List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

Wazushi kamwe hawaachi asili yao ya uzushi.


ZITTO KUITWA NA KAMATI MAALUMU YA UCHUNGUZI WA MABILIONI YA NJE.
[TABLE="class: cms_table_cms_table_cms_table"]
[TR]
[TD]TAREHE [/TD]
[TD]KAMATI [/TD]
[TD]MAELEZO YA ZITTO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]28/02/2013[/TD]
[TD]Aliitwa na kamati ya kufuatilia fedha za Uswiss katika ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali Dodoma.[/TD]
[TD]Alitoa taarifa kuwa anazo nyaraka zote zenye taarifa za walioficha fedha Uswis kwa majina na namba za account zao.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]Pia alitoa masharti ya yeye kutoa ushahidi huo mbele ya kamati.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]1. Kwanza asibugudhiwena mtu kwani taarifa alizonazo ni za siri.
2. Ahakikishiwe usalama wake kwa kuwa taarifa hizo ni nyeti sana.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]20/03/2013[/TD]
[TD]Kamati ilimwita Dar Es Salaam[/TD]
[TD]Alitoa udhuru kuwa yupo jeshini hivyo hawezi kufika mbele ya kamati kwa wakati huo.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]22/03/2013[/TD]
[TD]Kamati ilimfuata katika kambi ya jeshi Tanga kwa mahojiano nae.[/TD]
[TD]Katika majadiliano hakuweza kutoa majibu na kutaka wamwache hadi atakapo maliza mafunzo ya jeshi na kurejea ndipo atatoa huo ushahidi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12/04/2013[/TD]
[TD]Kamati ilimwita tena Dodoma kwa mahojiano.[/TD]
[TD]Alitoa udhuru kwa kusema anasafari ya kwenda Afrika Kusini.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14/05/2013[/TD]
[TD]Kamati ilimwita tena Dodoma kwa mahojiano nae kupta ushahidi na majina aliyodai anayo.[/TD]
[TD]Hakufika mbele ya kamati na akasema,
1. Ana hoja yenye maslahi kwa taifa.
2. Kamati iliwasiliana naye akadai anajiandaa na mdahalo wa kigoda cha mwalimu Dar Es Salaam.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18/06/2013[/TD]
[TD]Kamati ilimwita tena bila kuchoka[/TD]
[TD]Alitoa udhuru kuwa anafanya maandalizi ya timu ya Taifa kwenda AFCON kwa kuwa yeye yupo katika kamati ya maandalizi ya timu ya Taifa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Kamati baada ya usumbufu wote huo ikaona ni vema kutumia njia mbadala ya kupata taarifa alizonazo ili kuiwezesha serikali kuchukua hatua.[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Kamati ilimpa Mh Zitto Zuberi Kabwe hati ya kuitwa mbele ya kamati.[/TD]
[TD]Zitto kwa kuapa mbele ya kamati alisema,
Sina jina lelote wala akaunti ya mtu yeyote anaemiliki fedha Uswiss.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12/12/2013[/TD]
[TD][/TD]
[TD]Zitto katika mchango wake alidai kwa nini hoja yake haisikilizwi na serikali ipo kimya huku yeye nayo majina[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Viongozi wote wa Chadema wanajua kuwa list anayo Zitto wao wanataka wapewe kina Lema.

Yaani Zitto kapambana peke yake kutafuta hiyo list kirahisi tu ampe Dr.Slaa au Mbowe.

Chadema wana wanajitapa kuwa chama makini wameshindwa kweli kuitafuta hiyo list.
 
Hebu twambie kabla ya kutajwa hao mafisadi mlikuwa mmejenga barabara zipi vijijini, na maji na umeme mlipeleka katika vijiji vingapi nchini? Acha kuizorotesha akili yako au labda imeshazorota na sasa imekuwa ya kitaahira.


Hongera sana Dr Slaa kwa kuwataja, nadhani hii imesaidia sana ujenzi wa barabara vijijini, kupeleka maji, umeme na huduma muhimu. Hii ya kutaja mafisadi ndio iwe sera ya CHADEMA inasaidia sana.
 
Hebu tuwekee ushahidi wa kuthibitisha hili kwa maandishi badala ya kuendeleza uzushi wako mzushi wewe. Hata huyo msaliti wenu hajawahi kutoa kauli ya kuonyesha haya uliyazusha hapa.

