Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe uwakili ni mali...Duuh!!
nimepitia kwa kina haya madai, na nimefikia pahala kumbe yale aliokuwa akiyaeleza ndugu yetu MCHAMBUZI kuhusu usafi wa LOwassa una ukweli fulani, maana hata Dr Slaa kashindwa kumuorodhesha ktk list yake ambayo bado inahitaji kuthibitishwa.
Kwenye hili Mzee FM Es nimekukubali ila zile za udaku na spinning hapana . Hata kama maisha yako ni siasa maana umezaliwa kwenye siasa , tufike mahali tukubaliane na mambo ya Kitaifa pale yanapotukuta kama sasa. Nimekukubali kwa hili maana ni ukomavu.