingine
Sawa sisterMaza ❌
Mbowe ✔️
kama kinyonga eti?🤣Ta
Tatizo lako, unabadilika badilika sana, tena bila kutegemea!
Huyu Mwamba Mungu amuweke sanaLissu ameendelea kurusha jiwe gizani.
Safari hii ameikemea rushwa wazi wazi hata iliyo ndani ya chama chake CHADEMA. Lissu hajapepesa macho wala kuangalia sura ya mramba asali.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema huu ni muendelezo wa kukosoa tuhuma za rushwa na wizi wa kura uliofanyika kwenye chama chake.
=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewataka Watanzania kutowakubali Viongozi wanaotoa au kupokea rushwa kwakuwa hawafai, bila kujali Watu hao ni wa Chama kipi au Dini ipi.
Akiongea akiwa Itigi Mkoani Singida leo June 17,2024, Lissu amesema “Watu wanaotoa rushwa na kupokea rushwa hawafai kwenye Uongozi, wawe CCM, wawe CHADEMA wawe Dini yoyote, hawafai kwasababu akipokea au kutoa rushwa atakuuza tu, msikubali Watu wasiokuwa wa haki”
"Watu wa haki, watu wasio kula rushwa, wasiotoa rushwa, wanaotoa rushwa hawafai, wawe CCM, Wawe CHADEMA, wawe dini yoyote, watoa rushwa na wapokea rushwa hawafai kwenye uongozi kwa sababu akitoa rushwa au akipokea rushwa atakuuza tu, atakuuza tu, usikubabali watu wasiokuwa wa haki, usikubali CCM."
Pia soma: Tundu Lissu: Rushwa za CCM kujaribu kuibomoa CHADEMA ni nyingi mno
Hili liko wazi....kwamba Chadema hawawezi kule Wala Rushwa.....sasa unataka waseme nini ambacho huelewiAsisahau pia kuueleza umma nini CHADEMA watafanya wakipewa mamlaka mbali na kutuonyesha maovu ya CCM pekee.
alienda kulamba asali mbichi ya nyuki wadogoKuna siku Mbowe itabidi afafanue nini kilimkimbiza ikulu baada ya kutolewa jela, tena bila kushauriana na viongozi wa chama chake.
Umejuaje "uchungu na kuumizwa". Unacho kifaa cha kuyapima haya?kama kinyonga eti?🤣
halafu wew unaskia uchungu na kuumizwa kwa uhuru na haki ya maoni ya engine 🐒
SAWA Kabisa, lakini ajenda ya kuiondoa CCM kwa maovu inayoyatendea taifa letu ni ajenda tosha kabisa, hata bila kuingia ndani kuhusu wanayotarajia kuyafanya CHADEMA.Asisahau pia kuueleza umma nini CHADEMA watafanya wakipewa mamlaka mbali na kutuonyesha maovu ya CCM pekee.
unavyo tukana tu, inaonyesha una maumivi makali mno moyoni na akilini, ukiona mtu ana maoni na mtazamo tofauti na yako 🐒Umejuaje "uchungu na kuumizwa". Unacho kifaa cha kuyapima haya?
Lisu mwenyewe uchaguzi uliopita kuna maeneo aligawa Sana rushwa Kwa wapiga kuraLissu hapendi sana Mbowe anavyobeba wala rushwa chadema, Lissu ndiye Mwenyekiti atakaeivusha CHADEMA.
Kumbe. Hicho ndiyo kipimio chako?unavyo tukana tu, inaonyesha una maumivi makali mno moyoni na akilini, ukiona mtu ana maoni na mtazamo tofauti na yako 🐒