Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Waliowasikia wanasema Waliotajwa ni Balali, andrew chenge, basil mramba, meghji,mgonja, rutabanzibwa, mkono,lowassa, karamagi,rostam,mkapa na mkewe na jk.
na wengine wadogo wadogo walikuwa wakitajwa mara kwa mara. Hakuna gazeti ambalo limeandika hayo majina. To me huko ni kuchafuana tu. Uzushi mtupu!!!!
Nadhani Kilitime, unarudi palepale, unachojaribu kukisema ndicho tujaribu kukijadili. Slaa ameleta kwetu, na kuleta kwetu kuna maana ya kuomba mob shirikishi. kwa maana nyingine anategemea wananchi watamuunga mkono vipi katika vita hii. sasa kama watu watasema wapelekwe mahakamani kwa sababu ushahidi upo, then humu kuna Wanasheria na wasomi mbali mbali wanaweza kutusaidia kwa hilo. Slaa anahitaji maoni ya wengi ili akishinda iwe ni ushindi wa wananchi na si wa Slaa na Kabwe peke yake.
But bado napinga suala hili kuliita la udaku.
Binafsi naamini mh. aliowataja hao waheshimiwa wenzake ana access na wanasheria wa nchi yetu... na anajua wahalifu wanapelekwa wapi! sio Temeke Mwembe Yanga!
Tunaomba kama tuhuma hizi ziko wazi tunaomba awasaidie vyombo/mhimili wa tatu (judiciary) ufanye kazi yake!!! kufanya kwa namna hii aliyofanya ni kukwepa majukumu... siku hizi hili ni kama kamziki au noisy ndogo kwa wala rushwa na baada ya muda wanaendelea, sheria ifuate mkondo wake, then itaoneka kuna useriouseness.. na tutaona Dr. Slaa ni Zaidi ya Mrema,,, nisingependa Dr. Slaa nimlinganishe na Mrema tafadhali
Narudia tena, mbona Mtikila ameihenyesha serikali na kushinda kesi nyingi,,, kwa nini hawa waheshimiwa wasifanye hivyo kwa uzalendo tu! ili kuisaidia nchi yetu!!! wahalifu wanapelekwa mahakamani...
Wahalifu/watuhumiwa wengine hawapelekwi Temeke mwembe yanga kwa nini hawa wa rushwa tena kubwa wapelekwe huko!!! wakati access ya wanasheria ipo, watu makini wapo, chama makini kipo?
Binafsi Narudia kusema hatua ya Dr. Slaa ni ile ile ya miaka 47, tunaomba kama anaushahidi ambao wananchi hawawezi jua zaidi ya yeye mwenye makabrasha yote apeleke mahakamani zaidi ya hapo... yeye ndiye anatufanya tumheshimu kwamba afanya jambo jipya kumbe hakuna ni katika kutudanganya sisi watanzania tusiosoma ambao sisi tunadanganywa kirahisi....
Unatumia saana wingi kwenye hii post.... unawakilisha kina nani? mbona ni wewe peke yako ndio unasubiri kuona Kikwete na Karamagi wakionyeshwa na TVT, au ITV kwenye TV wakipokea rushwa?
Mwafrika wa kike
Your post has been ignored by kilitime!
