Je ni sahihi kusema kwamba sera ya chadema na upinzani kwa ujumla ni kutoboa siri za rushwa as a way to get ikulu in 2015?
Jibu ni kwamba SIO SAHIHI.I told you earlier,jaribu kutafakari beyond political interests.Hivi kwa mfano,kwa kuwaumbua majambazi hawa,wapinzani wanafanikiwa kutengeneza mazingira ya kuingia Ikulu,and at the same time tunafanikiwa kukomesha wizi huu wa mchana mchana.Wouldnt that be good for you,Mtanzania uliyeleweshwa na uonevu?
Kina kitine, warioba, mrema, mengi, mtikila mbona walishafanya haya na wamewasaidia nini maskini wa tanzania in the process?
Pengine ungekuwa umewahi kusoma historia za mapambano dhid ya udhalimu ungeweza kufahamu kuwa process ya namna hiyo ni ngumu na ndefu.Waliyosema akina Kitine,Mengi,Warioba,etc hayawezi kuwa na faida kwa watu wenye imani haba kama wewe ambao pamoja na kunyonywa,kudhulumiwa,kuteswa na kunyanyaswa bado mnaamini kuwa kuna njia mbadala ya kuwaumbua wanaotuumiza badala ya kuwataja hadharani kama walivyofanya akina Slaa
kwa watu wenye upeo mdogo wa kuelewa mambo watajibu kwamba kuna system fulani imewazuia. Slaa atathubutu vipi kusema nilizibwa mdomo? Unazibwa mdomo kama unapayuka, lakini kama una operate in the context of sera na unajenga hoja ju ya hoja na kuja tolea mifano ya rushwa kama by the way tu, hutazibwa mdomo sababu hawatakuwa na jinsi.
Na kwa wenye upeo dogo kama wewe sio rahisi kujua au kukubali kwamba kuna "nguvu za giza" (vyombo vya dola) vinavyohakikisha kuwa kila anayetamka kwamba kiongozi flani mwizi,au mbadhirifu,basi anadhibitwa haraka iwezekanavyo.Sijui ulikuwa na umri gani wakati yanamfika yalomfika Sokoine,au Stan Katabalo,au Kolimba....pengine tatizo lako sio upeo mdogo bali udogo wa uwezo wa upeo wako
Siasa za slaa na kabwe ni siasa za kitoto za kuchongea ccm kwa wananchi
. Hebu tupe darasa kidogo.Siasa za kikubwa ni kuchongea wapi?Mkapa achongewe kwa mkewe?Lowassa achongewe kwa Kikwete?Karamagi achongewe kwa Rostam Aziz?Come on,man.You need to come up with at least a grown-up assessment
They need to grow up kisiasa na kuja na mbinu ambayo hayo masuala ya rushwa yataingizwa kwenye something more comprehensive. Sio kuwaadaa tu wananchi huko mikoani na udaku.
Nyani haoni kundule.You are the one who critically needs to grow up,and see what's actually happening in the real world and not in your fantasies.Hakuna anayekuhadaa bali unajihadaa mwenyewe kwa kudhani kuwa wanachoongea wazalendo hawa ni hadaa ilhali u mmoja wa mamilioni ya walalachali wanaokandamizwa kila kukicha pasipo dalili ya wakandamizaji hao kupatwa na huruma.Sikulaumu sana kwani natambua kuwa katika jamii kuna wale ambao kwao pain is pleasure.