Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,585
- 1,771
mkuu mbona povu jingi...kwanini unabishana na ukweli? computer science ni computer science tu! huwezi fananisha na biashara kwani hiyoni science na sio biashara! labda kama mnafanya kifishara zaidi mnaamua ulazimisha biashara kuwa science kwakuchakachua!
naukweliutabaki pale pale IFM ina mchango sana katika maendeleo ya nchi lakini hii ni taasisi kama taasisi nyingine mfano taasisi ya kuzuia rushwa,taasisi ya elimu tanzania na nyinginezo..
sina muda wa kubishana na wewe kaka jua ujuavyo na mimi nijue nijuavyo zaidi ya hayo sina mengine zaidi.
