Hongera sana Dr Slaa kwa kuwataja, nadhani hii imesaidia sana ujenzi wa barabara vijijini, kupeleka maji, umeme na huduma muhimu. Hii ya kutaja mafisadi ndio iwe sera ya CHADEMA inasaidia sana.
Viongozi wote wa Chadema wanajua kuwa list anayo Zitto wao wanataka wapewe kina Lema.Poleni sana sasa mnapigana ndani na nje. Yaan mngependa kusimamia hoja ya ufisadi lakini bahati mbaya listi anayo Zitto sasa inabidi mu discredit hiyo list. Kidumu chama cha mapinduzi.
Poleni sana sasa mnapigana ndani na nje. Yaan mngependa kusimamia hoja ya ufisadi lakini bahati mbaya listi anayo Zitto sasa inabidi mu discredit hiyo list. Kidumu chama cha mapinduzi.
Viongozi wote wa Chadema wanajua kuwa list anayo Zitto wao wanataka wapewe kina Lema.
Yaani Zitto kapambana peke yake kutafuta hiyo list kirahisi tu ampe Dr.Slaa au Mbowe.
Chadema wana wanajitapa kuwa chama makini wameshindwa kweli kuitafuta hiyo list.
Kwa mujibu wa Dr.Slaa mpaka sasa hivi Chadema hawana sera wala ilani ya uchaguzi refer majibu aliyotoa alivyokimbia mdahalo, sasa wamenyofoa wapi hizo sera?Bila shaka huelewi hata maana ya ulichoandika. Kupeleka maji na Umeme ni wajibu wa kimkataba wala sio hisani. Subiri muda unakaribia mtoe hesabu za ulaghai mlizofanya na ahadi lukuki zisizotekelezeka. Mnabaki kunyofoa vipengele vya sera za CDM na kuzitekeleza mkidhani wananchi bado wamelala.
Pro-Chadema leo wapo upande wa CCM wakipambana na Zitto.Kwahiyo kimsingi mnakubaliana na hiyo List sio?
Kuna haja gani ya kuendelea kuongoza?
Kigumu chama cha Mapuuzi...
hahahhaha wanakumbushia kwamba nao walijikongojaZitto amesema atataja majina ya watu wenye akaunti Uswis, sasa ajenda ya pale Ufipa leo ni kutafuta kila linalowezekana kuonesha kuwa hata babu yao aliwahi kuwika hapo zamani.
Yaan tokea wasikie Zitto atasimama pale Mwembeyanga wanaweweseka kweli, mara watatoa mkanda wa bomu la Arusha mara hili ili mradi tu kutaka kumficha Zitto.
Jamhuri ya Kongo looooo!mwisho Wa dunia au hofu na woga wangu .kunguru mwoga.........!ishi utunze uzao wako ndugu.JMK ni Jamuhuri ya Muungano wa Kongo.
Huoni hiyo inawafanya kuwa mnapambana na Zitto badala ya CCM? Miezi mitatu kabla ya uchaguzi nyie mpo tu na Zitto ambaye hana hata kiti cha ubunge badala ya kupambana na CCM yenye viti 200 na usheeKigumuuuuu!
Sasa unakiri kuwa Zitto a.k.a Yuda, ni mali yenu na alivyo navyo
mnavijua kwakuwa mmemgawia.
hii ndio list of shame....lowassa yupo na jamaa mmoja anaitwa kikweli
Zitto hana list yoyote wala account labda ana list waliofeli kujiunga naye wakati wanahamasa na mahaba kama wewe Ritz.Unajua hii list ya majina ya watu wenye akaunti Uswisi Dr.Slaa alikuwa anataka apewe yeye Zitto akakataa, bifu likaanzia hapo.
Viongozi wote wa Chadema wanajua kuwa list anayo Zitto wao wanataka wapewe kina Lema.
Yaani Zitto kapambana peke yake kutafuta hiyo list kirahisi tu ampe Dr.Slaa au Mbowe.
Chadema wana wanajitapa kuwa chama makini wameshindwa kweli kuitafuta hiyo list.