Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Lissu ameyasema hayo kwenye kipindi cha Clouds 360 alipoulizwa mpango wa kulianzisha kuhusu kesi yake maana sasa yuko nchini ambapo alisema;
Jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kuchuguza, wenye majalada kuhusu tukio hilo na wenye wataalamu wanaojua silaha illiyotumika hivyo wao ndio wa kufufua kesi hiyo.
Akiongeza kuwa walisema wanasubiri arudi, sasa amerudi anawasubiri wamuite na kwamba asipoitwa hawezi kulazimisha kama hawataki, japo anajua kama hawataki kwaiyo hata wasipomuita hatoshangaa kwasababu wanajua hasa kilichotokea, nani aliyefanya, alifanya kwa nini na nani aliyetoa amri hiyo.
Jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kuchuguza, wenye majalada kuhusu tukio hilo na wenye wataalamu wanaojua silaha illiyotumika hivyo wao ndio wa kufufua kesi hiyo.
Akiongeza kuwa walisema wanasubiri arudi, sasa amerudi anawasubiri wamuite na kwamba asipoitwa hawezi kulazimisha kama hawataki, japo anajua kama hawataki kwaiyo hata wasipomuita hatoshangaa kwasababu wanajua hasa kilichotokea, nani aliyefanya, alifanya kwa nini na nani aliyetoa amri hiyo.