Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwa Mbowe obvious yangekuwa maridhiano fake.Wakuu,
Lissu amesema akiwa Ubelgiji hawa ni watu wa kwanza kabisa kuonesha uongo wa maridhiano na waliupinga kwa nguvu zote, nao ni Msigwa, Wenje, Lema, na Gaston.
Kipinga kwao maridhiano hayo kumefanya wote wameshughulikiwa, Wenje amepiga uturn kubwa baada ya kuona wenzake wanashughulikiwa, Msigwa kaondoka na wengine wameacha kugombea.
Sasa nami nimeanza kushughulikiwa kwakuwa nilipinga maridhiano haya baada ya kuona tunadanganywa na nikatoka hadharani kusema maridhiano hayo hayapo.
=====
"Waliopinga huu uongo wa maridhiano kwenye kamati kuu ni Peter Msigwa, John Heche, Godbless Lema, Gaston Garubindi, Ezekia Wenje kabla hajapiga U-Turn baada yakuona wenzake wanashughulikiwa, hao ndo walikua mashujaa waku expose huu uongo wa maridhiano, mimi nilikuja mwishoni.! John Heche alikua mjumbe wa kamati ya maridhiano and he always came out and said Hapana, alinuniwa sana! Godbless Lema akiwa uhamishoni Canada alikataa." Mhe Tundu Lissu akiweka wazi watu waliopinga uongo wa maridhiano kwanzia Mwanzo!
Maridhiano yasiyozingatia Katiba iliyopo wala ijayo ni marudhiano hewa.