Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Watu ni wepesi sana kusahau leo Zitto katoa majina ya walioficha pesa uswizi tena kwa kukabidhi document mnasema sio shujaa wakati juzi tu hapa mlimuita shujaa alipoandaa na kusoma taarifa ya Escrow bungeni.
Shujaa wa Escrow ni kafulila aliyepewa na Tunzo fa.la wewe