By the way!, .....the Dataz.....ni kwamba wakulu wate wapo NY, kuanzia Muungwana, Sumaye, Salim, Membe, Ngasongwa, Jaka Mwambi, Sophia Simba, Mramba, Mwandosya, Mama Nyoni, Sefue, Daraja!
Msafara karibu watu 120, hivi anayelipia hiyo gharama ya usafiri wao ni nani? Mwenye .....dataz...by the time wanarudi bongo serikali itakuwa imetumia hela ngapi za walipa kodi?
I mean wafanyakazi wa serikali hawapati mishahara, hawa jamaa wanasafiri tu, yaani sasa imekuwa mkomoeni tu, no wonder wanauana kwenye uchaguzi hata wa NEC,
Mkuu Dr. Slaa na Zitto, hebu lichungulieni na hili la safari nalo, vipi maana walalahoi sasa tunawaaminia!