Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,505
Hongera sana Dr Slaa kwa kuwataja, nadhani hii imesaidia sana ujenzi wa barabara vijijini, kupeleka maji, umeme na huduma muhimu. Hii ya kutaja mafisadi ndio iwe sera ya CHADEMA inasaidia sana.
Bila shaka huelewi hata maana ya ulichoandika. Kupeleka maji na Umeme ni wajibu wa kimkataba wala sio hisani. Subiri muda unakaribia mtoe hesabu za ulaghai mlizofanya na ahadi lukuki zisizotekelezeka. Mnabaki kunyofoa vipengele vya sera za CDM na kuzitekeleza mkidhani wananchi bado wamelala.