Thanks
Jibu ni kwamba SIO SAHIHI.I told you earlier,jaribu kutafakari beyond political interests.Hivi kwa mfano,kwa kuwaumbua majambazi hawa,wapinzani wanafanikiwa kutengeneza mazingira ya kuingia Ikulu,and at the same time tunafanikiwa kukomesha wizi huu wa mchana mchana.Wouldnt that be good for you,Mtanzania uliyeleweshwa na uonevu?Je ni sahihi kusema kwamba sera ya chadema na upinzani kwa ujumla ni kutoboa siri za rushwa as a way to get ikulu in 2015?Pengine ungekuwa umewahi kusoma historia za mapambano dhid ya udhalimu ungeweza kufahamu kuwa process ya namna hiyo ni ngumu na ndefu.Waliyosema akina Kitine,Mengi,Warioba,etc hayawezi kuwa na faida kwa watu wenye imani haba kama wewe ambao pamoja na kunyonywa,kudhulumiwa,kuteswa na kunyanyaswa bado mnaamini kuwa kuna njia mbadala ya kuwaumbua wanaotuumiza badala ya kuwataja hadharani kama walivyofanya akina SlaaKina kitine, warioba, mrema, mengi, mtikila mbona walishafanya haya na wamewasaidia nini maskini wa tanzania in the process?Na kwa wenye upeo dogo kama wewe sio rahisi kujua au kukubali kwamba kuna "nguvu za giza" (vyombo vya dola) vinavyohakikisha kuwa kila anayetamka kwamba kiongozi flani mwizi,au mbadhirifu,basi anadhibitwa haraka iwezekanavyo.Sijui ulikuwa na umri gani wakati yanamfika yalomfika Sokoine,au Stan Katabalo,au Kolimba....pengine tatizo lako sio upeo mdogo bali udogo wa uwezo wa upeo wakokwa watu wenye upeo mdogo wa kuelewa mambo watajibu kwamba kuna system fulani imewazuia. Slaa atathubutu vipi kusema nilizibwa mdomo? Unazibwa mdomo kama unapayuka, lakini kama una operate in the context of sera na unajenga hoja ju ya hoja na kuja tolea mifano ya rushwa kama by the way tu, hutazibwa mdomo sababu hawatakuwa na jinsi.. Hebu tupe darasa kidogo.Siasa za kikubwa ni kuchongea wapi?Mkapa achongewe kwa mkewe?Lowassa achongewe kwa Kikwete?Karamagi achongewe kwa Rostam Aziz?Come on,man.You need to come up with at least a grown-up assessmentSiasa za slaa na kabwe ni siasa za kitoto za kuchongea ccm kwa wananchiNyani haoni kundule.You are the one who critically needs to grow up,and see what's actually happening in the real world and not in your fantasies.Hakuna anayekuhadaa bali unajihadaa mwenyewe kwa kudhani kuwa wanachoongea wazalendo hawa ni hadaa ilhali u mmoja wa mamilioni ya walalachali wanaokandamizwa kila kukicha pasipo dalili ya wakandamizaji hao kupatwa na huruma.Sikulaumu sana kwani natambua kuwa katika jamii kuna wale ambao kwao pain is pleasure.They need to grow up kisiasa na kuja na mbinu ambayo hayo masuala ya rushwa yataingizwa kwenye something more comprehensive. Sio kuwaadaa tu wananchi huko mikoani na udaku.
Hivi ni mikataba gani yenye utata iliingiwa na serikali ya Tanzania wakati Kikwete akiwa Waziri wa Nishati, Maji, na Madini? Na ni mikataba gani yenye utata ambayo iliingiwa na makampuni ya nje wakati akiwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje (na kama anahusika kwa namna yoyote kwenye mikataba hiyo).. Na zaidi ya yote kwa muda mfupi aliokuwa Waziri wa Fedha ni mikataba gani iliingiwa akiwa na wadhifa huyo.
Mwanakijiji,nilidhani baadhi ya majibu ya maswali hayo tuliyasikia kwenye mahojiano yako na Dr Slaa!!!Au nimekosea?
Mwanakijiji,
Hivi hujawahi kujiuliza ni kwa nini katika kila safari yake Marekani Mwungana lazima akutane na Sinclair? Na ni kwa nini kila mara Sinclair anapokwenda Tanzania lazima akutane na Mwungwana? Nasikia mkutano wa mwisho walikuwa watatu peke yao, pamoja na Joseph Kahama. Wanazungumzia nini?
Waliowasikia wanasema Waliotajwa ni Balali, andrew chenge, basil mramba, meghji,mgonja, rutabanzibwa, mkono,lowassa, karamagi,rostam,mkapa na mkewe na jk.
na wengine wadogo wadogo walikuwa wakitajwa mara kwa mara. Hakuna gazeti ambalo limeandika hayo majina. To me huko ni kuchafuana tu. Uzushi mtupu!!!!
Nafikiri mchambuzi asome mawazo ya wengine pia badala la kujaza kurasa suala la sera katika nchi ya tanzania ni ndoto. Hata hao CCM wanaosema sera hata sera zao hawazijui.