Unajua hii list ya majina ya watu wenye akaunti Uswisi Dr.Slaa alikuwa anataka apewe yeye Zitto akakataa, bifu likaanzia hapo.
 
Inaonyesha jinsi akili yako ilivyoathirika kwa kuamua kuwa kikaragosi cha mafisadi. Unasikitisha sana kuropoka kama kasuku bila hata ya kujua maana ya yale unayoyaropoka. Miafrika ndivyo ilivyo!

Yaan tokea wasikie Zitto atasimama pale Mwembeyanga wanaweweseka kweli, mara watatoa mkanda wa bomu la Arusha mara hili ili mradi tu kutaka kumficha Zitto.
 
Hongera sana Dr Slaa kwa kuwataja, nadhani hii imesaidia sana ujenzi wa barabara vijijini, kupeleka maji, umeme na huduma muhimu. Hii ya kutaja mafisadi ndio iwe sera ya CHADEMA inasaidia sana.

Dah, asante Mtanzania mwenye uraia pacha.

Vv
 
Inaonyesha jinsi akili yako ilivyoathirika kwa kuamua kuwa kikaragosi cha mafisadi. Unasikitisha sana kuropoka kama kasuku bila hata ya kujua maana ya yale unayoyaropoka. Miafrika ndivyo ilivyo!
Mmepanic kweli, na bora mzoee tu maana listi Zitto ataisoma hata mkifanya nini.
 
Zitto sio mwanasiasa bali ni political entreprenuer.
Zito alikuwa anajibizana na marafiki zake serikalini na bungeni ili kutuzubaisha tuamini ni mpinzani wa kweli kumbe ni mwenzao. Ndiyo maana hana hata kesi moja mahakamani wala hajapigwa bomu la machozi kama viongozi wote wa kweli wa upinani.Tunwogope sana!
 
Aliopanic ni bibi yenu kiroboto aliyeamua kususia bunge baada ya uhuni wenu kuanikwa hadharani, huyo msaliti kishapoteza maana sasa anabaki kuhangaika tu kurudisha umaarufu ambao ulishapotea siku nyingi hadi kufikia kuzomewa na Watanzania. Akili yako ndipo ilipoishia hapo maana huna uwezo wa kujenga hoja kwa akili kujaa kamasi.

Mmepanic kweli, na bora mzoee tu maana listi Zitto ataisoma hata mkifanya nini.
 
VUTA-NKUVUTE


mkuu WANGU VUTA,NKUVUTE NAMBA 11 unasema ni nani vile,HIYO LIST UMEITOA WAPI? NA LINI MSAADA MKUU WANGU TUFUNGUKE MACHO
 
Last edited by a moderator:
Dr. W.P. Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA, mwaka 2007 aliwataja wafuatao kuwa ni Mafisadi wa Tanzania. Ilikuwa kwenye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke-Dar es Salaam. Hawa ndio laana ya Tanzania na ndio wanaokula nchi. Dr. Slaa alitaja majina na muktasari wa ufisadi wa kila mmoja. Baada ya kutajwa kwenye Orodha hiyo ya Mafisadi, kila mmoja alitishia kumburuza Mahakamani Dr. Slaa kwa kumchafua.

Hadi leo tarehe 2/7/2015, hakuna hata mmoja aliyethubutu kwenda Mahakamani. Katika Orodha hiyo ya aibu, yupo marehemu mmoja;wapo walio na kesi mahakamani;yupo Rais Mstaafu; wako 'Mapacha Watatu' wa CCM waliotishiwa kuvuliwa gamba; yupo msaka Urais na hata Rais. Majina yao tu yanasadifu uwepo wa hapo.

Watajwa hawa:

1. Dr. Daudi T.S. Balali

2. Gray Mgonja

3. Basil P. Mramba

4. Patrick W.R. Rutabanzibwa

5. Nimrod E. Mkono

6. Benjamin W. Mkapa

7. Andrew J. Chenge

8. Edward N. Lowassa

9. Rostam Aziz

10.Nazir Karamagi

11. JMK

Ni walewale wanatamani kilekile!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Sio hao tu 70% ya wanachama wa ccm ni mafisadi haukuna msafi
 
Back
Top Bottom